Unabii: Ajaye ni Mwanaume, iwe anatokea tawala au upinzani

Unabii: Ajaye ni Mwanaume, iwe anatokea tawala au upinzani

Hawa ndio wanaoweza kutuletea mabadiliko ya kweli .

(1) Tundu Lisu .
Ni mzalendo wa kweli asiye na chembe ya kuremba rushwa na Ufisadi katika historia yake yote ya siasa. Hana mambo ya urafiki,ukabila , Udini na uchama zaidi ya kupinga ufisadi.

(2) Wakili Msomi Mwabukusi:
Huyu ni hazina kubwa sana kwa Nchi ya Tanganyika na ni mpango wa Mungu kumleta Mwabukusi katika kati ya giza nene la ufisadi na dhulma na utawala usiojali sheria na katiba ya nchi. Amekua ni faraja kubwa sana kwa Wananchi wa Tanganyika kwa wakati huu . Yaendeleza mambo ya ukabila na Udini zaidi ya kupinga ufisadi na wizi wa rasilimali za umma

(3) Kasimu Majaliwa.
Huyu pia anaweza kutuvusha kwa sababu anajua mbinu zote zafisadi na namna ya kudili nao.Pia hana ubaguzi wa kidini na kikabila.

(4)Januari Makamba.
Makamba, ni mtulivu kwenye kutoa maamuzi na anajua kupanguliwa mikakati yake . Hana jazba katika kutatua changamoto
Yaendeleza mambo ya Udini na ukabila. Japo amechafuliwa sana na mahasimu wake wa siasa.

(5)Mwigulu:
Anasimamia kile anachokiamini .
Ana ka hulka ka udikteta.
 
Hawa ndio wanaoweza kutuletea mabadiliko ya kweli .

(1) Tundu Lisu .
Ni mzalendo wa kweli asiye na chembe ya kuremba rushwa na Ufisadi katika historia yake yote ya siasa. Hana mambo ya urafiki,ukabila , Udini na uchama zaidi ya kupinga ufisadi.

(2) Wakili Msomi Mwabukusi:
Huyu ni hazina kubwa sana kwa Nchi ya Tanganyika na ni mpango wa Mungu kumleta Mwabukusi katika kati ya giza nene la ufisadi na dhulma na utawala usiojali sheria na katiba ya nchi. Amekua ni faraja kubwa sana kwa Wananchi wa Tanganyika kwa wakati huu . Yaendeleza mambo ya ukabila na Udini zaidi ya kupinga ufisadi na wizi wa rasilimali za umma

(3) Kasimu Majaliwa.
Huyu pia anaweza kutuvusha kwa sababu anajua mbinu zote zafisadi na namna ya kudili nao.Pia hana ubaguzi wa kidini na kikabila.

(4)Januari Makamba.
Makamba, ni mtulivu kwenye kutoa maamuzi na anajua kupanguliwa mikakati yake . Hana jazba katika kutatua changamoto
Yaendeleza mambo ya Udini na ukabila. Japo amechafuliwa sana na mahasimu wake wa siasa.

(5)Mwigulu:
Anasimamia kile anachokiamini .
Ana ka hulka ka udikteta.
Unabii haujamtaja mtu huyo, imeishia kumtaja tu ni Mwanaume.

Tusubiri.
 
Back
Top Bottom