Unachokoza wanaume halafu unakimbia kujificha nyuma ya mkeo na watoto, Hamas Wanachekesha sana

Unachokoza wanaume halafu unakimbia kujificha nyuma ya mkeo na watoto, Hamas Wanachekesha sana

Mwafrika kuukejeli upigania uhuru wa Mpalestina leo hii ni kama kuikejeli vita ya maji maji ni kama kumkejeli Mkwawa ni kama kuwakejeli maumau ya Kenya na ANC ya Afrika Kusini,

Ni kuusahau Uafrika wako na kuwakumbatia wakoloni.

Hivi leo Mwafrika una kipi zaidi cha kuwakejeli wapigania Uhuru wa Palestina, mimi naona ni ujinga wako tu.

Usisahau, mpaka leo hii una uhuru wa kwenye makaratasi tu lakini huna uhuru wa Kiuchumi wala Kifikra.


Hao unaowakejeli na kuwacheka leo hii, wana uhuru wa kifikra ambao wewe hauna.
hata kinjekitile ngwale hakuvamia raia bali aliwalenga wajeruman
 
Kwema Wakuu!

Mchezo anaotumia Hamas na magaidi ni mchezo wa kitoto ambao hutumiwa na Lastborn wengi au watoto wakike.

Unachokoza wanaume alafu unatoka nduki kujificha nyuma ya matako ya mkeo unategemea wanaume wafanye nini?
Ukipigwa wewe na mkeo na watoto unaanza kulialia.

Wanawake ndio hujificha kwa wanaume lakini kwa Hamas imekuwa tofauti. Wao ndio wanajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Ili kelele za wanawake na watoto zichochee huruma.

Kama kuna Watu waoga basi ni Watu wanaotumia mbinu hiyo. Huo ndio uoga namba moja.

Wanaume tupo kwaajili ya kuwalinda Wanawake zetu, watoto wetu, Wazee na wagonjwa wetu. Badala yake Hamas badala ya kulinda Makundi hayo wao wanawatumia kama kinga. Kwa kweli siwapendi Israel kwa tabia zao za dhulma lakini nachukizwa na tabia za Hamas za kioga, tabia za kikekike.

Wekeni kambi ijulikane hii ni kambi ya Hamas, wekeni jeshi, lijulikane hili ni jeshi la Hamas, kama ni vita piganeni ninyi wanajeshi kuonyesha uonaume wenu. Na sio mjifanye hamuogopi kufa wakati ninyi ni waoga ndio maana mnajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Huo sio uanaume.

Uoga ni dalili ya kushindwa. Na siku zote mtazidi kushindwa kwa sababu ya mbinu za kike mnazotumia.

Dawa ya kudili na wadhulumati wa kiyahudi ni kupambana nao face to face, waarabu wote waungane kukabiliana na hao Israel. Kama kweli wanamkataa huyo Myahudi hapo mashariki ya kati.

Wale wote walioupande wa Hamas unganisheni nguvu, mkapambane na yahudi dhalimu. Lakini kutaka huruma kama wanawake au watoto hiyo sio tabia ya kiume. Huyo mnayemuunga mkono ndiye anawatumia watoto na wanawake kama kinga unategemea Israel awakumbatie. Lazima awapasue.

Acheni tabia za kimama, nendeni mka-join muongeze nguvu. Muone kama hamtamshinda huyo USA na Israel.

USA na Waisraeli mbona wao hawatafuti huruma za kimama. Umempiga memba wake wao wanakuja bila kificho kuongeza na kumsapoti ndugu yao. Ninyi kipi mnashindwa?
Umoja ndio nguvu bila kujali umaskini wenu.

Haya endeleeni kutafuta huruma za kimama duniani. Wanaume wataendelea kuwatawala karne na karne mpaka mtajapojitambua.

Wenzenu wanawapiga ninyi mnaleta hadithi za kusadikika sijui za Allah, hivi mnaakili ninyi. Kwenye ulimwengu wa teknolojia nafasi ya Allah sijui Yahweh sijui Budha, sijui Yesu haipo. Acheni akili za kitoto.
Sishangai hizo dini zilianzishwa na haohao wayahudi ili kupumbaza Watu kama hivi leo.

