Unachokoza wanaume halafu unakimbia kujificha nyuma ya mkeo na watoto, Hamas Wanachekesha sana

Unachokoza wanaume halafu unakimbia kujificha nyuma ya mkeo na watoto, Hamas Wanachekesha sana

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Mchezo anaotumia Hamas na magaidi ni mchezo wa kitoto ambao hutumiwa na Lastborn wengi au watoto wakike.

Unachokoza wanaume alafu unatoka nduki kujificha nyuma ya matako ya mkeo unategemea wanaume wafanye nini?
Ukipigwa wewe na mkeo na watoto unaanza kulialia.

Wanawake ndio hujificha kwa wanaume lakini kwa Hamas imekuwa tofauti. Wao ndio wanajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Ili kelele za wanawake na watoto zichochee huruma.

Kama kuna Watu waoga basi ni Watu wanaotumia mbinu hiyo. Huo ndio uoga namba moja.

Wanaume tupo kwaajili ya kuwalinda Wanawake zetu, watoto wetu, Wazee na wagonjwa wetu. Badala yake Hamas badala ya kulinda Makundi hayo wao wanawatumia kama kinga. Kwa kweli siwapendi Israel kwa tabia zao za dhulma lakini nachukizwa na tabia za Hamas za kioga, tabia za kikekike.

Wekeni kambi ijulikane hii ni kambi ya Hamas, wekeni jeshi, lijulikane hili ni jeshi la Hamas, kama ni vita piganeni ninyi wanajeshi kuonyesha uonaume wenu. Na sio mjifanye hamuogopi kufa wakati ninyi ni waoga ndio maana mnajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Huo sio uanaume.

Uoga ni dalili ya kushindwa. Na siku zote mtazidi kushindwa kwa sababu ya mbinu za kike mnazotumia.

Dawa ya kudili na wadhulumati wa kiyahudi ni kupambana nao face to face, waarabu wote waungane kukabiliana na hao Israel. Kama kweli wanamkataa huyo Myahudi hapo mashariki ya kati.

Wale wote walioupande wa Hamas unganisheni nguvu, mkapambane na yahudi dhalimu. Lakini kutaka huruma kama wanawake au watoto hiyo sio tabia ya kiume. Huyo mnayemuunga mkono ndiye anawatumia watoto na wanawake kama kinga unategemea Israel awakumbatie. Lazima awapasue.

Acheni tabia za kimama, nendeni mka-join muongeze nguvu. Muone kama hamtamshinda huyo USA na Israel.

USA na Waisraeli mbona wao hawatafuti huruma za kimama. Umempiga memba wake wao wanakuja bila kificho kuongeza na kumsapoti ndugu yao. Ninyi kipi mnashindwa?
Umoja ndio nguvu bila kujali umaskini wenu.

Haya endeleeni kutafuta huruma za kimama duniani. Wanaume wataendelea kuwatawala karne na karne mpaka mtajapojitambua.

Wenzenu wanawapiga ninyi mnaleta hadithi za kusadikika sijui za Allah, hivi mnaakili ninyi. Kwenye ulimwengu wa teknolojia nafasi ya Allah sijui Yahweh sijui Budha, sijui Yesu haipo. Acheni akili za kitoto.
Sishangai hizo dini zilianzishwa na haohao wayahudi ili kupumbaza Watu kama hivi leo.

Wewe unapigwa ati unasema Allah, sijui Mungu, sijui Yesu akusaidie. Tumewezwa!

Jumapili njema
 
dunia ya sasa hivi inajua usicheke cheke na magaidi otherwise utavuna mabua....ndo maana idf anamplekea moto mpalestina aisee dahh...inasemekana harufu ya nyamachoma imetanda pale gazaaa🔥🔥
 

Attachments

  • 20231029_041708.jpg
    20231029_041708.jpg
    99.7 KB · Views: 9
Kwema Wakuu!

