wala haina uhusiono wowote with powerful leadership of Democratic Republic of Tanzania 🐒
Labda kuna fananisha forceful na powerful?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wala haina uhusiono wowote with powerful leadership of Democratic Republic of Tanzania 🐒
Tatizo unanilazimisha,Punguza chuki za kishamba. Dr Samia ndo rais wako hadi 2030 taka usitake.
hayo ni maoni na mtazamo wako binafs gentleman but ukweli utabaki hivyo.As a country we have nothing to do or learn from US elections 🐒Labda kuna fananisha forceful na powerful?
Unaongelea jinsia ?
Je hao viongozi watano wa kiume wamefanikiwa Kwa asilimia ngapi kuondoa umasikini Tanzania .!?
Hapo ni Sera mbovu za either za ccm au Democratic ambazo na sio jinsia .
Kuna tofauti Sera ya biden na harris ?Unaongelea jinsia ?
Je hao viongozi watano wa kiume wamefanikiwa Kwa asilimia ngapi kuondoa umasikini Tanzania .!?
Hapo ni Sera mbovu za either za ccm au Democratic ambazo na sio jinsia .
hayo ni maoni na mtazamo wako binafs gentleman but ukweli utabaki hivyo.As a country we have nothing to do or learn from US elections 🐒
Acha uongo biden was losing this time around, tatizo sio jinsia ila inflation, immigration crisis, middle east, Ukraine war na mengineyo ndio kifo cha Democrats sio jinsia stop being delusional. Kwamba CCM ikiweka rais mwanaume ndio maendeleo yatakuja au CCM ni ile ile?Kama ni Sera…… Harris was a continuation of Biden, i am prety sure kwa sera hizo hizo angesimama Obama au Biden Over trump… wangeshinda
Walimkataaje hillary na alishinda popular vote? Hujitambui wewe. Kwamba Biden angemshinda Trump? Naona hujui lolote kuhusu siasa za USAIt is simple and clear wanamkataa Harris na Hillary sababu Gender ….. no way
gentleman,Mkuu hilo mbona ni swali tu ndugu? Nikitegemea urejee wanaojiteka au hata kufumaniwa?
Obama angepambana na Trump huyu wa sasa angepotezwa tu. Never underestimate the ability of Trump to trounce Democrats, it was never about gender.Obama alinadi Ushoga na akashinda term zote 2 , what else nikueleze au una comment kwa hisia na mtetemo wa chini
gentleman,
mie nashughulika na kuelezea masuala ya kitaifa na kimataifa yenyewe maslahi mapana ya umma...
hayo ya kibinafsi sijui ya kufumaniana, kutoana kafara au kuchukuana misukule muyafanye huko huko kibinafs kwenye vyama vyenu tafadhali 🐒
tamaa zanu binafsi kwa wake za watu na kuonja sumu kwa ulimi huku ikiwa mmekatazwa na kupewa angalizo kabisa na mmiliki wa chama, vimbelembele vyenu vitawamaliza wenyewe, shauri zenu 🐒Mkuu si ndimo powerfulness na au forcefulness zinamo dwell?
Kumbuka international or national, chimbuko ni personal. Ndiyo maana urongo na janja janja mingi tu, si wanaume si wanawake!
Au nasema uongo ndugu yangu?
Acha ujingaHawajamkataa sabbau ni mwanamke ila ni sera mbovu za Democrats that's all. Mama samia tutamkataa sio kwa sababu ya jinsia yake ila uongozi mbovu. Tuache mindset mbovu namna hii, tumeshakua na marais 5 wanaume ila bado nchi ni maskini so hakuna connection ya jinsia na uongozi.
tamaa zanu binafsi kwa wake za watu na kuonja sumu kwa ulimi huku ikiwa mmekatazwa na kupewa angalizo kabisa na mmiliki wa chama, vimbelembele vyenu vitawamaliza wenyewe, shauri zenu 🐒
Labda hiyo 10% itakuwa wanaopewa fedha. Trump anashinda Marekani itakuwa ujumbe Tanzania kuwa anahitajika Rais Mwanaume na awe kijani mwenye nguvu mzee ili awezane na mikiki ya kuiongoza nchi kupambana na ufisadi ulikithiri.Well, ni hakika USA inakwenda kumkataa mwanamke kwa mara ya pili, Surprisingly walimpa Biden.
That means angewekwa Harris na jiwe, USA wangechagua jiwe. It is not that wanampenda sana Trump, it is because wanajua woman was never made to lead. Kuongoza nchi na kuwa mlezi ni vitu 2 tofauti.
Pamoja na sura ya yule mama wa bungeni, hata afoke vipi, no body scares or cares, but akifoka mwanaume you can feel it.
Kinachoendela hapo TZ ni evidence kuwa wanawake ni walezi wazuri na sio viongozi wazuri , nchi haina adabu wala woga, wizi na ufisadi upo kwenye level ya juu hatari, hayo ma barabara ya mwendokasi, SGR , bandari, taasisi za umma etc, ukiambiwa upigaji wake utalia machozi ya damu, no control and mama does not know what else to do.
Ameacha maisha yaende tu. Fanya kinachokupa flavor. Hayo maujenzi ya magorofa ya KKO ni hatari, gorofa inabomolewa leo, in two weeks kitu kimeshasimama, i wonder kama hata Quality Assurance and Standard zinafuatiliwa kweli, kakitokea tetemeko kidogo tu, tutatafutana sana ; nchi imeoza under woman leadership!
U. S can not accept a shame of Being led by woman, Harris anakufa kifo cha mende asubuhi na mapema just as Hillary Clinton and the list will go on in the future
Je, wewe unadhan tungekuwa na tume ya Uchaguzi as independent entity ya USA, Samia angetoboa hata 10% ? 😹
Ukiona mwanamke amekuwa Rais, ujue kuna namna mwanamme alishindwa kufanya wajibu wake vizuri women were never created to lead, unless man loses his sight—— alisikika Mchokonozi
masuala sijui ya bilionea nani kasema bado ni ni mambo binafsi ambayo siwezi kuyasemea.Kwani yule bilionea aliwahi kusema yaliyojiri?
Si kuwa kuna ni hayo ya forcefulness au na powerfulness zinazowaacha wachache mno kuusema ukweli ule wenyewe?