Wewe unapigwa ati unasema Allah, sijui Mungu, sijui Yesu akusaidie. Tumewezwa!

Jumapili njema
Ujinga ni mzigo pole sana
 
dunia ya sasa hivi inajua usicheke cheke na magaidi otherwise utavuna mabua....ndo maana idf anamplekea moto mpalestina aisee dahh...inasemekana harufu ya nyamachoma imetanda pale gazaaa[emoji91][emoji91]
Pole sana
 
Mwafrika kuukejeli upigania uhuru wa Mpalestina leo hii ni kama kuikejeli vita ya maji maji ni kama kumkejeli Mkwawa ni kama kuwakejeli maumau ya Kenya na ANC ya Afrika Kusini,

Ni kuusahau Uafrika wako na kuwakumbatia wakoloni.

Hivi leo Mwafrika una kipi zaidi cha kuwakejeli wapigania Uhuru wa Palestina, mimi naona ni ujinga wako tu.

Usisahau, mpaka leo hii una uhuru wa kwenye makaratasi tu lakini huna uhuru wa Kiuchumi wala Kifikra.


Hao unaowakejeli na kuwacheka leo hii, wana uhuru wa kifikra ambao wewe hauna.
Vip mbona huzungumzii Arab Sudan wanachowafanyia waafrica weusi hapo Darfur Sudan
 
Vip mbona huzungumzii Arab Sudan wanachowafanyia waafrica weusi hapo Darfur Sudan
nani alikudanganya Uaabu ni rangi au kabila ya mtu?

Mnasikitisha sana vijana wa Kitanzania kwa kukosa "general knowledge".

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mwafrika kuukejeli upigania uhuru wa Mpalestina leo hii ni kama kuikejeli vita ya maji maji ni kama kumkejeli Mkwawa ni kama kuwakejeli maumau ya Kenya na ANC ya Afrika Kusini,

Ni kuusahau Uafrika wako na kuwakumbatia wakoloni.

Hivi leo Mwafrika una kipi zaidi cha kuwakejeli wapigania Uhuru wa Palestina, mimi naona ni ujinga wako tu.

Usisahau, mpaka leo hii una uhuru wa kwenye makaratasi tu lakini huna uhuru wa Kiuchumi wala Kifikra.


Hao unaowakejeli na kuwacheka leo hii, wana uhuru wa kifikra ambao wewe hauna.

Sikatai wao kupigania uhuru wao. Ishu inakuja wanapigania uhuru wao kwa kujificha nyuma ya wanawake na watoto.
Sijawahi kuona wapiganaji tangu kuumbwa kwa dunia kama wa aina hiyo,
Wao ndio wamekuwa wakwanza.
 
Sikatai wao kupigania uhuru wao. Ishu inakuja wanapigania uhuru wao kwa kujificha nyuma ya wanawake na watoto.
Sijawahi kuona wapiganaji tangu kuumbwa kwa dunia kama wa aina hiyo,
Wao ndio wamekuwa wakwanza.
Hiyo ni tafsiri yako, upo huru na mtazamo wako hasi.

Nakusikitikia sana uelewa wako, nilikuwa naona ni mtu mwenye uelewa mpana.

Hivi huelewi kuwa Hamas wenyewe wengi wao ni wanawake na watoto? Jionee:

1698582633938.png


1698582360601.png
 
Hiyo ni tafsiri yako, upo huru na mtazamo wako hasi.

Nakusikitikia sana uelewa wako, nilikuwa naona ni mtu mwenye uelewa mpana.

Hivi huelewi kuwa Hamas wenyewe wengi wao ni wanawake na watoto? Jionee:

View attachment 2796852

View attachment 2796842

Mimi sina ushabiki na hayo mambo. Ninachojadili ni kile kinachoonekana.

Sasa kama jeshi la Hamas ni la wanaona watoto, ni kitu gani kinafanya Watu wapige kelele kuwa wahurumiwe wakati badala ya wanaume kupambana wamewaachia Wanawake na watoto?

Kwa nini Mataifa rafiki Palestina yasiungane kupambana na Uvamizi wa Israel?
 
