Una uhakika gani kuwa mkeo hachepuki?

Una uhakika gani kuwa mkeo hachepuki?

Wanaume wengi huwa wana vimada nje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashine vizuri ndio kuwatuliza

Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatoka nje ila wake zao hawatoki

Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nchi za nje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na wewe wako napitiwa
Kuna wanawake wengi hawajaolewa mzee.
Na kama haujui,wanawake wengi ambao hawajaolewa hutafuta wame za watu kwasababu ndio wanawachukulia wanaume kamili wanaojua kutunza na wanaojua majukumu.
 
Tatizo mnachukulia mambo ya ndoa serious ndo maana tunasema KATAA NDOA lakini kiuhalisia binadamu iwe wa kike au wa kiume ana matamanio ya kufuarahia vitu tofauti tofauti acha mwanaume achepuke atakavyo viyohivyo mwanamke achepuke awezavyo asiyeweza hizo stress basi aungane nasi KUKATAA HIKI KIFUNGO NDOA
Na wewe unaamini kuwa kila mwanaume anachepuka!?
Yani wanaume wote duniani wanachepuka!?
 
Wanaume wengi huwa wana vimada nje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashine vizuri ndio kuwatuliza

Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatoka nje ila wake zao hawatoki

Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nchi za nje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na wewe wako napitiwa
kanuni Iko hivi: ili mwenzio awe mwaminifu, anza kuwa mwaminifu wewe!
 
Mke/Mume Hachunguzwi otherwise unamtafutia sababu umuache.

ila kama umeamua huyu ndio mke/mume wangu staki kichocho kije kiniambia chochote kinachomuhusu mke wangu.

Simfatiliii na sihangaiki kazi yangu n kumpa risala kila nipatapo wasaa umuhimu wa yeye kuwa mwaminifu na madhara yake ya kutokua mwaminifu.
 
Mimi mwanaume mkuu,tena jina langu la kwanza Muhammed.
Ila mie hutetea pale ukweli unaposimama.
Katika hili nasimama na wanawake mkuu.
Au kisa nimekaa upande wao ukawa na mashaka bro!?
Sawa master ,ila mimi sijawapinga wanawake wala kiwatweza utu mkuu.
 
Mke/Mume Hachunguzwi otherwise unamtafutia sababu umuache.

ila kama umeamua huyu ndio mke/mume wangu staki kichocho kije kiniambia chochote kinachomuhusu mke wangu.

Simfatiliii na sihangaiki kazi yangu n kumpa risala kila nipatapo wasaa umuhimu wa yeye kuwa mwaminifu na madhara yake ya kutokua mwaminifu.
Ila mkuu kwa sisi wanaume uaminifu ni mdogo sana,kwa sababu tunapitia alot of temptations huko nje.
Ndio maana kuchepuka ni rahisi kuliko wanawake,mwanamke mpaka achepuke kunakua na strong concrete reason kiasi
 
Hahahaha mkuu waliotulia hawazidi wawili .
Kaka wanawake wengi tu wametulia.
Ila hasa wanawake wa siku hizi mpaka watulie lazima wapitie changamoto kwanza.
Kheri umuoe mwanamke alopigika na matukio kuliko aliye bikra.
Alopigika na matukio akitizama alipotoka na alipo sasa hivi katika ndoa lazima atulie ili asirudi alipotoka,tena atakua makini sana.
 
Kaka wanawake wengi tu wametulia.
Ila hasa wanawake wa siku hizi mpaka watulie lazima wapitie changamoto kwanza.
Kheri umuoe mwanamke alopigika na matukio kuliko aliye bikra.
Alopigika na matukio akitizama alipotoka na alipo sasa hivi katika ndoa lazima atulie ili asirudi alipotoka,tena atakua makini sana.
😁😁😁 kwa kwel mimi ndoa hapana .
 
Wanaume wengi huwa wana vimada nje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashine vizuri ndio kuwatuliza

Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatoka nje ila wake zao hawatoki

Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nchi za nje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na wewe wako napitiwa
Idadi ya wanawake walioolewa ni ndogo kuliko ya wale ambao hawajaolewa.
 
Back
Top Bottom