kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
mwenyekiti sahihi alikuwa Bernard membe,ndani ya miaka 10 ijayo ya urahisi na umakamo mpya lazima tuzike mmoja tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rejea hotuba ya kiongozi mkuu.Hiyo ya kuishi zaidi umeitoa wapi!?
Soma comment no 22Hiyo ya kuishi zaidi umeitoa wapi!?
Kuna nabii S.S Rolinga amenena unabii mzito sana kuhusu mwisho wa draft mwezi wa 10 mwaka huu. Sio rahisi rahisi.Hellow!!
Nabii huyu alitabirri kuwa baada ya kifo Cha Hayati Magufuli kuwa KITI kikuu kitaendelea kuwa Cha moto na kutokalika,
Alidai itafika time watu watakuwa wakipendekezwa kwenye nafasi za juu kuelekea KITI hicho watakataa,
Yameendelea kutimia juzi baada ya Mh Philip Mpango kuomba kujiuzulu akiweka sababu kuwa Eti " Anahitaji kuishi zaidi". Ndipo tunajiuliza ameona nini Hadi kusema hivyo? Ameona nini juu ya KITI kinachomfanya kuhofia uhai wake?
Pia soma > Pre GE2025 - Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu wa Rais, Rais Samia aridhia ombi hilo
FUNZO: Macho ya kinabii yatumike kusaidia Nchi kutatua changamoto zinazotukabili.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Point No 8 ni muhimu kuiangazia,Ukweli kuhusu utawala wa Taifa letu kwa sasa na kuendelea Mbele.
1. Rais Samia kwa sasa ndiye Rais mwenye nguvu kuliko Rais yeyote duniani
2. Hakuna anayeweza kumtoa kwenye hicho kiti kwa njia ya kura.
3. Alipokea wokovu mwezi furani tarehe furani alfajiri na mapema maeneo ya nyumba nyeupe karibu na Getini
4. Rais Samia anawakilisha Kanisa ( Mwanamke) na kanisa sio jengo ni Roho Mtakatifu ( UFUNUO 12🙂
5. Anauwezo wa kufanya chochote atakacho na akuna wa kuzuia akiamua kutoka moyoni.
6. Moyo wake ni mweupe sana ( She is Ethical) pia body language yake inajieleza mengi kwa mnaopenda kuangalia kwa njia ya mwili.
7. Anayekuja baada ya yeye ni Mtumishi anajua sana neno la Mungu
7. Taifa limeingia kwenye utawala wa kifalme maana utawala wa Mungu sio wa demokrasia.
8. Majina ya Rais aliyefariki yana siri kubwa kuusiana na yajayo kwenye taifa na alimpenda sana Rais Samia.
9. Rais wa awamu ya nne ni mtu muhimu sana kwenye Taifa maana Mungu alimjua kabla ya kumuweka tumboni mwa mama yake na akamtakasa. Soon atabadiri mwelekeo na kuna maelekezo ya kimungu anatakiwa kupokea. Yeye ( Jk) ni kama Sauli yaani Paulo wa kwenye Biblia.
10. Taifa la Tanzania kwa sasa hakuna mtu wala Taifa linaweza shambulia na karibuni mataifa mengi yataanza kuja kupokea ushauri.
Huu sio unabii ni ukweli usiopingika.
Angalizo
Kuna watu wengi watapoteza Uhai kwasababu watataka kupingana na kusudi la Mungu kwa kutaka kutumia password za zamani kuendesha Taifa wakati mambo yameshabadirika.
Ishara
I.Kunamambo mengi yanatokea kwa sasa lakini ukweli sio Serikali, wanasiasa au watu wanasababisha bali ni kutokana mabadiriko ya mifumo katika ulimwengu wa roho.
2. Watu wengi wamwataanza kujisalimisha kwenye nyumba za ibada
Nini kifanyike
Tunatakiwa kupeana maelekezo kuepusha taaruki zisizo za lazima
Zaburi 60:12
Ngoja kwanza litimie, likitimia na hili basi Si Katibu wala mwingine watakohitaj Kiti kikuu.
Yote Kwa yote Taratibu, Kanuni na Sheria vizingatiwe.
Nmeusikia huo unabiiKuna unabii mpya wa Edmund Mystic usemao Kuna nyota Toka Brazil ilitamani sana kuwa jua, ikatokea jua likazimika, pakawa na Giza kuu, watu wakaliao sana, mara ghafula nyota Ile ikabadilikia na kuwa jua na Kutoa mwanga mkuu sana, na watu wakaifurahia Nuru Ile.
