Una mtaji ila hauna pesa ya kodi ya fremu? Zijue biashara zisizohitaji fremu

Una mtaji ila hauna pesa ya kodi ya fremu? Zijue biashara zisizohitaji fremu

Nzuri hii.....
Kama unaogopa hasara...
Baki na hela zako....
Hakika na hawahitajiki kwenye biashara hao watu

wabaki tu wasubiri mishahara yao iwekwe mwsho wa mwezi.
 
Mkuu niliwaza kama wewe yaani.
Kwa kuongezea tena ile biashara ya kuuza umeme kwa raia pia hairuhusiwi ukikamatwa unapewa kesi ya uhujumu uchumi maana umeiingilia kazi ya Tanesco labda uwe na vibali maalum na kuvipata hivyo vibali sio mchezo inakubidi uache kazi ufanye kazi.
u have made a good elaboration bro but rememmber kwamba apart from kumiliki frem kuna challenge pia mfano

1.Kwny biashara ya gas sawa utaweka mitungi kibarazan kwako ile hujakaa sawa hujauza hata mmoja mara paap watu wa FIRE hawa hapa wanataka vibali. mara hujakaa sawa watu wa suti hawa hapa

2.hyo ya mkaa ndo kabisa mana maliasili wakiona tu gunia la mkaa nje tayari wanatia team wanaulizia vibali.

3.Halaf hyo ya udalali ina pesa ila sasa ni ya motooo assume umefanya hvo kama ulivosema hapo yaan umepata simu ya lak 5 ukauza laki saba manake kumbka yule ulomuuzia anakujua ww kama ndo mmiliki in case kikatokea chochote ww ndo utawajibika. sasa assume ile smu ikawa ya uwizi.... police wakaitrace na wakaikuta kwa huyo ulomuuzia ....na yy kakutaja ww....na ww kumtafta yule jamaa ambae ndo mmiliki unakuta jamaa anakukana. haya hyo n ndogo ....kuna magar yanaibwa kenya yanauzwa tz na yana kadi ma kila ktu but huwez jua kirahs yaan udalali usio na mawazo ni udalali wa nyumba na immobile assets.
 
King999,
in Business we are dealing with risks

unapofanya biashara yoyote hayo mambo uliyoyasema ni ya muhimu kuyajua na kuyafikiria ila siku zote nawambiaga watu

usiyape nafasi hayo mawazo yanapokuja kikubwa jitahidi ufanye kazi kwa bidii na ujue kuweka akiba cause any time kinanuka

mimi kuna sehemu natumaga vijana wangu wakafanye biashara kabisa na ni sehemu HAZIRUHUSIWI (sehemu hatari) ila nawambia nyie nendeni wakikukamateni nipigieni simu (wanaenda) wanapiga pesa hata 50,000 chap chap then unaskia kadakwa...

unamuuliza umeingiza sh ngap? anakwambia hapa tayari nina 50,000 unamwambia "tulia" mpe simu huyo aliyekushika,unaongea nae unampooza kwa 10,000 anamwachia (dogo anasepa) faida mfukoni 40,000..Can you see that?

How if ningeogopa nikidakwa itakua noma halafu nisiende fanya biashara eneo hilo,hiyo 40,000 ningeitoa wapi?? ndio yale yale tunaambiwa "uoga wako ndio umaskini wako"

Unajua kwanini wafanya biashara wa madawa ya kulevya wanadunda uraiani na wanajulikana?? Wakikwambia bajeti wanayoitenga kwa ajili tu ya kuhonga mapolisi unaweza ukashangaaa, why wanahonga?? They know wanachofanya si sahihi but ndipo pesa ilipo so watafanyaje sasa and they need money???

ndipo wanaamua hapo Anaanza kuhongwa kuanzia IGP mpk mwenye V moja mzigo wao unaingia biashara wanafanya kiulainiiiii...sasa wewe jichanganye WAIGE uone kitakacho kukuta.

kwa ufupi ndugu yangu unapoamua kuingia kwenye biashara elewa umeingia VITANI,huku sio kwenye ajira,vitani unaweza kuwa na silaha zote ila na bado ukaenda ukarudi huna mguu,ndio mana wanajeshi siku hizi hawana ujinga wa kufa kufa,wanaenda vitani na wanarudi woteee (usitake kujua kinachofanyika huko vitani,acha kabisa)

Hii nchi ina wenyewe ndugu yangu,haya mabiashara tunayafanya tu ila usijiamini sanaaaaaaa hata kama una maleseni umejaza ukuta mzima,vibali vyoteeeee atakuja mtu mmoja tu atakutafutia sababu na hela itakutoka.

SO jiamini na elewa uko vitani na usiogope mtu pambana ya hela yote,MJINI inaongea PESA tu midomo siku hizi mapambo muraaaaa. King999
Story yako inanikumbusha miaka ya Chuo; Ndani ya paper ya accounting jamaa kajiandaa kwa kukaa nyuma ya mtaalam wa kufunga makabati chap, 1 hr mdada kamaliza then jamaa akaanza kumuomba booklet acopy. Msimamiz anapitapita huku na kule

Manzi: "Naogopaa nitakamatwa ntadisco"😧
Jamaa: "Aaarghaaah tulia USIOGOPEEE sawa eeh...Haya lilete(Booklet) sasa."🤗

(Ukiona alivyokuwa anampa assurance yule mdada utadhani wasimamizi kawaweka mfukoni😂😂 na ukifikiria in reality mwenye pressure zaidi ya kuSup au kudisco ni yeye😂

Nakuunga mkono, Vitani kujiamini kama huyu jamaa(Ile paper kapiga B+ na sasa hivi Mhasibu Msomi😆)
 
Kama mtu alifanyia kazi huu uzi kwa mtaji wa ngama yuko mbali.
 
mkuu controla.. hyo ya gesi nikianza na milioni tatu inatosha?.. hebu nisaidie mchanganuo vizur, hapo bila kuweka gharama ya fremu
 
U have made a good elaboration bro but remember kwamba apart from kumiliki frem kuna challenge pia mfano

1.Kwenye biashara ya gas sawa utaweka mitungi kibarazani kwako ile hujakaa sawa hujauza hata mmoja mara paap watu wa FIRE hawa hapa wanataka vibali. Mara hujakaa sawa watu wa suti hawa hapa

2.Hiyo ya mkaa ndio kabisa maana maliasili wakiona tu gunia la mkaa nje tayari wanatia team wanaulizia vibali.

3.Halafu hiyo ya udalali ina pesa ila sasa ni ya motooo assume umefanya hivyo kama ulivyosema hapo yaan umepata simu ya laki 5 ukauza laki saba manake kumbuka yule ulomuuzia anakujua wewe kama ndio mmiliki in case kikatokea chochote wewe ndio utawajibika. Sasa assume ile simu ikawa ya uwizi.... police wakaitrace na wakaikuta kwa huyo ulomuuzia ....na yeye kakutaja wewe....na wewe kumtafta yule jamaa ambae ndio mmiliki unakuta jamaa anakukana. Haya hiyo ni ndogo ....kuna magari yanaibwa kenya yanauzwa Tanzania na yana kadi ma kila kitu but huwezi jua kirahs yaani udalali usio na mawazo ni udalali wa nyumba na immobile assets.
Mtu kama wewe ni vigumu sana kufanikiwa
 
Back
Top Bottom