TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Probability ilo 50/50 Kwa kila aliye Kwenye madaraka hadi atakapokomaKwamba Tanganyika tuliwahi kumpoteza kiongozi wa mkuu akiwa mamlakani before?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Probability ilo 50/50 Kwa kila aliye Kwenye madaraka hadi atakapokomaKwamba Tanganyika tuliwahi kumpoteza kiongozi wa mkuu akiwa mamlakani before?
Kuna unabii mpya wa Edmund Mystic usemao Kuna nyota Toka Brazil ilitamani sana kuwa jua, ikatokea jua likazimika, pakawa na Giza kuu, watu wakaliao sana, mara ghafula nyota Ile ikabadilikia na kuwa jua na Kutoa mwanga mkuu sana, na watu wakaifurahia Nuru Ile.
Tujifunze kufuatilia Nabii, Manabii ni kinywa Cha Mungu,
Kuhusu upande, tusubiri.
Tofautisha mtabiri na nabii.Sijawahi kufuatilia huyo nabii itabidi nianze kumfuatilia,
Nimezoea kumfuatilia Nabii wa ishara Tanzania, yeye alisema
Huu mwaka ni mgumu sana kwa January Makamba na Josephat Gwajima, kushinda kwao labda watumie mbinu za kijeshi ila alisema Samia atajitoa kugombea
hakuna mtu anamtakia mabaya, tunamtakia mema yote, hasa mema kwa maslahi ya nchi.Rais Samia atakaa kwenye utawala mpaka kukabizi kwa Rais aliyekusudiwa wala hakuna lolote baya litalompata.
Pili ajaye ni Mtumishi wa Mungu wala sio mwana siasa
Tatu Rais Samia mwenyewe kaokoka Bwana anamlinda na amewekwa pale kama kanisa yaani Roho mtakatifu ndiye anayetawala.