Una uhakika gani kuwa mkeo hachepuki?

Una uhakika gani kuwa mkeo hachepuki?

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Wanaume wengi huwa wana vimada nje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashine vizuri ndio kuwatuliza

Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatoka nje ila wake zao hawatoki

Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nchi za nje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na wewe wako napitiwa
 
Hakuna kiumbe kisichokuwa na makando kando. Sio chakike wala chakiume.

Kuna jamaa nimemchangia sendoff juzi eti anaoa mwanamke yupo mkoani kikazi na yeye yupo Dar kikazi. Yani wanaishi mbali mbali.

Asee nimeona napoteza hela tu ila basi tu kutunza jina ikabidi nichange tu.
 
Wanaume wengi huwa wana vimada nnje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nnje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashe vizuri ndio kuwatuliza

Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatokq nnje ila wake zao hawatoki

Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nnchi za nnje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na ww wako napitiwa
kabisa aise 😁
sema akicheat kama unaelewa vizuri principle utajua
 
Hakuna kiumbe kisichokuwa na makando kando. Sio chakike wala chakiume.

Kuna jamaa nimemchangia sendoff juzi eti anaoa mwanamke yupo mkoani kikazi na yete yupo Dar kikazi. Yani wanaishi mbali mbali.

Asee nimeona napoteza hela tu ila basi tu kutunza jina ikabidi nichange tu.
Kwa hiyo ndio umeamua kuja kunikaanga huku SI ndio!!
 
Wanaume wengi huwa wana vimada nnje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nnje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashe vizuri ndio kuwatuliza

Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatokq nnje ila wake zao hawatoki

Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nnchi za nnje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na ww wako napitiwa
Ni mwanaume gani anaedhani kuwa mke wake hachepuki, hebu ajitokeze hapa tumuone.
 
Tatizo mnachukulia mambo ya ndoa serious ndo maana tunasema KATAA NDOA lakini kiuhalisia binadamu iwe wa kike au wa kiume ana matamanio ya kufuarahia vitu tofauti tofauti acha mwanaume achepuke atakavyo viyohivyo mwanamke achepuke awezavyo asiyeweza hizo stress basi aungane nasi KUKATAA HIKI KIFUNGO NDOA
 
wanajiamini sana kuwa hawachapiwi
Ebwana asikwambie mtu wanachapwa sana. Alafu Mwanamke alieolewa akienda nje anatoa yote inapigwa Paipu moja mujarabu sana shoo shoo full kujishika, kujibinua na kujipanua, zingatia Neno kujipanua alafu mlume anapamanya tu km hataki dakika SIO nyingi maji hayo mwendo wa kulowesha mashuka tu
 
Ingawa inauma lakini ukweli ni kwamba wanaume wengi wanajua wanawake hawaaminiki ndio maana hawapendi hata kugusa simu zao wasije wakakumbana na balaa litakaloweza kusababisha ndoa kuvunjika.
Hii ni kweli, mtu akifikiria Watoto bado wadogo, ndugu na marafiki basi anaamua ajikaushe tu ila anabaki na machale ya kupigiwa
 
Wanaume wengi huwa wana vimada nnje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nnje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashe vizuri ndio kuwatuliza

Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatokq nnje ila wake zao hawatoki

Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nnchi za nnje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na ww wako napitiwa
Wanaume kwa wanawake wote sambamba 🙂 tena nje tunatoa mpaka vya uvunguni
 
Back
Top Bottom