Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakwambia nani we mzee [emoji23][emoji23][emoji23] jidanganyeHakika nawaambia kuwa kama umeoa bikira kuchepuka sio rahisi. La sivyo kuchepuka ni kama kawa. Unafikiria yule alieondoa usichana wake wataachana? Kuna siku watakumbushia mambo.
Uvunguni ndio vip hivyo Mbona mi sijuiWanaume kwa wanawake wote sambamba 🙂 tena nje tunatoa mpaka vya uvunguni
Wanawake ni next level🙌😃😃😃Wanaume wameukimbia uzi.. umewapa 💉💉💉
😅😅😅😅
Wanawake oyeee
% kubwa kwa kuwa smati sana katika hiyo gemu
Una uhakika gani anachepuka ?Wanaume wengi huwa wana vimada nje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashine vizuri ndio kuwatuliza
Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatoka nje ila wake zao hawatoki
Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nchi za nje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na wewe wako napitiwa
Mimi wangu nilikuaga najua achepuki kutokana na mazingira tulipokuwa tunaishi, kumbe mkulima wa mbogamboga ndio alikuwa anakula mzigo.Ni mwanaume gani anaedhani kuwa mke wake hachepuki, hebu ajitokeze hapa tumuone.
For realWanawake ni waaminifu sana, sisi hatuchepuki.