fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
kurasini hii shule imenipatia mke🤣🤣 toka form 2 mpka form4 nimeishi naeIpo mtaa gani hii shule?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kurasini hii shule imenipatia mke🤣🤣 toka form 2 mpka form4 nimeishi naeIpo mtaa gani hii shule?
Duh kaka nakuja inboxkurasini hii shule imenipatia mke🤣🤣 toka form 2 mpka form4 nimeishi nae
Sijaelewa mkuu niandae 500k ya nini?Vitu vya bei rahisi vina gharama kubwa Sana .andaa 500k kabisa. Mfuko Wa shati
🤣🤣ya kuhonga anamaanishaSijaelewa mkuu niandae 500k ya nini?
Kuwahonga warembo au polisi?🤣🤣ya kuhonga anamaanisha
🤣🤣🤣waremboKuwahonga warembo au polisi?
mkuu utupe na matokeo ya form four yakitoka🤣🤣Kwa matokeo haya una maoni gani?
Shule ipo Jijini Dar es Salam na siyo Nachingwea.
View attachment 2869779
Hili neno maslahi ya walimu ni kichaka kikubwa cha wanasiasa na walimu wapumbavu kujifichia.sababu kubwa shule za Dar kufanya vibaya mfano zilizopo maeneo ya Temeke, kuna Msimbazi wanavaa blue bahari, kuna chanika na nyingine ipo bunju ni ya kata.
1. Utandawazi; hii ni sababu moja kubwa ya watoto wengi wa dar kufeli. Hili linasababishwa na usimamizi mbovu wa wazazi kwa watoto wao wakiwa busy kukimbizana na maisha, watoto kuingia kwenye starehe za mapema, kuangalia video za ngono.
2. Serikali; maisha ya dar ni magumu, kada hii ya ualimu imesahaulika, miundombinu Mibovu, hakuna Hamasa kwa kwa walimu kufanya kazi kwa asilimia zote wanafanya bora liende.
Nimeona mtaala mpya mambo mengi sana, lakini kama serikali haitajitahidi kuboresha maisha na masilahi ya walimu hatutaona mabadiliko.
Wizara husika waliangalie hili suala kwa kina, usitegemee ukafanya vitu kwa njia ile ile ukategemea matokeo tofauti.
Jamaa sijui ni muongo naona kimya mpaka sasaAkikutajia nami ntaangalia...zero 400?
Hawezi kuja hapa labda aje matokeo ya Wanasheria hapa ajichanganye..Jamaa sijui ni muongo naona kimya mpaka sasa
Utasikia wanalaumiwa CHADEMAKwa matokeo haya una maoni gani?
Shule ipo Jijini Dar es Salam na siyo Nachingwea.
View attachment 2869779
n mm niliomba mkuu asante sana kwa kunikumbuka🤣Kuna mtu alisema matokeo ya kidato cha nne yakitoka tuyaweke, hayo hapo.
View attachment 2882407
🤣🤣 ila wamejitahidi mkuuUmewaona wadogo zetu? 😂😂
Hilo nalo ni tatizo kubwa sana!
Kwa nini wasingepelekwa walimu wenye uzoefu wa kubadilisha mitazamo hasi ya watoto?
Kweli Dr?Naenda hapo mkuu , ntafanya hiyo kazi ntajitolea mwaka 1 then utanipa majibu mkuu.
Mtazamo hasi ndo unaua 'FOCUS'