Unadhani kama tungekuwa na tume ya uchaguzi kama ya USA, Samia angeweza kutoboa hata kwa 10%?

Unadhani kama tungekuwa na tume ya uchaguzi kama ya USA, Samia angeweza kutoboa hata kwa 10%?

Atashinda na njaa lakini sio uchaguzi mkuu.

1.Mosi kura za waislamu wengi wanaume hapati.
2.Kura za akina mama wengi hapati,

3.kura za vijana wengi hapati.
4.Jinsia yake nani akubali kuongozwa na mwanamke??

Marekani wamekataa , sisi ni nani??

Mwenzake kanyolewa na yeye atie maji.
Rejea pia issue ya Joyce Banda Malawi.

5.Kura za wapinzani plus other factors

Saa💯 must go her home Kizimkazi.
Weka hii comment kwa rejea yako, mwakani Dkt. Samia atashinda vikubwa sana, hata kama hupendi lakini ndio hivyo tena. Waislamu wanampenda, Wakristo wanampenda na hata Wapagani wanampenda. Sema wewe ndio hutampigia ambayo ni kura almost negligible kwa kura zote.
 
downloadfile.png
Naweka hii post kwa rejea yako. Dkt. Samia atashinda vikubwa mno.
 
Well, ni hakika USA inakwenda kumkataa mwanamke kwa mara ya pili, Surprisingly walimpa Biden.

That means angewekwa Harris na jiwe, USA wangechagua jiwe. It is not that wanampenda sana Trump, it is because wanajua woman was never made to lead. Kuongoza nchi na kuwa mlezi ni vitu 2 tofauti.

Kinachoendela hapo TZ ni evidence kuwa wanawake ni walezi wazuri na sio viongozi wazuri , nchi haina adabu wala woga, wizi na ufisadi upo kwenye level ya juu hatari, hayo ma barabara ya mwendokasi, SGR , bandari, taasisi za umma etc, ukiambiwa upigaji wake utalia machozi ya damu, no control and mama does not know what else to do.

Ameacha maisha yaende tu. Fanya kinachokupa flavor. Hayo maujenzi ya magorofa ya KKO ni hatari, gorofa inabomolewa leo, in two weeks kitu kimeshasimama, i wonder kama hata Quality Assurance and Standard zinafuatiliwa kweli, kakitokea tetemeko kidogo tu, tutatafutana sana ; nchi imeoza under woman leadership!

U. S can not accept a shame of Being led by woman, Harris anakufa kifo cha mende asubuhi na mapema just as Hillary Clinton and the list will go on in the future

Je, wewe unadhan tungekuwa na tume ya Uchaguzi as independent entity ya USA, Samia angetoboa hata 10% ? 😹

Ukiona mwanamke amekuwa Rais, ujue kuna namna mwanamme alishindwa kufanya wajibu wake vizuri women were never created to lead, unless man loses his sight—— alisikika Mchokonozi
Sijasoma mpaka chini kwani ni pumba tupu.

Kumbuka kwamba wizi na ufisadi umekuwepo tangu Nyerere akiwa madarakani miaka 40 iliyopita.

Nchi haina adabu wala uoga tangu miaka hiyo, uonevu na ushenzi wa kila aina pale wizara ya ardhi upo ulikuwepo na utaendelea kuwepo siku zote.

Report chafu za CAG zinatolewa kila mwaka hazijali ikulu yupo ME au KE.

Cha muhimu ni kuachana na hizi kasumba za kishamba kwamba Mwanamke hawezi kuwa rais, ndio keshakuwa sasa ndio yupo pale ikulu tangu 2021 March na nchi inakwenda vizuri sana.

Tazama uwekezaji ulivyopanda kuanzia alipoingia ikulu mpaka leo, tazama mazingira ya biashara yalivyo mepesi muda huu.

Jinsia wakati mwingine ni upuuzi mtupu, Ujerumani imeongozwa na Chancellor mwanamke kwa miaka 15 na uchumi wake ukiwa juu kuliko mataifa yote ya Ulaya.
 
Hapo hakuna issue ya jinsia bali ni kuuzika kisera.

Samia ana sera gani kwa mfano ambazo zitakupa hamasa kumchagua ?

Miaka yake mitatu aliyookota dodo kwenye mbuyu si unaona alivyopwaya?

Samia ukiondoa PR na kulipa machawa hana ushawishi hata wa kumkaribia Lipumba na CUF ile ya 2005 na wakati huo hakukuwa na mitandao ya kijamii inayounganisha watu kutokana na watumiaji wa internet kuwa wachache.
 
Hawajamkataa sabbau ni mwanamke ila ni sera mbovu za Democrats that's all. Mama samia tutamkataa sio kwa sababu ya jinsia yake ila uongozi mbovu. Tuache mindset mbovu namna hii, tumeshakua na marais 5 wanaume ila bado nchi ni maskini so hakuna connection ya jinsia na uongozi.
Huo ndio uhalisia katika jamii za watu Duniani,hata wewe leo hii sio chochote kukiwa na uchaguzi wa haki katika hii nchi tukiwasimamisha one to one na SAMIA ambaye ni maarufu na kila kitu,wewe utashinda.
 
