Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu atampata wapi?Atafute mwenza anaefahamu hali yake ya kiuchumi
Nakazia, ukiwa unajitafuta achana naahusiano, kama hukuwa nayo lakini.Mahusiano piga chini
Jitafute kwanza mambo yakianza kwenda smooth ndo uopoe mwali
True unaweza jitafuta ukajipata mda wa kumpata mwenza akakupotezaSema ukisema ujitafute then upate hayo mafanikio sasa, wengi watakao kuja ni GOLD DIGGERS TU, hizi mambo ni kuacha nature ifanye kazi tu.
Tunasoma masomo 12 hayaponyoki ndo iwe mawiliMshika mawili moja humponyoka .
Unajua changamoto haiko hapo tu hata kuna wengine wadada wanaanza maisha na washkaji zao ila baadaye wanazingua wanabadilika totally wanasahau hata walioanza naoSema ukisema ujitafute then upate hayo mafanikio sasa, wengi watakao kuja ni GOLD DIGGERS TU, hizi mambo ni kuacha nature ifanye kazi tu.
Pressure ya mitandao inawatoa watu wengi mchezoni, saiv taarifa nyingi ni rahis kuzipata na ujana tunaushare kidunia.... Sasa unakuta mtu ana miaka 24/25 anaskia mahali kuwa mtu wa umri wake kafanya makubwa ana nyumba, uwekezaji wake & usafiri na yy bila kujiuliza vzr analipuka tu...anapata demu huku mishe zake per month zinampa 100k-1M mwisho wa siku no progress, ndo unaanza kuona mada kama hz😁 niwe na demu? Au nitafute pesa? Au nibebe vyote kwa pamoja?Nakazia, ukiwa unajitafuta achana naahusiano, kama hukuwa nayo lakini.
Mahusiano yanagharimu Afya ambayo ni muhimu katika utafutaji. Yanahitaji muda na pia yanahitaji fedha.
Sema ukisema ujitafute then upate hayo mafanikio sasa, wengi watakao kuja ni GOLD DIGGERS TU, hizi mambo ni kuacha nature ifanye kazi tu.
Hayo ni masomo mawili ya fani tofautiTunasoma masomo 12 hayaponyoki ndo iwe mawili