Mchezo anaotumia Hamas na magaidi ni mchezo wa kitoto ambao hutumiwa na Lastborn wengi au watoto wakike.

Unachokoza wanaume alafu unatoka nduki kujificha nyuma ya matako ya mkeo unategemea wanaume wafanye nini?
Ukipigwa wewe na mkeo na watoto unaanza kulialia.

Wanawake ndio hujificha kwa wanaume lakini kwa Hamas imekuwa tofauti. Wao ndio wanajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Ili kelele za wanawake na watoto zichochee huruma.

Kama kuna Watu waoga basi ni Watu wanaotumia mbinu hiyo. Huo ndio uoga namba moja.

Wanaume tupo kwaajili ya kuwalinda Wanawake zetu, watoto wetu, Wazee na wagonjwa wetu. Badala yake Hamas badala ya kulinda Makundi hayo wao wanawatumia kama kinga. Kwa kweli siwapendi Israel kwa tabia zao za dhulma lakini nachukizwa na tabia za Hamas za kioga, tabia za kikekike.

Wekeni kambi ijulikane hii ni kambi ya Hamas, wekeni jeshi, lijulikane hili ni jeshi la Hamas, kama ni vita piganeni ninyi wanajeshi kuonyesha uonaume wenu. Na sio mjifanye hamuogopi kufa wakati ninyi ni waoga ndio maana mnajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Huo sio uanaume.

Uoga ni dalili ya kushindwa. Na siku zote mtazidi kushindwa kwa sababu ya mbinu za kike mnazotumia.

Dawa ya kudili na wadhulumati wa kiyahudi ni kupambana nao face to face, waarabu wote waungane kukabiliana na hao Israel. Kama kweli wanamkataa huyo Myahudi hapo mashariki ya kati.

Wale wote walioupande wa Hamas unganisheni nguvu, mkapambane na yahudi dhalimu. Lakini kutaka huruma kama wanawake au watoto hiyo sio tabia ya kiume. Huyo mnayemuunga mkono ndiye anawatumia watoto na wanawake kama kinga unategemea Israel awakumbatie. Lazima awapasue.

Acheni tabia za kimama, nendeni mka-join muongeze nguvu. Muone kama hamtamshinda huyo USA na Israel.

USA na Waisraeli mbona wao hawatafuti huruma za kimama. Umempiga memba wake wao wanakuja bila kificho kuongeza na kumsapoti ndugu yao. Ninyi kipi mnashindwa?
Umoja ndio nguvu bila kujali umaskini wenu.

Haya endeleeni kutafuta huruma za kimama duniani. Wanaume wataendelea kuwatawala karne na karne mpaka mtajapojitambua.

Wenzenu wanawapiga ninyi mnaleta hadithi za kusadikika sijui za Allah, hivi mnaakili ninyi. Kwenye ulimwengu wa teknolojia nafasi ya Allah sijui Yahweh sijui Budha, sijui Yesu haipo. Acheni akili za kitoto.
Sishangai hizo dini zilianzishwa na haohao wayahudi ili kupumbaza Watu kama hivi leo.

Wewe unapigwa ati unasema Allah, sijui Mungu, sijui Yesu akusaidie. Tumewezwa!

Jumapili njema
1698565685058.png

Usharudi hapa kanisani? Au unashinda jf?
 
Kwema Wakuu!

Mchezo anaotumia Hamas na magaidi ni mchezo wa kitoto ambao hutumiwa na Lastborn wengi au watoto wakike.

Unachokoza wanaume alafu unatoka nduki kujificha nyuma ya matako ya mkeo unategemea wanaume wafanye nini?
Ukipigwa wewe na mkeo na watoto unaanza kulialia.

Wanawake ndio hujificha kwa wanaume lakini kwa Hamas imekuwa tofauti. Wao ndio wanajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Ili kelele za wanawake na watoto zichochee huruma.

Kama kuna Watu waoga basi ni Watu wanaotumia mbinu hiyo. Huo ndio uoga namba moja.

