min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kwa hiyo sisi huwa tunachepuka na majini sio🤣🤣🤣Wanawake ni waaminifu sana, sisi hatuchepuki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo sisi huwa tunachepuka na majini sio🤣🤣🤣Wanawake ni waaminifu sana, sisi hatuchepuki.
Hujapata mzoefu mkuuAnakuwa si mbishi nikiomba mchezo napewa kwa raha zote. Njia inakuwa na utelezi wa kutosha, hana michibuko kunako nyumbaz. Ni rahisi sana kujua kama amechepuka
Waache kutusingizia kabisa.For real
Ndo tuwaulize sasa!Kwa hiyo sisi huwa tunachepuka na majini sio🤣🤣🤣
Kuna wanawake wengi hawajaolewa mzee.Wanaume wengi huwa wana vimada nje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashine vizuri ndio kuwatuliza
Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatoka nje ila wake zao hawatoki
Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nchi za nje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na wewe wako napitiwa
Na wewe unaamini kuwa kila mwanaume anachepuka!?Tatizo mnachukulia mambo ya ndoa serious ndo maana tunasema KATAA NDOA lakini kiuhalisia binadamu iwe wa kike au wa kiume ana matamanio ya kufuarahia vitu tofauti tofauti acha mwanaume achepuke atakavyo viyohivyo mwanamke achepuke awezavyo asiyeweza hizo stress basi aungane nasi KUKATAA HIKI KIFUNGO NDOA
kanuni Iko hivi: ili mwenzio awe mwaminifu, anza kuwa mwaminifu wewe!Wanaume wengi huwa wana vimada nje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashine vizuri ndio kuwatuliza
Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatoka nje ila wake zao hawatoki
Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nchi za nje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na wewe wako napitiwa
Hata mimi nashangaa.Wanawake ni waaminifu sana, sisi hatuchepuki.
Mnachepuka na wasichana wasiotulia na wasio na makoloni.Kwa hiyo sisi huwa tunachepuka na majini sio🤣🤣🤣
Mimi mwanaume mkuu,tena jina langu la kwanza Muhammed.Ivi kosugi ,samahan lakini 🙌 jinsia yako naweza ijua?
Sawa master ,ila mimi sijawapinga wanawake wala kiwatweza utu mkuu.Mimi mwanaume mkuu,tena jina langu la kwanza Muhammed.
Ila mie hutetea pale ukweli unaposimama.
Katika hili nasimama na wanawake mkuu.
Au kisa nimekaa upande wao ukawa na mashaka bro!?
Ila mkuu kwa sisi wanaume uaminifu ni mdogo sana,kwa sababu tunapitia alot of temptations huko nje.Mke/Mume Hachunguzwi otherwise unamtafutia sababu umuache.
ila kama umeamua huyu ndio mke/mume wangu staki kichocho kije kiniambia chochote kinachomuhusu mke wangu.
Simfatiliii na sihangaiki kazi yangu n kumpa risala kila nipatapo wasaa umuhimu wa yeye kuwa mwaminifu na madhara yake ya kutokua mwaminifu.
Sawa mkuu,ndio maana nikajibu post yako kuwa mnachepuka/tunachepuka na wasichana wasiotulia na wasiokua na makoloni.Sawa master ,ila mimi sijawapinga wanawake wala kiwatweza utu mkuu.
Hahahaha mkuu waliotulia hawazidi wawili .Sawa mkuu,ndio maana nikajibu post yako kuwa mnachepuka/tunachepuka na wasichana wasiotulia na wasiokua na makoloni.
Kaka wanawake wengi tu wametulia.Hahahaha mkuu waliotulia hawazidi wawili .
😁😁😁 kwa kwel mimi ndoa hapana .Kaka wanawake wengi tu wametulia.
Ila hasa wanawake wa siku hizi mpaka watulie lazima wapitie changamoto kwanza.
Kheri umuoe mwanamke alopigika na matukio kuliko aliye bikra.
Alopigika na matukio akitizama alipotoka na alipo sasa hivi katika ndoa lazima atulie ili asirudi alipotoka,tena atakua makini sana.
Idadi ya wanawake walioolewa ni ndogo kuliko ya wale ambao hawajaolewa.Wanaume wengi huwa wana vimada nje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashine vizuri ndio kuwatuliza
Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatoka nje ila wake zao hawatoki
Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nchi za nje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na wewe wako napitiwa