Pre GE2025 Unabii wa Festus Chinolo waendelea kutimia kuhusu KITI kikuu kuwa cha moto

Pre GE2025 Unabii wa Festus Chinolo waendelea kutimia kuhusu KITI kikuu kuwa cha moto

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Hellow!!

Nabii huyu alitabirri kuwa baada ya kifo Cha Hayati Magufuli kuwa KITI kikuu kitaendelea kuwa Cha moto na kutokalika,

Alidai itafika time watu watakuwa wakipendekezwa kwenye nafasi za juu kuelekea KITI hicho watakataa,

Yameendelea kutimia juzi baada ya Mh Philip Mpango kuomba kujiuzulu akiweka sababu kuwa Eti " Anahitaji kuishi zaidi". Ndipo tunajiuliza ameona nini Hadi kusema hivyo? Ameona nini juu ya KITI kinachomfanya kuhofia siku zake kuwa chache endapo ataendelea kukikalia kiti?

Pia soma > Pre GE2025 - Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu wa Rais, Rais Samia aridhia ombi hilo

FUNZO: Macho ya kinabii yatumike kusaidia Nchi kutatua changamoto zinazotukabili.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
 
Hellow!!

Nabii huyu alitabirri kuwa baada ya kifo Cha Hayati Magufuli kuwa KITI kikuu kitaendelea kuwa Cha moto na kutokalika,

Alidai itafika time watu watakuwa wakipendekezwa kwenye nafasi za juu kuelekea KITI hicho watakataa,

Yameendelea kutimia juzi baada ya Mh Philip Mpango kuomba kujiuzulu akiweka sababu kuwa Eti " Anahitaji kuishi zaidi". Ndipo tunajiuliza ameona nini Hadi kusema hivyo? Ameona nini juu ya KITI kinachomfanya kuhofia uhai wake?

FUNZO: Macho ya kinabii yatumike kusaidia Nchi kutatua changamoto zinazotukabili.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Mtu wa Mungu Rabbon je maamuzi ya CCM juzi Dodoma ni ushindi upande wa kambi ipi?
 
Hellow!!

Nabii huyu alitabirri kuwa baada ya kifo Cha Hayati Magufuli kuwa KITI kikuu kitaendelea kuwa Cha moto na kutokalika,

Alidai itafika time watu watakuwa wakipendekezwa kwenye nafasi za juu kuelekea KITI hicho watakataa,

Yameendelea kutimia juzi baada ya Mh Philip Mpango kuomba kujiuzulu akiweka sababu kuwa Eti " Anahitaji kuishi zaidi". Ndipo tunajiuliza ameona nini Hadi kusema hivyo? Ameona nini juu ya KITI kinachomfanya kuhofia uhai wake?

FUNZO: Macho ya kinabii yatumike kusaidia Nchi kutatua changamoto zinazotukabili.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏


Unaumwa ugonjwa wa akili, wahi haraka hospitali
 
Mtu wa Mungu Rabbon je maamuzi ya CCM juzi Dodoma ni ushindi upande wa kambi ipi?
Kuna unabii mpya wa Edmund Mystic usemao Kuna nyota Toka Brazil ilitamani sana kuwa jua, ikatokea jua likazimika, pakawa na Giza kuu, watu wakaliao sana, mara ghafula nyota Ile ikabadilikia na kuwa jua na Kutoa mwanga mkuu sana, na watu wakaifurahia Nuru Ile.

Tujifunze kufuatilia Nabii, Manabii ni kinywa Cha Mungu,

Kuhusu upande, tusubiri.
 
#Mpango afya mgogoro,
#Ameshafikia climax ya mafinikio ya utumishi wa umma kwa upande wake,
#Hana nia ya kuwa raisi wa TZ na umri hauumuungi mkono kwenye hilo.

Hata mimi ningechukua uamuzi huo ili kuendelea tunza heshima iliyojengeka kwake.

Possibly after a year or so ya mapumziko ataanza shiriki miadhara ya uchumi na ataendelea mshauri raisi kuhusu uchumi.
 
Ni sawa Kwa uono wako.

Ila kauli ya kiongozi mkubwa kuomba kujiuzulu sababu ikiwa angependa kuishi zaidi , ikiwa kauli hiyo haikustui, una shida kubwa.
Hiyo ya kuishi zaidi umeitoa wapi!?
 
Back
Top Bottom