Wanaume tupo kwaajili ya kuwalinda Wanawake zetu, watoto wetu, Wazee na wagonjwa wetu. Badala yake Hamas badala ya kulinda Makundi hayo wao wanawatumia kama kinga. Kwa kweli siwapendi Israel kwa tabia zao za dhulma lakini nachukizwa na tabia za Hamas za kioga, tabia za kikekike.

Wekeni kambi ijulikane hii ni kambi ya Hamas, wekeni jeshi, lijulikane hili ni jeshi la Hamas, kama ni vita piganeni ninyi wanajeshi kuonyesha uonaume wenu. Na sio mjifanye hamuogopi kufa wakati ninyi ni waoga ndio maana mnajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Huo sio uanaume.

Uoga ni dalili ya kushindwa. Na siku zote mtazidi kushindwa kwa sababu ya mbinu za kike mnazotumia.

Dawa ya kudili na wadhulumati wa kiyahudi ni kupambana nao face to face, waarabu wote waungane kukabiliana na hao Israel. Kama kweli wanamkataa huyo Myahudi hapo mashariki ya kati.

Wale wote walioupande wa Hamas unganisheni nguvu, mkapambane na yahudi dhalimu. Lakini kutaka huruma kama wanawake au watoto hiyo sio tabia ya kiume. Huyo mnayemuunga mkono ndiye anawatumia watoto na wanawake kama kinga unategemea Israel awakumbatie. Lazima awapasue.

Acheni tabia za kimama, nendeni mka-join muongeze nguvu. Muone kama hamtamshinda huyo USA na Israel.

USA na Waisraeli mbona wao hawatafuti huruma za kimama. Umempiga memba wake wao wanakuja bila kificho kuongeza na kumsapoti ndugu yao. Ninyi kipi mnashindwa?
Umoja ndio nguvu bila kujali umaskini wenu.

Haya endeleeni kutafuta huruma za kimama duniani. Wanaume wataendelea kuwatawala karne na karne mpaka mtajapojitambua.

Wenzenu wanawapiga ninyi mnaleta hadithi za kusadikika sijui za Allah, hivi mnaakili ninyi. Kwenye ulimwengu wa teknolojia nafasi ya Allah sijui Yahweh sijui Budha, sijui Yesu haipo. Acheni akili za kitoto.
Sishangai hizo dini zilianzishwa na haohao wayahudi ili kupumbaza Watu kama hivi leo.

Wewe unapigwa ati unasema Allah, sijui Mungu, sijui Yesu akusaidie. Tumewezwa!

Jumapili njema
Mwafrika kuukejeli upigania uhuru wa Mpalestina leo hii ni kama kuikejeli vita ya maji maji ni kama kumkejeli Mkwawa ni kama kuwakejeli maumau ya Kenya na ANC ya Afrika Kusini,

Ni kuusahau Uafrika wako na kuwakumbatia wakoloni.

Hivi leo Mwafrika una kipi zaidi cha kuwakejeli wapigania Uhuru wa Palestina, mimi naona ni ujinga wako tu.

Usisahau, mpaka leo hii una uhuru wa kwenye makaratasi tu lakini huna uhuru wa Kiuchumi wala Kifikra.


Hao unaowakejeli na kuwacheka leo hii, wana uhuru wa kifikra ambao wewe hauna.
 
Mwafrika kuukejeli upigania uhuru wa Mpalestina leo hii ni kama kuikejeli vita ya maji maji ni kama kumkejeli Mkwawa ni kama kuwakejeli maumau ya Kenya na ANC ya Afrika Kusini,

Ni kuusahau Uafrika wako na kuwakumbatia wakoloni.

Hivi leo Mwafrika una kipi zaidi cha kuwakejeli wapigania Uhuru wa Palestina, mimi naona ni ujinga wako tu.

Usisahau, mpaka leo hii una uhuru wa kwenye makaratasi tu lakini huna uhuru wa Kiuchumi wala Kifikra.


