Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Angekua sukuma gang asingezuia walafi wa madaraka wampindue mama.Mabeyo alikuwa anakwambia hayo?
.
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Mabeyo si ndio mlikuwa manasema ni sukuma gang kwa kuwa ni mteuliwa wa jiwe?
Kama yule jizi la nyumba za serikali na mabilioni kibao alivyohukumiwa huko kaburini!!??Jinai haifi hata ukifa utahukumiwa ukiwa kaburini
Hebu tuwekee hapo ndugu acha porojoipo barua ya Nyerere ya kujiuzuru. Tuonyeshe ya Gaidi AKA Mwizi
Kenya imetuzidi mbali mno!yaani unaonyesha kabisa huo ni ushabiki maandazi lakini ukweli unauonahivi tanzania ya miaka ya 61 na ya sasa viko sawa? wakati wewe unaenda shule bila viatu ni sawa na watoto wako sasa wanaenda kwa school bus? msikufuru acheni huo ushabiki tumepiga hatua kubwa sana sema nchi gani ambayo imetuzidi kiasi cha kutisha east africa
Siasa ni AJIRA na BIASHARA kubwa. Imemtajirisha Mbowe, Ndesamburo, Heche, Msigwa,Lissu, Lema na kuwapa FURSA nyingi za bure bure.Ili nalo litapita, ila MBOWE na wapinzani wengine waachane na siasa wafanye shughuli zingine ama warudi ccm.
Sioni anachokoswa ama anachotafuta mbowe katika maisha yake hadi ajivike UKUHANI wa Akina mussa kuwaokoa Wanaisrael kutoka kwa farao. Nchi hii si rafiki kwa mtu aliyeko nje ya Ccm.
Huyo kazoea ya HOJA za makelele kwenye vijiwe, nadhani sasa anajifunza. MSAMEHE.Chini ya 18 huyu Bila shaka,vinginevyo akanushe hapa.
Wasisahau pia kuileta mamlaka iliyomteuaNasikia lengai Ni shahidi wa mbowe na IGP
Fikiria Mwenyekiti wa Chama yupo Gerezani wafuasi wake wapo Mitandaoni wanashangilia magoli ya Ronaldo na BrunoHali imebadilika mahakamani baada ya Kibatala kuomba Mashahidi wanne wasitajwe mahakamani kwa Usalama wao. Hali hii imepelekea Mawakili wa Jamhuri kuomba kesi iarishwe au la sivyo isikilizwe bila kuwepo watu mahakamani.
Je, Mashahidi hao ni waking Nani? Lakini kwa upande mwingine Jamhuri imetoa vielelezo ambapo vielelezo vyote vinatokana na kazi za awali za watuhumiwa wa Kwanza Hadi watatu na hukuna kilipuzi kwenye vielelezo hivyo. Vingi ya vielelezo ni sare za kaxi za Jeshi .
Mwenyekiti wa Chama yupo Gerezani wafuasi wake wapo Mitandaoni wanashangilia magoli ya Ronaldo na BrunoShida ni kwamba anaowapigania hamjielewi na wanafiq.
Nina amini kwa ukwasi alio nao mbowe na Family yake kwa ujmla hata kilo 1 ya sukari ingeliuzwa Laki 6 bado Ana uwezo wa ku- survive kwa miaka 50 bila kuteteleka kiuchumi.
Kwani anayem control mama Samia ni nani kwa sasa ?Ndio maana mabeyo anashauri kesi ifutwe na haina tija ila wanampuuza sitashangaa Kama atachukua Nchi kabla ya 2025
Maana wakubwa ndani ya jeshi walitoa miezi 6 ya mabadiliko makubwa ila hakuna kitu Bora tuwe Kama Guinea tu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Punguza chuki mzee kwani Nyerere aliacha vipi kazi yake ya ualimu au nae alikuwa mwizi wa chaki?
Roho yangu itafurahi sana yakitokea yaliyotokea GuineaKwa hiyo hii kesi itapelekea mapinduzi ya kijeshi
Ambayo ingemwezesha kutawala milele au sio.Wewe ujui tsbia za watu kama magufuli mm nakuambia chini ya magufuli katiba ingepatikani tena nzuri isiyo na unafiki
Udaku huo.........jifunze kuchanganua mwenyeweNaambiwa nambiwa na mtuu wa ndani
Toa hoja za msingi.wakati wa mandela nchi yote ilikuwa against white people. Leo hii mkoloni ni mtu mweusi so tegemea kuwepo na pande mbili so kuacha eti kwasababu baadhi hawakusapoti ni upumbavu so long as unachopigania kina maslahi kwa umma.Mdogo wangu.. Case ya Mandela ni tofauti na waliyonayo wapinzani wa Tanzania.
Mandela alikuwa akipigania watu Hai, hii ni kinyume na tanzania.. Kuna rais wa kwenya aliwai sema Nyerere anatawala maiti( WAFU wanaotembea) Ukipigania watu Hai watasimama na wewe katika stuation yoyote ile. wazuru walisimama na Mandela, bila Mandela kupoza hasira za wazuru history ya Haiti ingelijirudia Africa dhidi wazungu, Leo hii wazungu wasingelikuwepo SA.
Nb/
Unataka wapinzani wa Tanzania wapatwe na nini ndiyo tuseme INATOSHA?.
Jaribu kuvaa machungu wanayopitia familia ya Ben..vaaa uhuska wa TL mwili wake ni kama net kwasababu ya matobo ya risasi end of the day kaambulia Dhihaka kwa aliokuwa akiwapigania. wengine wamefilisiwa kwasababu ya kupigania mazombi.
Akina jua kali walisoma nyakati mapema, uwezi risk maisha yako kwa watu wapumbavu even God himself hashughuliki na wapumbavu ni vipi wewe mwanadamu uzani utaweza?.
Ujasili walio nao ni wa nyuma ya keypad tu, nyuma ya keypad Kuna ma- nevy seal Mossad etc nje na hapo uoni mtu.
Siasa ni AJIRA na BIASHARA kubwa. Imemtajirisha Mbowe, Ndesamburo, Heche, Msigwa,Lissu, Lema na kuwapa FURSA nyingi za bure bure.
Wakiacha siasa wewe utakuwa unawapa hizo MILIONI 300-400 kila mwezi bure bure??!
😂😂Kwamba wametajirika kupitia siasa!!.Siasa ni AJIRA na BIASHARA kubwa. Imemtajirisha Mbowe, Ndesamburo, Heche, Msigwa,Lissu, Lema na kuwapa FURSA nyingi za bure bure.
Wakiacha siasa wewe utakuwa unawapa hizo MILIONI 300-400 kila mwezi bure bure??!
Kuwatafuta WOTE waliyoonekana kuwa karibu na HAMZAWakimalizana nae wapekue magaidi mengine kule kwenye saccos yake. Kazi iendelee.
Ni nani aliwai pigania watu wasiomsapoti na akashinda?.Toa hoja za msingi.wakati wa mandela nchi yote ilikuwa against white people. Leo hii mkoloni ni mtu mweusi so tegemea kuwepo na pande mbili so kuacha eti kwasababu baadhi hawakusapoti ni upumbavu so long as unachopigania kina maslahi kwa umma.