Unadhani kama tungekuwa na tume ya uchaguzi kama ya USA, Samia angeweza kutoboa hata kwa 10%?

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Well, ni hakika USA inakwenda kumkataa mwanamke kwa mara ya pili, Surprisingly walimpa Biden.

That means angewekwa Harris na jiwe, USA wangechagua jiwe. It is not that wanampenda sana Trump, it is because wanajua woman was never made to lead. Kuongoza nchi na kuwa mlezi ni vitu 2 tofauti.

Kinachoendelea hapo TZ ni evidence kuwa wanawake ni walezi wazuri na sio viongozi wazuri , nchi haina adabu wala woga, wizi na ufisadi upo kwenye level ya juu hatari, hayo ma barabara ya mwendokasi, SGR , bandari, taasisi za umma etc, ukiambiwa upigaji wake utalia machozi ya damu, no control and mama does not know what else to do.

Ameacha maisha yaende tu. Fanya kinachokupa flavor. Hayo maujenzi ya magorofa ya KKO ni hatari, gorofa inabomolewa leo, in two weeks kitu kimeshasimama, i wonder kama hata Quality Assurance and Standard zinafuatiliwa kweli, kakitokea tetemeko kidogo tu, tutatafutana sana ; nchi imeoza under woman leadership!

U. S can not accept a shame of Being led by woman, Harris anakufa kifo cha mende asubuhi na mapema just as Hillary Clinton and the list will go on in the future

Je, wewe unadhan tungekuwa na tume ya Uchaguzi as independent entity ya USA, Samia angetoboa hata 10% ? 😹

Ukiona mwanamke amekuwa Rais, ujue kuna namna mwanamme alishindwa kufanya wajibu wake vizuri women were never created to lead, unless man loses his sight—— alisikika Mchokonozi
 
Hawajamkataa sabbau ni mwanamke ila ni sera mbovu za Democrats that's all. Mama samia tutamkataa sio kwa sababu ya jinsia yake ila uongozi mbovu. Tuache mindset mbovu namna hii, tumeshakua na marais 5 wanaume ila bado nchi ni maskini so hakuna connection ya jinsia na uongozi.
 
Connection ipo, ila unaweza kuendelea kujidanganya. Upo huru and stop being stupid

Sera za Biden, Obama ni sawa sawa na Sera za Harris na Clinton, Obama alishinda na Biden alishinda over trump, what else nikueleze ?

It is simple and clear wanamkataa Harris na Hillary sababu Gender ….. no way

Kama ni Sera…… Harris was a continuation of Biden, i am prety sure kwa sera hizo hizo angesimama Obama au Biden Over trump… wangeshinda

Tatizo kubwa kuna human nature mnapenda kuibalance, you guys are not honesty to yourselves

Obama alinadi Ushoga na akashinda term zote 2 , what else nikueleze au una comment kwa hisia na mtetemo wa chini
 
Hata kesho ukiitwa uchaguzi turnout itakuwa ndogo, ila Samia atashinda (aina maana ni jambo jema kwa nchi).

Simply because hakuna mtu wa kumpigia kura Lissu zaidi ya wachangiaji wa JF mnaemkuza.
 
Naweka hii post kwa rejea yako. Dkt. Samia atashinda vikubwa mno.
Tatizo una kichwa kigumu kuelewa

Kuna kushinda na kupewa ; tungekuwa na tume kama ya USA, sidhan Kama ungeweza kuwa na mdomo mpana hivo
You know what i mean deep down

Samia ataweza kupewa na sio kushinda. Ili kutumia neno kushinda ni lazima kuwe na fair competion

Dola ni CCM , mahakama ni CCM , NEC ni CCM , utasemaje ni ushindani

Unakumbuka ya marehemu Jecha ? So stop being stupid
 

Tlaatlaah, Lucas Mwashambwa hii RB haiwahusu?
 
Punguza chuki za kishamba. Dr Samia ndo rais wako hadi 2030 taka usitake.
 
Well unazungumzia jamii mbili tofauti zenye mitazamo tofauti. So akienda kule atawaambia nini? Hajui jamii ile inahitaji nini
 
Unaweza kuleta ushahidi usiotia shaka kuhusu madai yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…