Pre GE2025 Unabii wa Festus Chinolo waendelea kutimia kuhusu KITI kikuu kuwa cha moto

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sijawahi kufuatilia huyo nabii itabidi nianze kumfuatilia,
Nimezoea kumfuatilia Nabii wa ishara Tanzania, yeye alisema
Huu mwaka ni mgumu sana kwa January Makamba na Josephat Gwajima, kushinda kwao labda watumie mbinu za kijeshi ila alisema Samia atajitoa kugombea
 
Tofautisha mtabiri na nabii.

Utabiri waeza utimie au usitimie, lakini unabii ni shart utimie, na usipotimiza,lazima utatolewa ujumbe wa kusogezwa mbele au sababu za kutotimia unabii kabla ya muda wa unabii tajwa kufika.

Ukimfuatilia huyo uliyemtaja ni kama tu Hawa wanajimu wasoma nyota, anaongea mengi, machache sana yanatimia, mengi hayatokei.
 
hakuna mtu anamtakia mabaya, tunamtakia mema yote, hasa mema kwa maslahi ya nchi.
 
Utabiri feki wa hawa matapeli, manabii uchwara wa Tanzania hauna kichwa Wala miguu na kunena kwao kwa lugha ambayo hata alikozaliwa yesu kristu haipo Wala la hawaitambui .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…