Hao unaowakejeli na kuwacheka leo hii, wana uhuru wa kifikra ambao wewe hauna.
Wapigwe tu hadi mitoto yao kwani ni terror bred na future terrorists.

NO MERCY MAAMAE
 
Usisahau, mpaka leo hii una uhuru wa kwenye makaratasi tu lakini huna uhuru wa Kiuchumi wala Kifikra.
Na watu wanapotaka kuuoambania uhuru huo wa kiuchumi na kifikra...wewe bibi yetu hapa unakuwaga upande wa walamba asali...mfano issue ya bandari na mambo mengine ya ovyo Kwa yanayofanywa na CCM
 
Kwema Wakuu!

Mchezo anaotumia Hamas na magaidi ni mchezo wa kitoto ambao hutumiwa na Lastborn wengi au watoto wakike.

Unachokoza wanaume alafu unatoka nduki kujificha nyuma ya matako ya mkeo unategemea wanaume wafanye nini?
Ukipigwa wewe na mkeo na watoto unaanza kulialia.

Wanawake ndio hujificha kwa wanaume lakini kwa Hamas imekuwa tofauti. Wao ndio wanajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Ili kelele za wanawake na watoto zichochee huruma.

Kama kuna Watu waoga basi ni Watu wanaotumia mbinu hiyo. Huo ndio uoga namba moja.

Wanaume tupo kwaajili ya kuwalinda Wanawake zetu, watoto wetu, Wazee na wagonjwa wetu. Badala yake Hamas badala ya kulinda Makundi hayo wao wanawatumia kama kinga. Kwa kweli siwapendi Israel kwa tabia zao za dhulma lakini nachukizwa na tabia za Hamas za kioga, tabia za kikekike.

Wekeni kambi ijulikane hii ni kambi ya Hamas, wekeni jeshi, lijulikane hili ni jeshi la Hamas, kama ni vita piganeni ninyi wanajeshi kuonyesha uonaume wenu. Na sio mjifanye hamuogopi kufa wakati ninyi ni waoga ndio maana mnajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Huo sio uanaume.

Uoga ni dalili ya kushindwa. Na siku zote mtazidi kushindwa kwa sababu ya mbinu za kike mnazotumia.

Dawa ya kudili na wadhulumati wa kiyahudi ni kupambana nao face to face, waarabu wote waungane kukabiliana na hao Israel. Kama kweli wanamkataa huyo Myahudi hapo mashariki ya kati.

Wale wote walioupande wa Hamas unganisheni nguvu, mkapambane na yahudi dhalimu. Lakini kutaka huruma kama wanawake au watoto hiyo sio tabia ya kiume. Huyo mnayemuunga mkono ndiye anawatumia watoto na wanawake kama kinga unategemea Israel awakumbatie. Lazima awapasue.

Acheni tabia za kimama, nendeni mka-join muongeze nguvu. Muone kama hamtamshinda huyo USA na Israel.

USA na Waisraeli mbona wao hawatafuti huruma za kimama. Umempiga memba wake wao wanakuja bila kificho kuongeza na kumsapoti ndugu yao. Ninyi kipi mnashindwa?
Umoja ndio nguvu bila kujali umaskini wenu.

Haya endeleeni kutafuta huruma za kimama duniani. Wanaume wataendelea kuwatawala karne na karne mpaka mtajapojitambua.

Wenzenu wanawapiga ninyi mnaleta hadithi za kusadikika sijui za Allah, hivi mnaakili ninyi. Kwenye ulimwengu wa teknolojia nafasi ya Allah sijui Yahweh sijui Budha, sijui Yesu haipo. Acheni akili za kitoto.
Sishangai hizo dini zilianzishwa na haohao wayahudi ili kupumbaza Watu kama hivi leo.

Wewe unapigwa ati unasema Allah, sijui Mungu, sijui Yesu akusaidie. Tumewezwa!

