Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
meno sawa lakini matako hayajavurugika kwann yarekebishweHata kurekebisha meno yaliyovurugika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
meno sawa lakini matako hayajavurugika kwann yarekebishweHata kurekebisha meno yaliyovurugika?
jidanganye,namna pekee ya kubadili muonekano wa kizazi chako ni kumate mtu mwenye damu kali.Jamii ya ki-Asia wanafanya sana surgery. Watoto wengi hawafanani na mama zao 😂😂
Kwa sasa nipo gongo la mboto hapa mkuu....Kurekebisha meno sawa, kurekebisha tako sio sawa.....dah uko wapi 😔
Simama hapo hapo nakupigiaKwa sasa nipo gongo la mboto hapa mkuu....
Haya mambo tuna tolea uhalali na uharamu kwa kuangalia sababu ya kufanya na madhara ya hiko kitu
I am afraid haujaelewa nililosema.jidanganye,namna pekee ya kubadili muonekano wa kizazi chako ni kumate mtu mwenye damu kali.
watoto wa Remmy Ongara ni HBs,mama wa kizungu alimuondolea sononeko la Moyo na sio kuchanje Phenotype.
Genotype ni CPU iliyobabe uhalisia wako na hakuna awazae ibadili.
Sawa sema jua kali...Simama hapo hapo nakupigia
you don't have to.I am afraid haujaelewa nililosema.
Nimesema ulichosema.
Wasichana wa kiasia, hawafanani na mama zao sio sababu wamezaliwa tofauti, ni sababu wamefanya surgery ukubwani.you don't have to.
nilikuelewa sana,na hata sasa nimekuelewa ila hakika unajindanganya.
Phenotype haifanyi uzae mtoto kitu tofauti.
Dhambi kwa nani? mwili ni mali yako, chochote utakachokifanya kuurekebisha ni juu yako. Cha msingi kisilete athari kwa watu wengine.Leo Mjanja M1 nimetafakari sana juu ya hili suala,
Kumekuwa na watu wanarekebisha mpangilio wa meno yao kwa surgery hawalalamikiwi, lakini wanaobadilisha Maumbile eg. Wanawake Wowowo wanasakamwa sana?
Au waumini mnachagua madhambi baadhi?
SAWA.Wasichana wa kiasia, hawafanani na mama zao sio sababu wamezaliwa tofauti, ni sababu wamefanya surgery ukubwani.
Kuna tofauti Gani na sehemu nyingine ya mwili??Kurekebisha meno sawa...
Wapi define ya dhsmbu ikisema mpaka mtu aathirikeBinafsi naona si dhambi, kwani nani anaathirika na hayo marekebisho.
Kuna tiba, na kuna urembo. Ukijua kutofautisha hayo hautapata taabu kujua kwanini hiki ni dhambi na kile sio dhambi.Leo Mjanja M1 nimetafakari sana juu ya hili suala,
Kumekuwa na watu wanarekebisha mpangilio wa meno yao kwa surgery hawalalamikiwi, lakini wanaobadilisha Maumbile eg. Wanawake Wowowo wanasakamwa sana.
Au waumini mnachagua madhambi baadhi?
jibu ndo hili uzi UFUNGWE.Kuna tiba, na kuna urembo. Ukijua kutofautisha hayo hautapata taabu kujua kwanini hiki ni dhambi na kile sio dhambi.
Raia akiua ni kosa kisheria. Lakini mwanajeshi akiwa vitani akaua, anaitwa shujaa.
Sababu ni tofauti...?Kuna tofauti Gani na sehemu nyingine ya mwili??