Una ushauri gani kwa kijana wa kiume aliyopo umri wa 18-29.

Una ushauri gani kwa kijana wa kiume aliyopo umri wa 18-29.

Mwanaume kujipata sio mchezo especially kama unatoka familia ya kinyonge, iyo miaka minne uliyoitaja inaweza isistoshe.

Kwa mwanaume mambo sio rahisi kama mwanamke, a woman have her pussy to fall back to when nothing else is working for her, but a man have nothing, its him against the world.

Kitu ambacho mwanaume anaweza kutumia mpaka miaka mitano kufanya kazi ndio akipate, mwanamke anaweza kukipata ndani ya nusu saa tu kwa kufungua mapaja yake, kwaiyo mwanaume hana muda wa kupoteza, miaka 20 tu kijana anatakiwa awe tayari ashaanza kupambania mdoto zake.
Wewe kama wewe huwa unalipia pyussy and if not kwa nini?? Ni sababu gani inayokufanya udhani kwamba pyussy inalipa au ni aina mojawapo ya mtaji?
 
90% ya wadada wakifeli maisha jamii huwa inawezesha kuwasaidia yaani labda 10% ndo huwa wanaamua kufeli wenyewe.
Ila 90% ya mtofo wa kiume option huwa ni kuumia tu ili apate kufika juu!
Na hata mwanamke akiomba msaada jamii inamuelewa tofauti na mwanaume ambae jamii inafikiri ni invincible
 
Katika umri wa miaka 30 ndipo maisha ya mwanaume yanaanza kujibu au kuonyesha muelekeo. Hapa ndipo huwa tunagundua wapi tulikosea wapi tulipatia.

Kwa mabroo, wakina baba na wazee ambao mpo 30+ una ushauri gani kwa madogo sana sana kwenye suala la mahusiano na uchumi.

Mwaga sumu kwenye comments madogo wachukue yanayowafaa.
Ukiona una nyege kila saa jua we ni mzembe.Piga kazi mpaka ukose hamu ya kumbato. Zikijaa unazipunguza kwa demu wako mmoja uliyenaye. Ni hilo tu nimekutana na wenzangu nikagunduatofauti yangu na wao ni body count.Kuna mstari mwembamba kati ya mafanikio na ngono. Sikushauri upige puli, nakushauri ufanye semen retention.
 
1. Ahakikishe anamalizana na ishu za shule. Kwa mfano kama kasomea accounts ahakikishe pia CPA anapata kwenye huo umri. Wale wa IT nao wamalizane kabisa na zile professional certificates.
2. Afanye kazi yoyote ya halali kuanzia zile za nyumbani, kanisani/msikitini, na sehemu yoyote atakayohitajika. Asiwe mvivu.
3. Asiwe mwoga kujaribu chochote ili mradi havunji sheria.
4. Atumie sana condom. Asiuze mechi kwa namna yoyote. Hata akisafiri awe na condoms za tahadhari.
5. Huo ndo umri wa kumpata soulmate. Akimpata aoe tu kama anaona kisaikolojia atamudu jukumu la ndoa.
6. Awe na kitambulisho cha NIDA, Leseni ya udereva, na ikiwezekana passport ya kusafiria.
Mkuu hii ya sita yakazi gani naona umekazia hadi nida?
 
4. Usipumbazwe na mambo ya dini, yakakupotezea muda na fedha.
Kusali hakuongezi chochote maishani mwako. Kutokusali pia hakuongezi chochote. Jitihada zako, ujuzi na maarifa ndivyo vitakavyokufaa maishani.
Huu ni upotoshaji katika vitu ambavyo navijutia sana kuchelewa kumtafuta Mungu kwa bidii siku za nyuma Mungu ndio mwenye kutoa maarifa yote nilichokuja kujifunza kwenye maisha mafanikio makubwa ni kuipata Ile elimu ya siri ambayo Ni Mungu pekee ndio atakayekupa hii elimu ukimtafuta kwa bidii
Ukiwa na elimu unaweza kubadilisha dunia kwa muda mfupi
 
1.at least awe ameshamaliza elimu ya chuo
2.asichague kazi atafute experience kwanza
3.ayape kisogo mapenzi au wanawake kama anaye basi awe mmoja tu hapa vijana wengi wanafeli.
4.usikate tamaa pambana mpaka kieleweke.
5.Usichague mkoa wa kufanya kazi popote kambi dar es Salam ipo tu unaweza ukafanya kazi mwanza dodoma au kigoma ukaja na ndege dar es Salam kuangalia derby ya kariaokoo lakini mkazi wa dar akakosa hela ya kiingilio.

Ngoja niishie hapo.
 
Huu ni upotoshaji katika vitu ambavyo navijutia sana kuchelewa kumtafuta Mungu kwa bidii siku za nyuma Mungu ndio mwenye kutoa maarifa yote nilichokuja kujifunza kwenye maisha mafanikio makubwa ni kuipata Ile elimu ya siri ambayo Ni Mungu pekee ndio atakayekupa hii elimu ukimtafuta kwa bidii
Ukiwa na elimu unaweza kubadilisha dunia kwa muda mfupi
Nafikiri jamaa kamaanisha ule upumbavu wa dini ambao umevuka mipaka.
 
Katika umri wa miaka 30 ndipo maisha ya mwanaume yanaanza kujibu au kuonyesha muelekeo. Hapa ndipo huwa tunagundua wapi tulikosea wapi tulipatia.

Kwa mabroo, wakina baba na wazee ambao mpo 30+ una ushauri gani kwa madogo sana sana kwenye suala la mahusiano na uchumi.

Mwaga sumu kwenye comments madogo wachukue yanayowafaa.
Nawashauri vijana wenzangu waweke malengo madogo madogo kulingana na kipato chao

Unakuta mtu hata 1mil kwa mwezi hawezi afford lakini ana malengo ya mil100 au 200 utazeeka mapema
 
1. Kuwa mbahili. Soma vitabu vingi. Fanya biashara au jiongeze kielimu.

2. Wanawake na pombe humaliza fedha sana. Kuwa na manzi mmoja anayeweza kujihudumia walau kidogo. Usijipe mzigo kulea girlfriend wako kwa kila kitu.

3. Usijipe umuhimu sana kwa watu.
Watu wameishi bila msaada wako kwa miaka na miaka na hizo shida zao, hivyo wewe huwezi kuzimaliza zote na hata bila msaada wako wataendelea kudunda tu. So, msaada uwe wa kadri tu. Yaani kuwa mchoyo wa jasho lako.

4. Usipumbazwe na mambo ya dini, yakakupotezea muda na fedha.
Kusali hakuongezi chochote maishani mwako. Kutokusali pia hakuongezi chochote. Jitihada zako, ujuzi na maarifa ndivyo vitakavyokufaa maishani.
You nailed it bro
 
Back
Top Bottom