Unabii wa Godbless Lema unazidi kuwatia hofu wanasiasa wanaopindisha sheria na kutenda maovu katika jamii

Acha wivu wa kike.ulitaka tuseme polepole ndo nabii ufurahi???
 
Acha wivu wa kike.ulitaka tuseme polepole ndo nabii ufurahi???

Sijaona nabii yeyote wa kweli. Babu wa Loliondo alikuwa fake prophet and so are all other loonies (including Lema) that call themselves (or would like us to regard them as) prophets!
 
Wivu sio mtaji
 
Kwano unabii wa Biblia ulishawahi ona unatabiria matajiri wa dhahabu?? Tendeni wema mstabiriwe mabaya

Kwani Bikra Maria alitabiriwa mabaya? Sijaona mtenda mema aliyetabiriwa mema na huyo satanic prophet!
 
Unataka Hangaya atabiriwe yatakayomkuta kabla ya 2025??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…