Weka hii comment kwa rejea yako, mwakani Dkt. Samia atashinda vikubwa sana, hata kama hupendi lakini ndio hivyo tena. Waislamu wanampenda, Wakristo wanampenda na hata Wapagani wanampenda. Sema wewe ndio hutampigia ambayo ni kura almost negligible kwa kura zote.
Umeongea upuuzi wa Hali ya juu sana, unajaribu kukimbia ukweli ambao uko wazi kabisa.

Samia anamlizia miezi almost 10 sasa ya Urais wa URITHI, labda kama mbinu yenu ya wizi wa kura, kupiga kura na kuweka kwenye mabegi ilikujazia na kupata ushindi wa uongo.

Lakini pia kutumia vyombo vya dola kama Polisi , lakini kura kama kura za watanzania, Samia hana chake, nafuu yenu Jaribuni kumpa MAJALIWA agombee, lakini hiyo Mama hamna kitu, ajiandae akalee wajukuu kizimkazi.

Au aende OMAN kwa wajomba zake ambao amewauzia kwa mnada maliasili za Tanzania Bara, lakini kawauzia Bandari za Bara.

Kama kweli Watanzania wana akili sasa ni wakati wa kukataa Rais ambaye anauza rasilimali za Nchi.
 
Well, ni hakika USA inakwenda kumkataa mwanamke kwa mara ya pili, Surprisingly walimpa Biden.

That means angewekwa Harris na jiwe, USA wangechagua jiwe. It is not that wanampenda sana Trump, it is because wanajua woman was never made to lead. Kuongoza nchi na kuwa mlezi ni vitu 2 tofauti.

Kinachoendela hapo TZ ni evidence kuwa wanawake ni walezi wazuri na sio viongozi wazuri , nchi haina adabu wala woga, wizi na ufisadi upo kwenye level ya juu hatari, hayo ma barabara ya mwendokasi, SGR , bandari, taasisi za umma etc, ukiambiwa upigaji wake utalia machozi ya damu, no control and mama does not know what else to do.

Ameacha maisha yaende tu. Fanya kinachokupa flavor. Hayo maujenzi ya magorofa ya KKO ni hatari, gorofa inabomolewa leo, in two weeks kitu kimeshasimama, i wonder kama hata Quality Assurance and Standard zinafuatiliwa kweli, kakitokea tetemeko kidogo tu, tutatafutana sana ; nchi imeoza under woman leadership!

U. S can not accept a shame of Being led by woman, Harris anakufa kifo cha mende asubuhi na mapema just as Hillary Clinton and the list will go on in the future

Je, wewe unadhan tungekuwa na tume ya Uchaguzi as independent entity ya USA, Samia angetoboa hata 10% ? 😹

Ukiona mwanamke amekuwa Rais, ujue kuna namna mwanamme alishindwa kufanya wajibu wake vizuri women were never created to lead, unless man loses his sight—— alisikika Mchokonozi
umedema 10 au 110? CHADEMA na kelele zote inakosa wagombea kwenye vitongoji na mitaa- uwe unaficha aibu yako
 
Tuendelee kukataa wanawake sababu wanaume wametupa maendeleo makubwa sasa TZ ni kama mbinguni 😂
 
Well, ni hakika USA inakwenda kumkataa mwanamke kwa mara ya pili, Surprisingly walimpa Biden.

That means angewekwa Harris na jiwe, USA wangechagua jiwe. It is not that wanampenda sana Trump, it is because wanajua woman was never made to lead. Kuongoza nchi na kuwa mlezi ni vitu 2 tofauti.

Kinachoendela hapo TZ ni evidence kuwa wanawake ni walezi wazuri na sio viongozi wazuri , nchi haina adabu wala woga, wizi na ufisadi upo kwenye level ya juu hatari, hayo ma barabara ya mwendokasi, SGR , bandari, taasisi za umma etc, ukiambiwa upigaji wake utalia machozi ya damu, no control and mama does not know what else to do.

Ameacha maisha yaende tu. Fanya kinachokupa flavor. Hayo maujenzi ya magorofa ya KKO ni hatari, gorofa inabomolewa leo, in two weeks kitu kimeshasimama, i wonder kama hata Quality Assurance and Standard zinafuatiliwa kweli, kakitokea tetemeko kidogo tu, tutatafutana sana ; nchi imeoza under woman leadership!

