MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
mtu ana meno 32 af kitumbua anatembea nacho muda wote wivu wanini sasa.
usipochapa utachapiwa
usipochapa utachapiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kaka unaona yule aliyekuzingua wewe!?😁😁😁 kwa kwel mimi ndoa hapana .
😂😂Usijifariji.. people zinachepuka na watu wapyaaaaaa sio waliwabanjua ten yrs ago. Sasa kama mtu alidinywa kigoma na sahv anaishi ZANZIBAR unadhan atamfata wa kigoma kwa ajili ya mchezo tu??Hakika nawaambia kuwa kama umeoa bikira kuchepuka sio rahisi. La sivyo kuchepuka ni kama kawa. Unafikiria yule alieondoa usichana wake wataachana? Kuna siku watakumbushia mambo.
Ndio. Wengi sana.zama hizi kuna asiye chepuka?
Noma sana ila nahitaji kuwa huru na amani mkuu , kama ni kula bata aje tule maisha kila mtu asepe kivyake😁😁Sasa kaka unaona yule aliyekuzingua wewe!?
Aisee akija kupata mtu,atakua malaika ambaye huwezi amini.
Maana tueleze uhalisia,jinsia ya kiume idadi yetu ndogo yani ni robo ya wanawake,hao hao wapo wanaleft(upinde),hao hao wapo wavulana wachezeaji wanakukojolea na kusepa yani sio wawajibikaji,na magentlemen wanaume haswa wachache.
Sasa hawa ndugu zetu mara kwanza huwa umuch know unawatia upofu,baadae yakishawakuta wanakumbuka kuwa walichezea lulu,sasa unadhani wakipata bahati tena unadhani watafanya utani!?
Mkewangu wakwanza hadi leo hajaolewa na napata stori zake anasikitika tu kheri angelibaki na mimi,bora kidogo kuliko kukosa kabisa.
Ni sawa kaka,kila mtu na aonavyo.Noma sana ila nahitaji kuwa huru na amani mkuu , kama ni kula bata aje tule maisha kila mtu asepe kivyake😁😁
Familia pia ninayo mkuu watoto wawili , ila kufugana apana 😁Ni sawa kaka,kila mtu na aonavyo.
Ila kwa mimi huamini juu ya familia,kama haijaweza jengeka hapa nitaijenga hata nje ya hapa.
Ila kibongo bongo mchukue mwanamke aliyepigika na maisha.
Hiyo ni nusu familia,single parented family is synonymous to a half family.Familia pia ninayo mkuu watoto wawili , ila kufugana apana 😁
kama kafa je? 😂😂😂Hakika nawaambia kuwa kama umeoa bikira kuchepuka sio rahisi. La sivyo kuchepuka ni kama kawa. Unafikiria yule alieondoa usichana wake wataachana? Kuna siku watakumbushia mambo.
Ni jambo zuri kwa binafsi yako mkuu😊Hiyo ni nusu familia,single parented family is synonymous to a half family.
Mie nataka familia ya baba,mama na watoto mkuu.
Kuna wanawake wengi hawajaolewa mzee.
Na kama haujui,wanawake wengi ambao hawajaolewa hutafuta wame za watu kwasababu ndio wanawachukulia wanaume kamili wanaojua kutunza na wanaojua majukumu.
Sio lazima aliyepigika na maisha. Wapo wanawake waaminifu sana kwa ndoa zao na wanaume waaminifu sana kwa ndoa zao katika hali zote. Hao ni wale wanaomjua Mungu. (Simaanishi wanao attend churches ama mosques). WANAOMJUA MUNGU HAWACHEPUKI. Sijawahi chepuka na ndoa yangu miaka sita sasa. Mungu akiwa nami sitegemei kufanya hivyo maisha yote.Ni sawa kaka,kila mtu na aonavyo.
Ila kwa mimi huamini juu ya familia,kama haijaweza jengeka hapa nitaijenga hata nje ya hapa.
Ila kibongo bongo mchukue mwanamke aliyepigika na maisha.
Hii sio haki kabisaaa, wasituunganishe kwenye uzinifu wao.Hata mimi nashangaa.
Hasira za wake zao wajinga kuchepuka wanataka kuchafua na wake wengine walio waaminifu,je ni haki hii!?
Afadhali yako wewe. Mimi nilichangia VIP ila wajinga wameachana kisa jamaal kakuta wife mtarajiwa anachat na ex nimekausha tu hata hawajafunga ndoa sawah 🤫Hakuna kiumbe kisichokuwa na makando kando. Sio chakike wala chakiume.
Kuna jamaa nimemchangia sendoff juzi eti anaoa mwanamke yupo mkoani kikazi na yete yupo Dar kikazi. Yani wanaishi mbali mbali.
Asee nimeona napoteza hela tu ila basi tu kutunza jina ikabidi nichange tu.
Shida unapoona Kuna vimafanikio umevipata ndio unagundua amekuambukiza mduduAhahahah..
Mi hata huwa siwazagi haya maujinga.
Wamtombe wanavyotaka bwana kwan K si yake aitumie anavyojiskia
Ni mwanaume gani anaedhani kuwa mke wake hachepuki, hebu ajitokeze hapa tumuone.