hata kinjekitile ngwale hakuvamia raia bali aliwalenga wajerumanMwafrika kuukejeli upigania uhuru wa Mpalestina leo hii ni kama kuikejeli vita ya maji maji ni kama kumkejeli Mkwawa ni kama kuwakejeli maumau ya Kenya na ANC ya Afrika Kusini,
Ni kuusahau Uafrika wako na kuwakumbatia wakoloni.
Hivi leo Mwafrika una kipi zaidi cha kuwakejeli wapigania Uhuru wa Palestina, mimi naona ni ujinga wako tu.
Usisahau, mpaka leo hii una uhuru wa kwenye makaratasi tu lakini huna uhuru wa Kiuchumi wala Kifikra.
Hao unaowakejeli na kuwacheka leo hii, wana uhuru wa kifikra ambao wewe hauna.
Ujinga ni mzigo pole sanaKwema Wakuu!
Mchezo anaotumia Hamas na magaidi ni mchezo wa kitoto ambao hutumiwa na Lastborn wengi au watoto wakike.
Unachokoza wanaume alafu unatoka nduki kujificha nyuma ya matako ya mkeo unategemea wanaume wafanye nini?
Ukipigwa wewe na mkeo na watoto unaanza kulialia.
Wanawake ndio hujificha kwa wanaume lakini kwa Hamas imekuwa tofauti. Wao ndio wanajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Ili kelele za wanawake na watoto zichochee huruma.
Kama kuna Watu waoga basi ni Watu wanaotumia mbinu hiyo. Huo ndio uoga namba moja.
Wanaume tupo kwaajili ya kuwalinda Wanawake zetu, watoto wetu, Wazee na wagonjwa wetu. Badala yake Hamas badala ya kulinda Makundi hayo wao wanawatumia kama kinga. Kwa kweli siwapendi Israel kwa tabia zao za dhulma lakini nachukizwa na tabia za Hamas za kioga, tabia za kikekike.
Wekeni kambi ijulikane hii ni kambi ya Hamas, wekeni jeshi, lijulikane hili ni jeshi la Hamas, kama ni vita piganeni ninyi wanajeshi kuonyesha uonaume wenu. Na sio mjifanye hamuogopi kufa wakati ninyi ni waoga ndio maana mnajificha nyuma ya Wanawake na watoto. Huo sio uanaume.
Uoga ni dalili ya kushindwa. Na siku zote mtazidi kushindwa kwa sababu ya mbinu za kike mnazotumia.
Dawa ya kudili na wadhulumati wa kiyahudi ni kupambana nao face to face, waarabu wote waungane kukabiliana na hao Israel. Kama kweli wanamkataa huyo Myahudi hapo mashariki ya kati.
Wale wote walioupande wa Hamas unganisheni nguvu, mkapambane na yahudi dhalimu. Lakini kutaka huruma kama wanawake au watoto hiyo sio tabia ya kiume. Huyo mnayemuunga mkono ndiye anawatumia watoto na wanawake kama kinga unategemea Israel awakumbatie. Lazima awapasue.
Acheni tabia za kimama, nendeni mka-join muongeze nguvu. Muone kama hamtamshinda huyo USA na Israel.
USA na Waisraeli mbona wao hawatafuti huruma za kimama. Umempiga memba wake wao wanakuja bila kificho kuongeza na kumsapoti ndugu yao. Ninyi kipi mnashindwa?
Umoja ndio nguvu bila kujali umaskini wenu.
Haya endeleeni kutafuta huruma za kimama duniani. Wanaume wataendelea kuwatawala karne na karne mpaka mtajapojitambua.
Wenzenu wanawapiga ninyi mnaleta hadithi za kusadikika sijui za Allah, hivi mnaakili ninyi. Kwenye ulimwengu wa teknolojia nafasi ya Allah sijui Yahweh sijui Budha, sijui Yesu haipo. Acheni akili za kitoto.
Sishangai hizo dini zilianzishwa na haohao wayahudi ili kupumbaza Watu kama hivi leo.
Wewe unapigwa ati unasema Allah, sijui Mungu, sijui Yesu akusaidie. Tumewezwa!
Jumapili njema
Pole sanadunia ya sasa hivi inajua usicheke cheke na magaidi otherwise utavuna mabua....ndo maana idf anamplekea moto mpalestina aisee dahh...inasemekana harufu ya nyamachoma imetanda pale gazaaa[emoji91][emoji91]
Vip mbona huzungumzii Arab Sudan wanachowafanyia waafrica weusi hapo Darfur SudanMwafrika kuukejeli upigania uhuru wa Mpalestina leo hii ni kama kuikejeli vita ya maji maji ni kama kumkejeli Mkwawa ni kama kuwakejeli maumau ya Kenya na ANC ya Afrika Kusini,
Ni kuusahau Uafrika wako na kuwakumbatia wakoloni.
