implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 806
- 926
Hakuna nabii zama hizi,wa mwisho alikuwa ni Muhammad Saw.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yameendelea kutimia juzi baada ya Mh Philip Mpango kuomba kujiuzulu akiweka sababu kuwa Eti " Anahitaji kuishi zaidi". Ndipo tunajiuliza ameona nini Hadi kusema hivyo? Ameona nini juu ya KITI kinachomfanya kuhofia uhai wake?Hellow!!
Nabii huyu alitabirri kuwa baada ya kifo Cha Hayati Magufuli kuwa KITI kikuu kitaendelea kuwa Cha moto na kutokalika,
Alidai itafika time watu watakuwa wakipendekezwa kwenye nafasi za juu kuelekea KITI hicho watakataa,
Yameendelea kutimia juzi baada ya Mh Philip Mpango kuomba kujiuzulu akiweka sababu kuwa Eti " Anahitaji kuishi zaidi". Ndipo tunajiuliza ameona nini Hadi kusema hivyo? Ameona nini juu ya KITI kinachomfanya kuhofia uhai wake?
Pia soma > Pre GE2025 - Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu wa Rais, Rais Samia aridhia ombi hilo
FUNZO: Macho ya kinabii yatumike kusaidia Nchi kutatua changamoto zinazotukabili.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Pamoja na unabii huu kuuelewa lakini pia kuna kanuni ya Biblia kuwa mtu akifariki akiwa kwenye kiti atakayerithi kiti hicho mauti pia yatamkuta isipochukuliwa hatua za makusudi za kiroho.Kuna unabii mpya wa Edmund Mystic usemao Kuna nyota Toka Brazil ilitamani sana kuwa jua, ikatokea jua likazimika, pakawa na Giza kuu, watu wakaliao sana, mara ghafula nyota Ile ikabadilikia na kuwa jua na Kutoa mwanga mkuu sana, na watu wakaifurahia Nuru Ile.
Tujifunze kufuatilia Nabii, Manabii ni kinywa Cha Mungu,
Kuhusu upande, tusubiri.
Ndio tena sana.Sasa Mkuu Kwani Wewe Ni Mwelevu
Huo ni upo mkuu?Ni ule wa kete ya nne na ya sita ama upi boss?
Ni Kweli, kwenye dini la mnyazi hakuna nabii maana huyo mudi ni mfu.Hakuna nabii zama hizi,wa mwisho alikuwa ni Muhammad Saw.
Hadi sasa mlango huo haujafungwa!Pamoja na unabii huu kuuelewa lakini pia kuna kanuni ya Biblia kuwa mtu akifariki akiwa kwenye kiti atakayerithi kiti hicho mauti pia yatamkuta isipochukuliwa hatua za makusudi za kiroho.
Sio kila ajiitaye nabii ni nabiiNabii ni kinywa Cha Mungu,
Mungu hawezi bet.
Kila mtu mlango wake uko wazi hadi atakapokufaHadi sasa mlango huo haujafungwa!
Ni Kweli,Sio kila ajiitaye nabii ni nabii
Nchi Ina mambo. Kwamba amejiuzulu ili aishi zaidi. Mzee mstaarabu sana kaona mchwa na genge linalomzunguka mtemi linatafuna bila hiana. Akaona hawezi beba dhambi hizo. Na ni suala la muda tu kilichopo kwenye nguo kitaanza kumla mtemi. Leo furaha kesho kilioHellow!!
Nabii huyu alitabirri kuwa baada ya kifo Cha Hayati Magufuli kuwa KITI kikuu kitaendelea kuwa Cha moto na kutokalika,
Alidai itafika time watu watakuwa wakipendekezwa kwenye nafasi za juu kuelekea KITI hicho watakataa,
Yameendelea kutimia juzi baada ya Mh Philip Mpango kuomba kujiuzulu akiweka sababu kuwa Eti " Anahitaji kuishi zaidi". Ndipo tunajiuliza ameona nini Hadi kusema hivyo? Ameona nini juu ya KITI kinachomfanya kuhofia uhai wake?
Pia soma > Pre GE2025 - Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu wa Rais, Rais Samia aridhia ombi hilo
FUNZO: Macho ya kinabii yatumike kusaidia Nchi kutatua changamoto zinazotukabili.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Kwamba Tanganyika tuliwahi kumpoteza kiongozi wa mkuu akiwa mamlakani before?Kila mtu mlango wake uko wazi hadi atakapokufa
Speaking the obvious na kujiita nabii
It’s like wale washauri nasaha wanaosema “to be good you have to be good”
Tafuteni wengine
Hao manabii wenu waambieni watabiri wao wafa lini?Kuteua mgombea mwezi januari wewe huoni kuwa ni kuchemka au KITI kuwa Cha moto?
🚮🚮🚮Hellow!!
Nabii huyu alitabirri kuwa baada ya kifo Cha Hayati Magufuli kuwa KITI kikuu kitaendelea kuwa Cha moto na kutokalika,
Alidai itafika time watu watakuwa wakipendekezwa kwenye nafasi za juu kuelekea KITI hicho watakataa,
Yameendelea kutimia juzi baada ya Mh Philip Mpango kuomba kujiuzulu akiweka sababu kuwa Eti " Anahitaji kuishi zaidi". Ndipo tunajiuliza ameona nini Hadi kusema hivyo? Ameona nini juu ya KITI kinachomfanya kuhofia uhai wake?
Pia soma > Pre GE2025 - Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu wa Rais, Rais Samia aridhia ombi hilo
FUNZO: Macho ya kinabii yatumike kusaidia Nchi kutatua changamoto zinazotukabili.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
enyi wagalatia ni nani aliyewaroga mpaka mnashindwa kujua kuwa wachawi walishakufa.Yameendelea kutimia juzi baada ya Mh Philip Mpango kuomba kujiuzulu akiweka sababu kuwa Eti " Anahitaji kuishi zaidi". Ndipo tunajiuliza ameona nini Hadi kusema hivyo? Ameona nini juu ya KITI kinachomfanya kuhofia uhai wake?
nasio wote wanaovaa makoti meupe ni madaktari wengine n wauza bucha.Sio kila ajiitaye nabii ni nabii