U. S can not accept a shame of Being led by woman, Harris anakufa kifo cha mende asubuhi na mapema just as Hillary Clinton and the list will go on in the future

Je, wewe unadhan tungekuwa na tume ya Uchaguzi as independent entity ya USA, Samia angetoboa hata 10% ? 😹

Ukiona mwanamke amekuwa Rais, ujue kuna namna mwanamme alishindwa kufanya wajibu wake vizuri women were never created to lead, unless man loses his sight—— alisikika Mchokonozi
Hata asilimia Mbili hawezi kupata.
 
Tatizo unanilazimisha,

Kama unanilazimisha hivi, ujue kuna mahali ipo shida, it has to come from my consent

Neno Utake usitake usingeweza kulitumia na mdomo wako mpana kama tungekuwa na NEC ambayo ni independent entity

It is stupid that NECs DG achaguliwe na Rais , DED anachaguliwa na Rais , Mkuu wa wilaya anachaguliwa na Rais , Mkuu wa Mkoa anachaguliwa na Rais …… mfumo ambao unaenda kuhakikisha CCM inaiba kura, na mkuu wa wilaya eneo lake chama kikishindwa huwa anafukuzwa, najiuliza DED, mkuu wa wilaya na mkoa ni wanapaswa kuwa watumishi au wafanya kaki wa CCM ?

Mambo ya hovyo kama hayo halafu eti Utake Usitake, ….. are you mad ?
Chukua hii itakusaidia. Mwenyekiti wa CCM ndiye anateua wafuatao;
1. Mkuu wa majeshi (CDF)
2. Inspekta Jenerali wa polisi (IGP)
3. Jaji mkuu
4. Kamishna wa TAKUKURU
5. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi
6. Mkurugenzi wa uchaguzi
7. Kamishna wa idara ya uhamiaji
8. Mkuu wa usalama wa taifa (TISS)
9. Wakurugenzi wa wilaya ambao pia ndo wasimamizi wa uchaguzi majimboni
10. Msajili wa vyama vya siasa.

Mwenyekiti wa CCM ni mhimili wa mihimili mingine.
 
Well, ni hakika USA inakwenda kumkataa mwanamke kwa mara ya pili, Surprisingly walimpa Biden.

That means angewekwa Harris na jiwe, USA wangechagua jiwe. It is not that wanampenda sana Trump, it is because wanajua woman was never made to lead. Kuongoza nchi na kuwa mlezi ni vitu 2 tofauti.

Kinachoendela hapo TZ ni evidence kuwa wanawake ni walezi wazuri na sio viongozi wazuri , nchi haina adabu wala woga, wizi na ufisadi upo kwenye level ya juu hatari, hayo ma barabara ya mwendokasi, SGR , bandari, taasisi za umma etc, ukiambiwa upigaji wake utalia machozi ya damu, no control and mama does not know what else to do.

Ameacha maisha yaende tu. Fanya kinachokupa flavor. Hayo maujenzi ya magorofa ya KKO ni hatari, gorofa inabomolewa leo, in two weeks kitu kimeshasimama, i wonder kama hata Quality Assurance and Standard zinafuatiliwa kweli, kakitokea tetemeko kidogo tu, tutatafutana sana ; nchi imeoza under woman leadership!

U. S can not accept a shame of Being led by woman, Harris anakufa kifo cha mende asubuhi na mapema just as Hillary Clinton and the list will go on in the future

Je, wewe unadhan tungekuwa na tume ya Uchaguzi as independent entity ya USA, Samia angetoboa hata 10% ? 😹

Ukiona mwanamke amekuwa Rais, ujue kuna namna mwanamme alishindwa kufanya wajibu wake vizuri women were never created to lead, unless man loses his sight—— alisikika Mchokonozi
Ni dhahili kwetu huku siyo sera bali ni chama mhusika anachotoka na affliation yake na vyombo vya ulinzi na usalama. Dkt Samia ili ashinde basi vyombo vya ulinzi na usalama vimkubali (kitu ambacho mpaka sasa hana maelewano navyo-ushahidi kabadili DG Tiss mara kazaa), maana yake ni dhahili kuna vitu alitaka kulazimisha TISS wakakataa kata kata akafukuza DG, na maana yake uchaguzi utakuwa huru na haki na hivyo kupelekea kushindwa uchaguzi. Kosa lake kubwa Dkt Samia ni kuacha kutumia mfumo halali na kujitengenezea wake, sasa hivi CCM hawatembei na image ya rais bali wanaimarisha brand ya CCM
 
Tatizo una kichwa kigumu kuelewa

Kuna kushinda na kupewa ; tungekuwa na tume kama ya USA, sidhan Kama ungeweza kuwa na mdomo mpana hivo
You know what i mean deep down

Samia ataweza kupewa na sio kushinda. Ili kutumia neno kushinda ni lazima kuwe na fair competion

Dola ni CCM , mahakama ni CCM , NEC ni CCM , utasemaje ni ushindani

Unakumbuka ya marehemu Jecha ? So stop being stupid
Angalau mmeanza kufikiri vizuri! No fair competition no winner! Mama atapewa urais
 
Back
Top Bottom