LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Wanaume wengi huwa wana vimada nje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashine vizuri ndio kuwatuliza
Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatoka nje ila wake zao hawatoki
Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nchi za nje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na wewe wako napitiwa
Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatoka nje ila wake zao hawatoki
Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nchi za nje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na wewe wako napitiwa