Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tembelea Hero TV,U-tube channel.Ajaye lini nabii gani huyo ili tuweze kumpima. Biblia inasema nabii wa kweli lazima aenende kwa sheria na ushuhuda
MKUU HUU UNABII UTATIMIA AU NI KAMA ULE WA JIJI LA DAR KUZAMA MWEZI WA 4 MWAKA 2024?Salaam, Shalom!!
Huu ni unabii Si ubashiri Wala uganga.
Ajaye ni Mwanaume, haijalishi ni anatokea upinzani au tawala.
Haya Si maneno yangu, ni unabii kama alivyoona Nabii husika.
Source: Hero TV utube channel.
Tembelea Hero TV utube channel.Lini,2025 au 2030?
Wewe uliyetuletea huo utabiri wa mchongo ndiyo utuambie,niende youtube kufanya nini!Tembelea Hero TV utube channel.
Unabii haujamtaja mtu huyo, imeishia kumtaja tu ni Mwanaume.Hawa ndio wanaoweza kutuletea mabadiliko ya kweli .
(1) Tundu Lisu .
Ni mzalendo wa kweli asiye na chembe ya kuremba rushwa na Ufisadi katika historia yake yote ya siasa. Hana mambo ya urafiki,ukabila , Udini na uchama zaidi ya kupinga ufisadi.
(2) Wakili Msomi Mwabukusi:
Huyu ni hazina kubwa sana kwa Nchi ya Tanganyika na ni mpango wa Mungu kumleta Mwabukusi katika kati ya giza nene la ufisadi na dhulma na utawala usiojali sheria na katiba ya nchi. Amekua ni faraja kubwa sana kwa Wananchi wa Tanganyika kwa wakati huu . Yaendeleza mambo ya ukabila na Udini zaidi ya kupinga ufisadi na wizi wa rasilimali za umma
(3) Kasimu Majaliwa.
Huyu pia anaweza kutuvusha kwa sababu anajua mbinu zote zafisadi na namna ya kudili nao.Pia hana ubaguzi wa kidini na kikabila.
(4)Januari Makamba.
Makamba, ni mtulivu kwenye kutoa maamuzi na anajua kupanguliwa mikakati yake . Hana jazba katika kutatua changamoto
Yaendeleza mambo ya Udini na ukabila. Japo amechafuliwa sana na mahasimu wake wa siasa.
(5)Mwigulu:
Anasimamia kile anachokiamini .
Ana ka hulka ka udikteta.
Huo siyo unabii bali ni utimilifu wa ...Salaam, Shalom!!
Huu ni unabii Si ubashiri Wala uganga.
Ajaye ni Mwanaume, haijalishi ni anatokea upinzani au tawala.
Haya Si maneno yangu, ni unabii kama alivyoona Nabii husika.
Source: Hero TV utube channel.
Mungu akiwa na jambo lake, husema na watumishi zaidi ya mmoja same message Ili kusudi litimie.Huo siyo unabii bali ni utimilifu wa ...
Kanda ya majiWhat I know atatoka kanda ya ziwa
Views zinatafutwa kwa nguvu sanaWewe uliyetuletea huo utabiri wa mchongo ndiyo utuambie,niende youtube kufanya nini!
Sasa unakwazika tokea wapi?Wewe uliyetuletea huo utabiri wa mchongo ndiyo utuambie,niende youtube kufanya nini!