Mdogo wangu.. Case ya Mandela ni tofauti na waliyonayo wapinzani wa Tanzania.
Mandela alikuwa akipigania watu Hai, hii ni kinyume na tanzania.. Kuna rais wa kwenya aliwai sema Nyerere anatawala maiti( WAFU wanaotembea) Ukipigania watu Hai watasimama na wewe katika stuation yoyote ile. wazuru walisimama na Mandela, bila Mandela kupoza hasira za wazuru history ya Haiti ingelijirudia Africa dhidi wazungu, Leo hii wazungu wasingelikuwepo SA.
Nb/
Unataka wapinzani wa Tanzania wapatwe na nini ndiyo tuseme INATOSHA?.
Jaribu kuvaa machungu wanayopitia familia ya Ben..vaaa uhuska wa TL mwili wake ni kama net kwasababu ya matobo ya risasi end of the day kaambulia Dhihaka kwa aliokuwa akiwapigania. wengine wamefilisiwa kwasababu ya kupigania mazombi.
Akina jua kali walisoma nyakati mapema, uwezi risk maisha yako kwa watu wapumbavu even God himself hashughuliki na wapumbavu ni vipi wewe mwanadamu uzani utaweza?.
Ujasili walio nao ni wa nyuma ya keypad tu, nyuma ya keypad Kuna ma- nevy seal Mossad etc nje na hapo uoni mtu.