Mwafrika kuukejeli upigania uhuru wa Mpalestina leo hii ni kama kuikejeli vita ya maji maji ni kama kumkejeli Mkwawa ni kama kuwakejeli maumau ya Kenya na ANC ya Afrika Kusini,

Ni kuusahau Uafrika wako na kuwakumbatia wakoloni.

Hivi leo Mwafrika una kipi zaidi cha kuwakejeli wapigania Uhuru wa Palestina, mimi naona ni ujinga wako tu.

Usisahau, mpaka leo hii una uhuru wa kwenye makaratasi tu lakini huna uhuru wa Kiuchumi wala Kifikra.


Hao unaowakejeli na kuwacheka leo hii, wana uhuru wa kifikra ambao wewe hauna.
Hamas ninwapigania uhuru wewe kunguni? Unaweza kutuonesha kambi yao!!?

Hao ni magaidi wanaojificha nyuma ya Wanawake na watoto. Hao ni waoga na ni wapumbavu.

Halafu wewe na ushungi wako unaleta story za kusadikika. This time around ni kupigwa tu... ukijificha nyuma ya Wanawake na watoto wote mnapigwa! Nyambafu
 
Iran anasubiri nini kuwakabili Wayahudi.
Unafiki ni jambo baya sana
Iran atawaweza wayahudi wenye nuclear? Iran amepigana vita vingapi akashinda? Iran hawezi kuingia vitani moja kwa Moja ana hofu na uchumi wa nchi yake, pia anajiuliza mara 2, akiingia vitani na Israel ataweza kumshinda? Yasije yakajirudia Yale ya SIX DAY WAR 1967.
 
nani alikudanganya Uaabu ni rangi au kabila ya mtu?

Mnasikitisha sana vijana wa Kitanzania kwa kukosa "general knowledge".

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Uarabu nini kama sio race au unataka kudanganya
 

View: https://youtu.be/UlXpdJo7E4s?si=IpbpK6V7DzxBbECs

Unaona wanaume vitu vyao vinavyo toka kama wanaume unavyo taka kupiga mnofu.

Sa we unao waita wanaume mpaa wa fake mapitcure ya watoto wa Gaza kuwa waisrael ili wasaidiwe na europe, hawataki kuonyesha maiti za kambi 4 wameuliwa 5000 kama si zaidi.

Wamechukuliwa Mageneral 4 kama ni matekwa hivi hao ndio wanaume.


Hamasi anapigana na nchi karibu 10 Israel, America, UK, France, Germany. Canada, Australia, Poland, Netherlands na United Arab Emirates 😄



Hao ndio wanaume? Tunaona uwanaume wao wakuvunja majumba, kuwauwa wanawake na watoto wengine hata hawafiki miezi 6



Kweli wanaume wanapiga hata wagonjwa 😄 kwenye mahospital, hi ni super power ya kishoga kweli.



Hamasi wanawapiga wao wanapiga kwingine wanapiga Baker. Schools, Super markets, na hata masoko ya matunda.



We kama unaona huo ni wanaume wengine wanaona ni ushoga kabisa wanaume hawarushi maboom kuwauwa watoto, wagonjwa, wanawake, na vizee wasio na hatia.

Uwanaume ni kwenye uwanja wa vita, Hamasi atawafundisha nani Mwanaume
 
Banadri unaletewa uchumi mkubwa hujielewi.

Ikiwa huuelewi hata ugomvi wa wapalestina kwa wayahudi ni upi utaelewa kweli faida ulizoletewa na DP World za bandari? Maaawee.

Umeshawahi kuiona bandari?
We unaijia bandari weyee!?
 
Gaza pamegeuka kuwa jehanamu kwa muda mfupi, sipati picha watu wanavyoteketea [emoji26]
Vita tuishie kusikia tu, vita inatisha wazee acheni tu!. Mimi naamini katika dunia hii ukitoka kwenye uwanja wa vita uko hai hakuna kitakachokutisha tena.
Hofu pekee ya kiwango cha juu kwa kiumbe chochote kilicho hai basi ni kutoa roho yake,sasa kama utabahatika kutoka kwenye eneo la Gaza salama wakati huu aisee!
Hutasahau milele wakati uliopitia ukanusurika.
 
Back
Top Bottom