Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Je,
huwa wanajua na wanafahamu kabisa kwamba hawaaminiki, hawaelewekagi wala hawakubaliki mbele ya wananchi?
Nini kifanyike kuondoa unyonge huo wa wanachama wa chadema hasa wakiwa mitaani bila viongozi wao?
Na kipi hupelekea vijana hao kupata mihemko na makasiriko ya kiwango cha kurusha ngumi na kuishia kuporomosha matusi ikiwa una maoni au mtazamo tofauti na hoja wanazoibua?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Soma pia:
huwa wanajua na wanafahamu kabisa kwamba hawaaminiki, hawaelewekagi wala hawakubaliki mbele ya wananchi?
Nini kifanyike kuondoa unyonge huo wa wanachama wa chadema hasa wakiwa mitaani bila viongozi wao?
Na kipi hupelekea vijana hao kupata mihemko na makasiriko ya kiwango cha kurusha ngumi na kuishia kuporomosha matusi ikiwa una maoni au mtazamo tofauti na hoja wanazoibua?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Soma pia: