Car4Sale Una milioni 2 hapo na unataka usafiri uingie Downtown? chukua hii Balloon

Car4Sale Una milioni 2 hapo na unataka usafiri uingie Downtown? chukua hii Balloon

Nitafutie vits ya cc 1290 ya bei ya kimaskini kama hii ili nikupe mzigo faster. Uko kwenye mfuko wa shati. Ila tu isiwe na mirangi rangi kama hii!
Vits lowest price ni 3.5mil mkuu

ila kwa vile wewe ni rafikiangu wa muda mrefu hapa jf na unapenda gari manual hebu chukua hii Ford XLT

Bei nakufanyia ya kinyumbani kabisa mura

7mil

IMG-20210928-WA0003.jpg
IMG-20210928-WA0001.jpg
IMG-20210928-WA0002.jpg
IMG-20210928-WA0004.jpg
 
Vits lowest price ni 3.5mil mkuu

ila kwa vile wewe ni rafikiangu wa muda mrefu hapa jf na unapenda gari manual hebu chukua hii Ford XLT

Bei nakufanyia ya kinyumbani kabisa mura

7mil

View attachment 1955648View attachment 1955649View attachment 1955650View attachment 1955651
Dah! Mnyama huyu. Bahati mbaya kwa sasa nataka kagari kadogo tu ka misele. Ningechukua aisee huu mchuma, ili nikawatambishie marafiki zangu akina Sheghomea na Shekidee kule milimani!
 
Dah! Mnyama huyu. Bahati mbaya kwa sasa nataka kagari kadogo tu ka misele. Ningechukua aisee huu mchuma, ili nikawatambishie marafiki zangu akina Sheghomea na Shekidee kule milimani!
Pamoja andaa 3.5 mil Dollars of Tanzania nakuletea Vits yenyewe uafadhali

hio itakupeleka mpaka mashewa kule milimani kwa maji Marefu!

One ❤️ buddah tusaidiane maisha ya tozo
 
Dah! Mnyama huyu. Bahati mbaya kwa sasa nataka kagari kadogo tu ka misele. Ningechukua aisee huu mchuma, ili nikawatambishie marafiki zangu akina Sheghomea na Shekidee kule milimani!
Vitz hii hapa mkuu

namba D.



Vits nzima kabisa ipo shinyanga namba haijaguswa engine bei 3.8mil

Screenshot_20210928-210342.png
Screenshot_20210928-210323.png
Screenshot_20210928-205956.png
 
Dah! Shinyanga mbali mkuu. Ingekua Dar, Tanga, Dodoma,nk. Ingekua ni rahisi kwangu kuja kuicheki. Ngoja tuwaachie wadau wa jirani waipambanie kwanza.

Ila nakupongeza kwa jitihada zako.
Nikuchekie iliyoko Dar? naona nyingi zinaanzia 4.5mil, tena namba C.

The price isnt friendly.
 
Nikuchekie iliyoko Dar? naona nyingi zinaanzia 4.5mil, tena namba C.

The price isnt friendly.
Hapana mkuu! 4.5 ni nyingi sana usawa huu. Kuna dalali mwingine anaendelea kumtongoza jamaa fulani hivi huko Dar. Ana vits manual. Bado tunavutana kwenye bei. Kaanzia m 3.5, na mimi nataka nilipe 2.5 au 3! Usajili wa B.
 
Tuma gari za 1.5M tuzione
𝐇𝐮𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐜𝐡𝐞 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐳𝐢𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐢𝐥𝐚 𝐳𝐢𝐩𝐨 𝐧𝐚 𝐳𝐢𝐭𝐚𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐦𝐚𝐫𝐞𝐤𝐞𝒃𝒊𝒔𝒉𝒐 𝒎𝒆𝒏𝒈𝒊
 
Hapana mkuu! 4.5 ni nyingi sana usawa huu. Kuna dalali mwingine anaendelea kumtongoza jamaa fulani hivi huko Dar. Ana vits manual. Bado tunavutana kwenye bei. Kaanzia m 3.5, na mimi nataka nilipe 2.5 au 3! Usajili wa B.
Mkuu hatimaye nimepata vitz ya 3mil.
ipo ilala
Naomba tuwasiliane tafadhali
IMG-20210929-WA0056.jpg
IMG-20210929-WA0055.jpg
IMG-20210929-WA0053.jpg
 
Sawa mkurugenzi,nitakutafuta. Ingawa sitajitambulisha kwako kama mimi ndiye Mtemi namba 2 nchini, na Chifu pekee wa Wasambaa aliye hai.
😅😅😅😅Chifu bana!
una mikwara kishenz.

kajifunze kwa machifu wenzio wa NIGERIA kule. Wana hela mpaka balaa. Huwez itwa chifu bure bure😜😜
 
Back
Top Bottom