Una ushauri gani kwa kijana wa kiume aliyopo umri wa 18-29.

Kwasasa watu ni wachawi so watajipata tu
 
Ukifanya kazi kwa bidii ukafanikiwa na ukaamua kusema ni mungu ndiyo amekupa mafanikio, sawa.
Practically, tunajua ni wewe ndiye umefanikisha ila unataja vitu vingine.

Umeenda shule, umesoma, umepata maarifa na stadi toka kwa walimu wako lakini umeamua kusema ni Mungu ndiye amekupa yote hayo, pia sawa tu.
Enjoy your misattribution.
 
Hivi wewe sijui unanielewa nachomaanisha elimu ya siri hauwezi kuipata kwa akili ya kibinadamu uwezo wa binadamu kufikiria upo limit mpaka pale utapomtafuta Mungu pekee kwa bidii ndio mwenye kukupa siri hizi za mafanikio kichwa kina utajiri mwingi ila mpaka umche Mungu atakupa Siri kwa kila jambo unalotakiwa kufanikiwa
 
Wewe umeipata hiyo elimu ya siri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…