Kutoka kariakoo lilipoanguka ghorofa.Sasa unakwazika tokea wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka kariakoo lilipoanguka ghorofa.Sasa unakwazika tokea wapi?
2030?Salaam, Shalom!!
Huu ni unabii Si ubashiri Wala uganga.
Ajaye ni Mwanaume, haijalishi ni anatokea upinzani au tawala.
Haya Si maneno yangu, ni unabii kama alivyoona Nabii husika.
Source: Hero TV utube channel.
Nani ameliangushaKutoka kariakoo lilipoanguka ghorofa.
Unataka ubishani wa bure! Hakuna mahali nimeandika kuna mtu ameliangusha,mbona imeeleweka vizuri! Sasa sijui tatizo lako lipo wapi!Nani ameliangusha
Kwani we ni maharage ya ukweni?Salaam, Shalom!!
Huu ni unabii Si ubashiri Wala uganga.
Ajaye ni Mwanaume, haijalishi ni anatokea upinzani au tawala.
Haya Si maneno yangu, ni unabii kama alivyoona Nabii husika.
Source: Hero TV utube channel.
What I know atatoka kanda ya ziwa
?🤔2030?
au yeye anafikiri kila mtu ana simu ya uwezo kuingia youtube. mimi na wengine wengi tunatumia tecno za Operamin Na nizabataniWewe uliyetuletea huo utabiri wa mchongo ndiyo utuambie,niende youtube kufanya nini!
Tatizo ni bundle,au yeye anafikiri kila mtu ana simu ya uwezo kuingia youtube. mimi na wengine wengi tunatumia tecno za Operamin Na nizabatani
Suala la kuwa anayefuata ni mwanaume(mwaka 2030) hilo linajulikana dhahiri kwa sababu huyu wa sasa kapata zali tu lakini uchaguzi ujao kama utakuwa huru na haki hatoboi,Sasa je huo utabiri unahusu mwaka 2025 au 2030? Maana Samia ameshaweka wazi nia yake ya kugombea na tunavyojua ccm uchaguzi kwao ni vita wapo tayari kufanya lolote ili mradi watangazwe kuwa washindi haijalishi kama watashinda kweli au wataanguka,sasa je tutarajie miujiza ya kuangushwa Samia 2025?Tatizo ni bundle,
Itoshe kuelewa unabii ni kuwa :Ajaye ni Mwanaume haijalishi ni anatokea upinzani au tawala!
Unabii unaweza kutenguliwa watu wakiomba na kukata rufaa,Hatujasahau ya mafuriko ya Dar, eti tuhamie kibaha, sa hizi kuna mtu kajikausha Kama hakusema
Kuhusu lini jambo hili litakuwa, Nabii ameeleza wazi,Suala la kuwa anayefuata ni mwanaume(mwaka 2030) hilo linajulikana dhahiri kwa sababu huyu wa sasa kapata zali tu lakini uchaguzi ujao kama utakuwa huru na haki hatoboi,Sasa je huo utabiri unahusu mwaka 2025 au 2030? Maana Samia ameshaweka wazi nia yake ya kugombea na tunavyojua ccm uchaguzi kwao ni vita wapo tayari kufanya lolote ili mradi watangazwe kuwa washindi haijalishi kama watashinda kweli au wataanguka,sasa je tutarajie miujiza ya kuangushwa Samia 2025?
Kisaikolojia mtu Kama anaongea anashika pua, anakuna masikio, anashikashika kidevu, nywele, ni dalili za mtu mwongo, anaetaka kuwaaminisha watu story ya kutunga, angalia tena video ya jamaa kwa kitulia.Unabii unaweza kutenguliwa watu wakiomba na kukata rufaa,
Refer ujumbe wa Isaya Kwa mfalme Ahazi.
Epuka ushabiki kama wale wasiojua maandiko.
Basi sawa,Kisaikolojia mtu Kama anaongea anashika pua, anakuna masikio, anashikashika kidevu, nywele, ni dalili za mtu mwongo, anaetaka kuwaaminisha watu story ya kutunga, angalia tena video ya jamaa kwa kitulia.
Hata yule wa kuhamia kibaha nilivyomwangalia usoni, ni Kama anajizuia kucheka, yaani anatufanya tunaomwangalia na mazwzwa!!
Na iwe hivyo. Rais Mwanaume atatokea CCM na si upinzani.Salaam, Shalom!!
Huu ni unabii Si ubashiri Wala uganga.
Ajaye ni Mwanaume, haijalishi ni anatokea upinzani au tawala.
Haya Si maneno yangu, ni unabii kama alivyoona Nabii husika.
Source: Hero TV utube channel.
Unabii wa Isaya Kwa Mfalme haukutimia,Kumbukikumbu 18:20 Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, au atakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.
21 Nawe ukisema moyoni mwako, Tutajuaje neno asilolinena Bwana?
22 Atakaponena nabii kwa jina la Bwana, lisifuate jambo lile wala kutimia, hilo ndilo neno asilolinena Bwana; kwa kujikinai amelinena huyo nabii, usimwogope
Safi sana mkuuKumbukikumbu 18:20 Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, au atakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.
21 Nawe ukisema moyoni mwako, Tutajuaje neno asilolinena Bwana?
22 Atakaponena nabii kwa jina la Bwana, lisifuate jambo lile wala kutimia, hilo ndilo neno asilolinena Bwana; kwa kujikinai amelinena huyo nabii, usimwogope