Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Sasa hii picha inahusika vipi na mada??View attachment 2796584
Usharudi hapa kanisani? Au unashinda jf?
Au unaumwa maralia??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hii picha inahusika vipi na mada??View attachment 2796584
Usharudi hapa kanisani? Au unashinda jf?
Nimesoma mara mbili mpaka tatu nikarudia alafu nikaenda kuamgalia ID ya nani hii, nikaishia na kicheko sana kwa unataka waweke kambi ili wafutiliwe mbali kabisaa, najua ulichoandika sivyo uwazavyo kwa namna nakufahamu na ufahamu wako ila unachotaka kusema kuwa wakitaka waishe wote Hamas basi waanzishe kambi zao nje ya raia
UHURU WA KUJIPATIA HAKI YA KUWAUA WAYAHUDI ETI KISA SIO WAISLAMU.Mwafrika kuukejeli upigania uhuru wa Mpalestina leo hii ni kama kuikejeli vita ya maji maji ni kama kumkejeli Mkwawa ni kama kuwakejeli maumau ya Kenya na ANC ya Afrika Kusini,
Ni kuusahau Uafrika wako na kuwakumbatia wakoloni.
Hivi leo Mwafrika una kipi zaidi cha kuwakejeli wapigania Uhuru wa Palestina, mimi naona ni ujinga wako tu.
Usisahau, mpaka leo hii una uhuru wa kwenye makaratasi tu lakini huna uhuru wa Kiuchumi wala Kifikra.
Hao unaowakejeli na kuwacheka leo hii, wana uhuru wa kifikra ambao wewe hauna.
,
😄😄😄
Hoja yake ni ya msingi. Hamas wanawachokonoa nyuki kwenye mzinga na kurudi kujificha kwa wanawake na watoto. Hasara yake ni kubwa kuliko faida. Kama Hamas anataka kupambana na mYahudi wapambane kwenye uwanja wa vita. Siyo kutumia families kama nao.Pole sana Choko wa Lumumbashi
Acha unafiki.Bandari unaletewa uchumi mkubwa hujielewi.
Ikiwa huuelewi hata ugomvi wa wapalestina kwa wayahudi ni upi utaelewa kweli faida ulizoletewa na DP World za bandari? Maaawee.
Umeshawahi kuiona bandari?
Hoja yake ni ya msingi. Hamas wanawachokonoa nyuki kwenye mzinga na kurudi kujificha kwa wanawake na watoto. Hasara yake ni kubwa kuliko faida. Kama Hamas anataka kupambana na mYahudi wapambane kwenye uwanja wa vita. Siyo kutumia families kama nao.
Japan wamewambieni waarabu na waislamu. "Wapendeni watoto wenu kuliko mnavyowachukia wa Israel". Ni ushauri mzuri
Mkuu umecatch feelings 🤣🤣🤣 poleWewe huwa unajificha nyuma ya matako ya mkeo ?
😂😂😂😂 ndio maana nikasema ulichoandika sicho unachowaza, unataka nani ajitokeze hadharani kusaidia alafu yamkute kila mmoja ale kulingana urefu wa kamba yake😂😂😂 au tutamsaidia kisirisiri tu ila sio kwa uwaziKwani Palestina hana ndugu? Mbona hawamsaidii waziwazi. Au ndugu zake ni mafukara
Mkuu umekasirika??? 🤣🤣😁😂 na kucatch feelingsWe ni choko kabisa
Sasa kama unajuwa unamchokoza anayeweza kukufutilia na kubaki majivu. Njia ya kupambana ni pamoja na mazungumzo kuliko kumchokonoa nyoka shimoni kwake kwa kutegemea utamkemea aheshimu.Nimesoma mara mbili mpaka tatu nikarudia alafu nikaenda kuangalia ID ya nani hii, nikaishia na kicheko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sana kwa hiyo unataka waweke kambi ili wafutiliwe mbali kabisaa, najua ulichoandika sivyo uwazavyo kwa namna nakufahamu na ufahamu wako ila unachotaka kusema kuwa wakitaka waishe wote Hamas basi waanzishe kambi zao nje ya raia litatumwa jiwe moja tu kutoka kusikojulikana ibaki majivu tu
Waarabu wapalestina sio wayebusi wafikisti mkuuSasa kama unajuwa unamchokoza anayeweza kukufutilia na kubaki majivu. Njia ya kupambana ni pamoja na mazungumzo kuliko kumchokonoa nyoka shimoni kwake kwa kutegemea utamkemea aheshimu.
Mbona Palestina upande wa Rais Lt Arafat na sasa Abas hakuna hizi sekeseke. Misri wamewapa mfano wa kuishi na adui yako. Ni pamoja na kuheshimu haki za kila moja.
Wafilisti wakubali kuishi pamoja na maYahudi. Kwani hakuna atakaeacha historia yake ifutike.
Kwa hiyo mmemfanya chambo ?!.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana nikasema ulichoandika sicho unachowaza, unataka nani ajitokeze hadharani kusaidia alafu yamkute kila mmoja ale kulingana urefu wa kamba yake[emoji23][emoji23][emoji23] au tutamsaidia kisirisiri tu ila sio kwa uwazi
Sasa kama unajuwa unamchokoza anayeweza kukufutilia na kubaki majivu. Njia ya kupambana ni pamoja na mazungumzo kuliko kumchokonoa nyoka shimoni kwake kwa kutegemea utamkemea aheshimu.
Mbona Palestina upande wa Rais Lt Arafat na sasa Abas hakuna hizi sekeseke. Misri wamewapa mfano wa kuishi na adui yako. Ni pamoja na kuheshimu haki za kila moja.
Wafilisti wakubali kuishi pamoja na maYahudi. Kwani hakuna atakaeacha historia yake ifutike.
Tena ni chambo mkubwa tu, ila wenye akili wamelijua ndio maana wapo kimya wanaishia kutoa matamko na ukiyaangalia matamko menyewe yamekaa kimtego hayanyooki , sasa anasubiriwa mtu aingie kwenye 18 ndio ataelewa kwa nini wimbo wa taifa la Tanzania hawatoi video yake na serikali ina helaKwa hiyo mmemfanya chambo ?!.
Jiulizeni kwanini kule Ramallah hakuna hizi sekeseke bali Gaza !!
IndeedMkuu umekasirika??? 🤣🤣😁😂 na kucatch feelings
😄😄Pumbafu!
Yaani hizi race hamna kitu kabisa IQ ndogoWanawaonea Waarabu kwa sababu muarabu na Muafrika wanafanana akili na tabia
Mambo ya ngoswe muachie NgosweIndeed