Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ogopa sana wasanii!
we jua ni mwanamke mchungaji, hiyo ni mada inayojitegemea unayohoji. Unaambiwa wote waliompokea aliwapa uwezo wa kuwa wana. Pazia la hekaluni lilipasuka, patakatifu pa patakatifu pakafikiwa na waliokuwa hawana ruhusa ya kufika huko. Jina la Bwana libarikiweMchungaji mwanamke? Kwa maandiko yapi mwanamke anakuwa mchungaji, Mungu atusaidie sana wapendwa
Halafu 1 tim 2:8-10, 1 pet 3:5, 1 kor 14:35 hayo maandiko yanamuhusu nani, mwanamke haruhusiwi kuwa mchungaji wala shemai wala kupewa kazi yoyote ya kiinjilisti,inatakiwa akahudumie familia yake huko nyumbani,ndo kazi aliyopewa.... Note: Haiwezekani maandiko yapingane... Kibiblia Huyo uwoya hatambulikani na Mungu kuwa mhudumu wake wa madhabahuni... Kama anatambulika toa maandiko maana ndio muongoz wetu sisi kama wakristowe jua ni mwanamke mchungaji, hiyo ni mada inayojitegemea unayohoji. Unaambiwa wote waliompokea aliwapa uwezo wa kuwa wana. Pazia la hekaluni lilipasuka, patakatifu pa patakatifu pakafikiwa na waliokuwa hawana ruhusa ya kufika huko. Jina la Bwana libarikiwe
huwa sipendelei sana kutumia mistari ya biblia kushadidia hoja zangu. Ukinukuu mstari mmoja kuna mwingine unaenda mbele zaidi. Usomaji wa biblia husomwa kwa hekima sana/filosofia. Yapo madhehebu hayatambui wanawake kuwa wachungaji na mengine yanawatambuaHalafu 1 tim 2:8-10, 1 pet 3:5, 1 kor 14:35 hayo maandiko yanamuhusu nani, mwanamke haruhusiwi kuwa mchungaji wala shemai wala kupewa kazi yoyote ya kiinjilisti,inatakiwa akahudumie familia yake huko nyumbani,ndo kazi aliyopewa.... Note: Haiwezekani maandiko yapingane... Kibiblia Huyo uwoya hatambulikani na Mungu kuwa mhudumu wake wa madhabahuni... Kama anatambulika toa maandiko maana ndio muongoz wetu sisi kama wakristo
Bila ya hivyo hakuna kanisa hapo bali ni meza ya matapishi
huwa sipendelei sana kutumia mistari ya biblia kushadidia hoja zangu. Ukinukuu mstari mmoja kuna mwingine unaenda mbele zaidi. Usomaji wa biblia husomwa kwa hekima sana/filosofia. Yapo madhehebu hayatambui wanawake kuwa wachungaji na mengine yanawatambua
Unashangaa mwanamke kuwa mchungaji?? Soma maandiko utakuta mpkaMchungaji mwanamke? Kwa maandiko yapi mwanamke anakuwa mchungaji, Mungu atusaidie sana wapendwa
masanja yuko safi ondoa shakaMasanja Huyu Wa Katibu Kujiua Hapana