Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
Mil 1 hapana kaka!Chukua mil 1 chap kaka
Mafuta yako sitaki kachome misitu
Nimeanzisha mpango mkakati maalum wa wana Jf kutembelea matako.Dah maisha yamebadilika aisee
Chukua hela kaka na mimi nikavimbe zanzibarMil 1 hapana kaka!
Nyie vijamaa vidogo bana mna.mambo mengi sana.
sasa utaondokaje bila mafuta?π π
Mkuu bila shaka umesoma sana.Dalali mwenyewe Comedy
Ukipata la 700k niambieNimeanzisha mpango mkakati maalum wa wana Jf kutembelea matako.
vimba mkuu vimbaa chombo ndio hio
Utaenda fugia njiwa?Ukipata la 700k niambie
Una dam ya kipolisi polisi angalia usije kawa chawa wa ccmHizo nyumba za polisi nn
Hio hela ni ndogo kama mkia wa mbuziUkipata la 700k niambie
HeheheheheheeUna dam ya kipolisi polisi angalia usije kawa chawa wa ccm
ulitaka kusemaSo chill and drive..
Asante kwa kuliona hilo.ulitaka kusema
"shut-up and drive"πππππ ukaona upunguze makali
Nitafutie vits ya cc 1290 ya bei ya kimaskini kama hii ili nikupe mzigo faster. Uko kwenye mfuko wa shati. Ila tu isiwe na mirangi rangi kama hii!