Kurekebisha meno sawa...Hata kurekebisha meno yaliyovurugika?
Hata meno ni kuvutia wateja we mwenyewe huwezi chukua mwanamke meno yamepishana kama ya mamba...Kurekebisha wowowo ili kuvutia wateja,meno yaliyoharibika unamvutia nani?
Kalio uonwa na wengi tofauti na menoHata meno ni kuvutia wateja we mwenyewe huwezi chukua mwanamke meno yamepishana kama ya mamba...
Meno si sehemu ya mwili ama ndiyo dhana ile ile ya mchuzi wa Nguruwe si Nguruwe!.Kurekebisha meno sawa...
🤣🤣kwamba meno hayaonekani mtaongeaje sasaKalio uonwa na wengi tofauti na meno
Binafsi naona si dhambi, kwani nani anaathirika na hayo marekebisho.
Jamii ya ki-Asia wanafanya sana surgery. Watoto wengi hawafanani na mama zao 😂😂kufanya maboresho ya viungo si tu dhambi bali ni kazi Bure maana hubadili GENOTYPE.uwezekano wa kuendelea kuzaa Watoto wenye Sura MBAYA uko palepale hata baada kubadili PHENOTYPE.
Okay P.Inatafsirika(usiniulize wanaotafsiri) ni kukosoa uumbaji ni sawa na Kusema Mungu hapa ulikosea Tako halikutakiwa kuwa dogo.
Kurekebisha meno sawa, kurekebisha tako sio sawa.....dah uko wapi 😔Kurekebisha meno sawa...