Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Duh yani kabla hata ya tukio tayari manzi kauza mechi?Afadhali yako wewe. Mimi nilichangia VIP ila wajinga wameachana kisa jamaal kakuta wife mtarajiwa anachat na ex nimekausha tu hata hawajafunga ndoa sawah 🤫
Ukiwa na mindset hii kaka unakua unaishi kwa tahadhari kubwa sana mkuu. Huishi kizembe hata kidogoShida unapoona Kuna vimafanikio umevipata ndio unagundua amekuambukiza mdudu
Nini kimekufurahisha, nikikugundua nakula kichwa!.[emoji18][emoji35]Wanaume wameukimbia uzi.. umewapa [emoji382][emoji382][emoji382]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wanawake oyeee
% kubwa kwa kuwa smati sana katika hiyo gemu
You are very misled!Sio asili ya mwanamke kuchepuka, labda limalaya lililokubuhu, kiukweli wanawake wengi ni waaminifu.
Kwa HIO unataka ukunjwe haswa haswa mpaka ukunjike ili Wahuni wasipate advantageUsipoweza kumkunja wahuni watakukunjia tumekataa kufa na mautamu yetu
InategemeanaKwa HIO unataka ukunjwe haswa haswa mpaka ukunjike ili Wahuni wasipate advantage
Sasa wewe Si ndio mkunjwaji au unakipeleka kwa Wahuni wakakukunje?Inategemeana
Yani saiv ngoma droo hakuna cha me wala ke watu wanalowekana vilivyoSasa wewe Si ndio mkunjwaji au unakipeleka kwa Wahuni wakakukunje?
Kulowekana sana how?Yani saiv ngoma droo hakuna cha me wala ke watu wanalowekana vilivyo
Daah hakuuza ila wanilikuwa wananadishana wauziane daah hela yangu na mchedo nimeukosaDuh yani kabla hata ya tukio tayari manzi kauza mechi?
HahahaWanaume wengi huwa wana vimada nje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashine vizuri ndio kuwatuliza
Lakini tunaambiwa kati ya wanaume 10, 9 wanachepuka nnje yaani wanaume hawanaga mwanamke mmoja na huwa inaaminika wanawake ndio wametulia zaidi kwenye ndoa[emoji23][emoji23] na wanaume huamini kuwa wanatoka nje ila wake zao hawatoki
Sasa swali ni moja tu hao wanaume wanaochepuka huwa wanachepuka na wanawake waliopo nchi za nje au ni wa hapa hapa Tz, kma wanaume wote wanachepuka maana yake wanawake nao hwajatulia ni kama mnabadilishana tu wake zenu, yaani ukienda kwa wa mwenzio na wewe wako napitiwa