Jumapili njema
hangover ya jana usiku hiyo......
 
Na watu wanapotaka kuuoambania uhuru huo wa kiuchumi na kifikra...wewe bibi yetu hapa unakuwaga upande wa walamba asali...mfano issue ya bandari na mambo mengine ya ovyo Kwa yanayofanywa na CCM
Bandari unaletewa uchumi mkubwa hujielewi.

Ikiwa huuelewi hata ugomvi wa wapalestina kwa wayahudi ni upi utaelewa kweli faida ulizoletewa na DP World za bandari? Maaawee.

Umeshawahi kuiona bandari?
 
Kwema Wakuu!

Mchezo anaotumia Hamas na magaidi ni mchezo wa kitoto ambao hutumiwa na Lastborn wengi au watoto wakike.

Unachokoza wanaume alafu unatoka nduki kujificha nyuma ya matako ya mkeo unategemea wanaume wafanye nini?
Ukipigwa wewe na mkeo na watoto unaanza kulialia.

Wanawake ndio hujificha kwa wanaume lakini kwa Hamas imekuwa tofauti. Wao ndio wanajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Ili kelele za wanawake na watoto zichochee huruma.

Kama kuna Watu waoga basi ni Watu wanaotumia mbinu hiyo. Huo ndio uoga namba moja.

Wanaume tupo kwaajili ya kuwalinda Wanawake zetu, watoto wetu, Wazee na wagonjwa wetu. Badala yake Hamas badala ya kulinda Makundi hayo wao wanawatumia kama kinga. Kwa kweli siwapendi Israel kwa tabia zao za dhulma lakini nachukizwa na tabia za Hamas za kioga, tabia za kikekike.

Wekeni kambi ijulikane hii ni kambi ya Hamas, wekeni jeshi, lijulikane hili ni jeshi la Hamas, kama ni vita piganeni ninyi wanajeshi kuonyesha uonaume wenu. Na sio mjifanye hamuogopi kufa wakati ninyi ni waoga ndio maana mnajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Huo sio uanaume.

Uoga ni dalili ya kushindwa. Na siku zote mtazidi kushindwa kwa sababu ya mbinu za kike mnazotumia.

Dawa ya kudili na wadhulumati wa kiyahudi ni kupambana nao face to face, waarabu wote waungane kukabiliana na hao Israel. Kama kweli wanamkataa huyo Myahudi hapo mashariki ya kati.

Wale wote walioupande wa Hamas unganisheni nguvu, mkapambane na yahudi dhalimu. Lakini kutaka huruma kama wanawake au watoto hiyo sio tabia ya kiume. Huyo mnayemuunga mkono ndiye anawatumia watoto na wanawake kama kinga unategemea Israel awakumbatie. Lazima awapasue.

Acheni tabia za kimama, nendeni mka-join muongeze nguvu. Muone kama hamtamshinda huyo USA na Israel.

USA na Waisraeli mbona wao hawatafuti huruma za kimama. Umempiga memba wake wao wanakuja bila kificho kuongeza na kumsapoti ndugu yao. Ninyi kipi mnashindwa?
Umoja ndio nguvu bila kujali umaskini wenu.

Haya endeleeni kutafuta huruma za kimama duniani. Wanaume wataendelea kuwatawala karne na karne mpaka mtajapojitambua.

Wenzenu wanawapiga ninyi mnaleta hadithi za kusadikika sijui za Allah, hivi mnaakili ninyi. Kwenye ulimwengu wa teknolojia nafasi ya Allah sijui Yahweh sijui Budha, sijui Yesu haipo. Acheni akili za kitoto.
Sishangai hizo dini zilianzishwa na haohao wayahudi ili kupumbaza Watu kama hivi leo.

Wewe unapigwa ati unasema Allah, sijui Mungu, sijui Yesu akusaidie. Tumewezwa!

Jumapili njema
Ila wee jamaa bwana ni mpumbavu sana
 
Back
Top Bottom