Una maoni gani kwa matokeo haya ya kidato cha pili Shule ya Diplomasia inayopatikana Dar?

Hili neno maslahi ya walimu ni kichaka kikubwa cha wanasiasa na walimu wapumbavu kujifichia.
Kipindi mwalimu analipwa laki sita kwa mwezi na kuiona ndogo kuna sisi wazazi ambao hatuna ajira wala biashara ya kutuingizia hata alfu kumi kwa kutwa.
Mwalimu ana mshahara pia ana access yakupata mikopo vitu ambavyo wazazi wengi hawana.
Kingine ukipewa kazi ifanye kwa uaminifu km haikufai achana nayo kuliko kufanya kitu chini ya kiwango.
Ninachojua mimi walimu wengi ni vilaza.
Wamepewa majukumu yakufundisha vitu ambavyo hata wao hawaviwezi.
Km mnataka kuamini hili siku itokee mpe mwalimu mtihani uleule anaowapa wanafunzi afanye pamoja na wanafunzi wake, hapo ndipo utaona vioja.
 
Kuna mtu alisema matokeo ya kidato cha nne yakitoka tuyaweke, hayo hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…