Una uhakika gani kuwa mkeo hachepuki?

Una uhakika gani kuwa mkeo hachepuki?

Afadhali yako wewe. Mimi nilichangia VIP ila wajinga wameachana kisa jamaal kakuta wife mtarajiwa anachat na ex nimekausha tu hata hawajafunga ndoa sawah 🤫
Duh yani kabla hata ya tukio tayari manzi kauza mechi?
 
Yani imekuwa mzinifu kiasi kwamba hata mkeo akiziniwa huoni shida kah!!! Mungu akusaidie ndugu yangu. Jogoo haoi lakini anawivu balaa, halafu wewe mwanaadamu na akili timamu unazungumza huo utumbo🚮🚮
 
Sio asili ya mwanamke kuchepuka, labda limalaya lililokubuhu, kiukweli wanawake wengi ni waaminifu.
You are very misled!

Sijui lugha sahihi, lakini ni kwamba umepotoshwa sana.

Wanawake wanachepuka lakini wako very smart. Kumgundua labda aamue mwenyewe. Na hapo anakuwa ameshakuchoka.
 
Wanaume wengi huwa wana vimada nje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashine vizuri ndio kuwatuliza

Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatoka nje ila wake zao hawatoki

Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nchi za nje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na wewe wako napitiwa
Hahaha
 
Sisi wanaume huwa tunaamini mwanamke yeyote anayechepuka bila Shaka huyo ni Malaya na kama ikitokea umemfuma anachepuka unastahili kutoa talaka bila kupepesa macho
 
Back
Top Bottom