MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Swala la Age na kufanikiwa ni subjective sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hata kama nina maisha magumu ila siwezi kukosa kitanda🤣🤣 nachangamsha genge tuu. Uko wapi kwanza?Umenikumbusha kuna siku mdogo angu rubii aliandika jf unaweza kutukanwa na mtu hata kitanda....nilichekaaa sisahau.
Muda ndo huu kijana, panga, amka, tekeleza..... Maana yake ukipanga jambo amka muda huo fanya, epuka sana nita....nita...nita zinachekewesha hizi.
Ni kweli mkuu lakini tunapoingia third floor ni kama tumeshamaloza kipindi cha kwanza cha maisha yetu kwaiyo tunaingia kipindi cha pili., kwaoyo sio mbaya tuka-share uzoefuSwala la Age na kufanikiwa ni subjective sana.
Nitakupigia baadaeMkuu hata kama nina maisha magumu ila siwezi kukosa kitanda🤣🤣 nachangamsha genge tuu. Uko wapi kwanza?
Waishi humo wasisahau kujilinda, afya bora ni muhimu sana.Two things
Priority yake iwe mafanikio mafanikio manikio
Usiweke mwanamk kipaombele
Move silently, usitangaze kila kitu not even kwa ndugu
Amen to that brotherWaishi humo wasisahau kujilinda, afya bora ni muhimu sana.
1. Kijana tafuta mwanamke / mwanaume mkubaliane mzae na kutoa malezi kwa usawa si lazima muowaneKatika umri wa miaka 30 ndipo maisha ya mwanaume yanaanza kujibu au kuonyesha muelekeo. Hapa ndipo huwa tunagundua wapi tulikosea wapi tulipatia.
Kwa mabroo, wakina baba na wazee ambao mpo 30+ una ushauri gani kwa madogo sana sana kwenye suala la mahusiano na uchumi.
Mwaga sumu kwenye comments madogo wachukue yanayowafaa.
Kuna vijana wa ovyo watakuja hapa kusema Yesu mwenyewe ana miaka 2000 saiv bado yupo kwa baba yake kwanini wao waondoke? 😀😀😀.. anyway wamekusikia mkuu.Waondoke kwao , mana kuna wazazi wengine bado wapo kwa wazazi wao.
Atrombeee mpaka mbru iwe yakijaniKatika umri wa miaka 30 ndipo maisha ya mwanaume yanaanza kujibu au kuonyesha muelekeo. Hapa ndipo huwa tunagundua wapi tulikosea wapi tulipatia.
Kwa mabroo, wakina baba na wazee ambao mpo 30+ una ushauri gani kwa madogo sana sana kwenye suala la mahusiano na uchumi.
Mwaga sumu kwenye comments madogo wachukue yanayowafaa.
Hatari mkuu vijana wameshikilia nondo za madirisha ya wazee, hawatoki ..Kuna vijana wa ovyo watakuja hapa kusema Yesu mwenyewe ana miaka 2000 saiv bado yupo kwa baba yake kwanini wao waondoke? 😀😀😀.. anyway wamekusikia mkuu.
Asante sana., vijana wamekusikia1. Ahakikishe anamalizana na ishu za shule. Kwa mfano kama kasomea accounts ahakikishe pia CPA anapata kwenye huo umri. Wale wa IT nao wamalizane kabisa na zile professional certificates.
2. Afanye kazi yoyote ya halali kuanzia zile za nyumbani, kanisani/msikitini, na sehemu yoyote atakayohitajika. Asiwe mvivu.
3. Asiwe mwoga kujaribu chochote ili mradi havunji sheria.
4. Atumie sana condom. Asiuze mechi kwa namna yoyote. Hata akisafiri awe na condoms za tahadhari.
5. Huo ndo umri wa kumpata soulmate. Akimpata aoe tu kama anaona kisaikolojia atamudu jukumu la ndoa.
6. Awe na kitambulisho cha NIDA, Leseni ya udereva, na ikiwezekana passport ya kusafiria.
Mkuu upo under au above? Tunaomba uzoefu wako.