Unaambiwa P. Diddy kwa 50 Cent aligonga mwamba

hadi 50 cent akasema aisee dah kwel diddy ndio ibilisi mwenyew
 
Mwamba naye! Yaani alitaka amle hadi Tyson!?
Kipindi kile Tyson alikua na stress fulani hivi halafu madeni yakawa yanamuandama baada ya kufungiwa boxing.
Akataka ajaribu Muziki ndiyo Pdiddy, kipindi kile alikua bado anaitwa Puff Daddy akaona kwa changamoto anazozipitia Tyson hiyo ni bonge la fursa, ndiyo akawa anamvutavita, anamuweka karibu mara waende kwenye shoo, mara night outs mara kukumbatiana kwingi ndipo tyson akaanza kuona red flags, akajitenga naye.
Baada ya kujitenga na Diddy akaenda zake kujiunga na WWW

View: https://youtu.be/WqWV5SPgR8A?si=n3WsrEzsnmEehY2t
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…