NI UPUUUZI UNAFANYA SURGERY KUFURAHISHA WATU NA KUTEKA ATTETION ZA WATU.
Sio dhambi.Kuindoa govi Je Kwa wanaume
Kama umempenda kasoro ni meno tu kwa nn yasinyooshwe ukazidi kumpenda mama watoto..yani meno tu umkatae binti wa watu mkuu akizaliwa na kengeza ingekuajeHata meno ni kuvutia wateja we mwenyewe huwezi chukua mwanamke meno yamepishana kama ya mamba...
Sasa akiongeza makalio,Matiti dhambi inatoka wapi?Sio dhambi.
Nani kayavuruga? Tuanzie hapoHata kurekebisha meno yaliyovurugika?
Huko ni kukosoa uumbaji wa MUNGU.Kumbuka kuwa tohara [kwa mwanaume tu]ni moja ya agizo la MUNGU.Sasa akiongeza makalio,Matiti dhambi inatoka wapi?
Sasa kwanini Mungu atuumbe na govi, wewe huoni kuwa Mungu anajikosoa mwenyewe.Huko ni kukosoa uumbaji wa MUNGU.Kumbuka kuwa tohara [kwa mwanaume tu]ni moja ya agizo la MUNGU.