Tujifunze kufuatilia Nabii, Manabii ni kinywa Cha Mungu,
Kuhusu upande, tusubiri.
Wangejua muda wa mwanakondoo kutawala falme za WANADAMU umefika wangesikia nini Mungu anasema,Kuna namna watu wamekiona kiti kile ni sofa, Kwa you can just rest in free
Usiutafsiri Hadi utakapotimia 🙏Nmeusikia huo unabii
PoaHellow!!
Nabii huyu alitabirri kuwa baada ya kifo Cha Hayati Magufuli kuwa KITI kikuu kitaendelea kuwa Cha moto na kutokalika,
Alidai itafika time watu watakuwa wakipendekezwa kwenye nafasi za juu kuelekea KITI hicho watakataa,
Yameendelea kutimia juzi baada ya Mh Philip Mpango kuomba kujiuzulu akiweka sababu kuwa Eti " Anahitaji kuishi zaidi". Ndipo tunajiuliza ameona nini Hadi kusema hivyo? Ameona nini juu ya KITI kinachomfanya kuhofia uhai wake?
Pia soma > Pre GE2025 - Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu wa Rais, Rais Samia aridhia ombi hilo
FUNZO: Macho ya kinabii yatumike kusaidia Nchi kutatua changamoto zinazotukabili.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
kwa bahati mbaya sana, maombi ya watanganyika wengi ni hayo. though binafsi simwombei mtu yeyote mabaya, ila ikitokea ndio utajua watanganyika walikuwa wanatamani nini mioyoni mwao. Mungu ibariki nchi yetu.Kuna unabii mpya wa Edmund Mystic usemao Kuna nyota Toka Brazil ilitamani sana kuwa jua, ikatokea jua likazimika, pakawa na Giza kuu, watu wakaliao sana, mara ghafula nyota Ile ikabadilikia na kuwa jua na Kutoa mwanga mkuu sana, na watu wakaifurahia Nuru Ile.
Tujifunze kufuatilia Nabii, Manabii ni kinywa Cha Mungu,
Kuhusu upande, tusubiri.
Nabii alibetHellow!!
Nabii huyu alitabirri kuwa baada ya kifo Cha Hayati Magufuli kuwa KITI kikuu kitaendelea kuwa Cha moto na kutokalika,
Alidai itafika time watu watakuwa wakipendekezwa kwenye nafasi za juu kuelekea KITI hicho watakataa,
Yameendelea kutimia juzi baada ya Mh Philip Mpango kuomba kujiuzulu akiweka sababu kuwa Eti " Anahitaji kuishi zaidi". Ndipo tunajiuliza ameona nini Hadi kusema hivyo? Ameona nini juu ya KITI kinachomfanya kuhofia uhai wake?
Pia soma > Pre GE2025 - Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu wa Rais, Rais Samia aridhia ombi hilo
FUNZO: Macho ya kinabii yatumike kusaidia Nchi kutatua changamoto zinazotukabili.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Rais Samia atakaa kwenye utawala mpaka kukabizi kwa Rais aliyekusudiwa wala hakuna lolote baya litalompata.kwa bahati mbaya sana, maombi ya watanganyika wengi ni hayo. though binafsi simwombei mtu yeyote mabaya, ila ikitokea ndio utajua watanganyika walikuwa wanatamani nini mioyoni mwao. Mungu ibariki nchi yetu.
Taifa jirani upande wa kaskazi ni mfano. Presdaa wake alijinasibu ameokoka,akaja kwenda kinyume,cheki anayoyapitia.Wangejua muda wa mwanakondoo kutawala falme za WANADAMU umefika wangesikia nini Mungu anasema,
Ni Muda wa Mungu kukalia KITI , utamwona mwanadamu amekalia KITI, lakini ndani yake amakaa Mungu kutimiza kusudi la Mungu duniani.
Mfano mzuri ni Donald trump's, ameingia tu, keshaanza kuwapelekea moto lbtq, kuondoa vita, kuzuia utoaji mimba nk nk.
Sasa usipotimiza kusudi la Mungu na umekikalia kiti hicho kinakugeuka.
Sasa Mkuu Kwani Wewe Ni MwelevuMjinga kweli wewe
Ni ule wa kete ya nne na ya sita ama upi boss?Kuna unabii fulani Nina ufatilia kwa karibu sana.
Ila ili huo utabiri utumie ... Kuna maombolezo ya kitaifa!
Tofiakwaa