Hivi leo Mwafrika una kipi zaidi cha kuwakejeli wapigania Uhuru wa Palestina, mimi naona ni ujinga wako tu.
Usisahau, mpaka leo hii una uhuru wa kwenye makaratasi tu lakini huna uhuru wa Kiuchumi wala Kifikra.
Hao unaowakejeli na kuwacheka leo hii, wana uhuru wa kifikra ambao wewe hauna.
Kala kona na kuzama chaka.Alirudi mkuu kukujibu tena
nani alikudanganya Uaabu ni rangi au kabila ya mtu?Vip mbona huzungumzii Arab Sudan wanachowafanyia waafrica weusi hapo Darfur Sudan
Ndio zaoKala kona na kuzama chaka.
Mwafrika kuukejeli upigania uhuru wa Mpalestina leo hii ni kama kuikejeli vita ya maji maji ni kama kumkejeli Mkwawa ni kama kuwakejeli maumau ya Kenya na ANC ya Afrika Kusini,
Ni kuusahau Uafrika wako na kuwakumbatia wakoloni.
Hivi leo Mwafrika una kipi zaidi cha kuwakejeli wapigania Uhuru wa Palestina, mimi naona ni ujinga wako tu.
Usisahau, mpaka leo hii una uhuru wa kwenye makaratasi tu lakini huna uhuru wa Kiuchumi wala Kifikra.
Hao unaowakejeli na kuwacheka leo hii, wana uhuru wa kifikra ambao wewe hauna.
Hiyo ni tafsiri yako, upo huru na mtazamo wako hasi.Sikatai wao kupigania uhuru wao. Ishu inakuja wanapigania uhuru wao kwa kujificha nyuma ya wanawake na watoto.
Sijawahi kuona wapiganaji tangu kuumbwa kwa dunia kama wa aina hiyo,
Wao ndio wamekuwa wakwanza.
Hiyo ni tafsiri yako, upo huru na mtazamo wako hasi.
Nakusikitikia sana uelewa wako, nilikuwa naona ni mtu mwenye uelewa mpana.
Hivi huelewi kuwa Hamas wenyewe wengi wao ni wanawake na watoto? Jionee:
View attachment 2796852
View attachment 2796842
Acha bangi dogo langu naona unapokea hadi sifa za watu😂😂Asante kawaida tu.
Basi wapigwe woteHiyo ni tafsiri yako, upo huru na mtazamo wako hasi.
Nakusikitikia sana uelewa wako, nilikuwa naona ni mtu mwenye uelewa mpana.
Hivi huelewi kuwa Hamas wenyewe wengi wao ni wanawake na watoto? Jionee:
View attachment 2796852
View attachment 2796842
Hamas ninwapigania uhuru wewe kunguni? Unaweza kutuonesha kambi yao!!?Mwafrika kuukejeli upigania uhuru wa Mpalestina leo hii ni kama kuikejeli vita ya maji maji ni kama kumkejeli Mkwawa ni kama kuwakejeli maumau ya Kenya na ANC ya Afrika Kusini,
Ni kuusahau Uafrika wako na kuwakumbatia wakoloni.
Hivi leo Mwafrika una kipi zaidi cha kuwakejeli wapigania Uhuru wa Palestina, mimi naona ni ujinga wako tu.
Usisahau, mpaka leo hii una uhuru wa kwenye makaratasi tu lakini huna uhuru wa Kiuchumi wala Kifikra.
Hao unaowakejeli na kuwacheka leo hii, wana uhuru wa kifikra ambao wewe hauna.
Iran atawaweza wayahudi wenye nuclear? Iran amepigana vita vingapi akashinda? Iran hawezi kuingia vitani moja kwa Moja ana hofu na uchumi wa nchi yake, pia anajiuliza mara 2, akiingia vitani na Israel ataweza kumshinda? Yasije yakajirudia Yale ya SIX DAY WAR 1967.Iran anasubiri nini kuwakabili Wayahudi.
Unafiki ni jambo baya sana
Uarabu nini kama sio race au unataka kudanganyanani alikudanganya Uaabu ni rangi au kabila ya mtu?
Mnasikitisha sana vijana wa Kitanzania kwa kukosa "general knowledge".
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
We unaijia bandari weyee!?Banadri unaletewa uchumi mkubwa hujielewi.
Ikiwa huuelewi hata ugomvi wa wapalestina kwa wayahudi ni upi utaelewa kweli faida ulizoletewa na DP World za bandari? Maaawee.
Umeshawahi kuiona bandari?
Naijia kutokea wapi?We unaijia bandari weyee!?