Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
- Thread starter
-
- #41
Gari zipo za bei ndogo sana.Heee bei imeshuka tena??
Au ndo tajiri kalewa ? Reasonable sana asee !
Asee kweli!!Boda boda tupa kule
Sifa kuu ya gari hunyeshewiAsee kweli!!
Haha na totoz kama zoteSifa kuu ya gari hunyeshewi
Mimi mpaka leo huwa ninajiuliza sana kwanini wanawake wako addicted kwenye mandinga sana?? Yaani park tu pembeni mwite aje...hamna anayechomoa...sijui kuna nguvu gani ya uvutano kati ya womens and carsHaha na totoz kama zote
It has alot to do with poverty, gari inaonekana kama alama ya mafanikio, na wanawake wengi wanapenda ready made,Mimi mpaka leo huwa ninajiuliza sana kwanini wanawake wako addicted kwenye mandinga sana?? Yaani park tu pembeni mwite aje...hamna anayechomoa...sijui kuna nguvu gani ya uvutano kati ya womens and cars
Hii sasa ni chaguo la mtuHaha na totoz kama zote