Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Mbona ugonjwa walisema ,wewe ujaelewa logic yanguSio rahisi hivyo. Kifo tu walificha siku za kutosha ndio iwe ugonjwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ugonjwa walisema ,wewe ujaelewa logic yanguSio rahisi hivyo. Kifo tu walificha siku za kutosha ndio iwe ugonjwa?
Hao wazungu wanafanya ngono chafu kuliko sisi ila ukimwi ni kidogo kwaoYani ufanye ngono zembe wewe na Asha ngedele halafu usingizie wazungu?
Pumbavu kabisa.
Hivi wewe umezaliwa lini??toa hapa hadithi zako za mwanasesele,aliyekwambia wakati wa Nyerere nchi ilikuwa vizuri nani??katika nyanja ipi??kwa hiyo Magu angeikuta nchi iko vizuri angekua kiongozi mzuri NONSENSE.Katiba ilikuwa rahisi kupatikana chini ya magufuli kuliko kiongozi yoyote tena katiba ya kweli siyo ya kinafiki ila ukiwa na saikoloji ndogo ni vigumu kunielewa magu alitambua sana ubovu wa hii katiba ila alitumia ubovu wake kama alivyosema nyerere kuwa akipatikana kiongozi mzuri hii katiba itamfaa ila akipatikana kiongozi fisadi watz tutajuta, ubaya wa magu unatokana na kukuta nchi imechafukwa kwa mafisadi wauza unga nk ndiyo maana tunamuona magufuli kuwa ni dictator ila angekuta nchi ipo kama wakati wa nyerere watu tungegundua kuwa magu alikuwa kiongozi mzuri sana
Kuna tofauti gani kati ya ccm na wakoloni?madai yake anatafuta uhuru wa tz yaani hata hajui kama nchi ilishaga pata uhuru toka mwaka 1961
Alisikika kubwa jinga akipayuka!Matokeo ya Div 0 ndio haya, mtu hata huelewi nchi yetu ilipata uhuru 1961, Mbowe anatafuta asichokijua, sasa case ya ugaidi na ushahidi mzito watu wanao, atajutia, alafu kuna watu wanadhania hii case ya kijinga jinga tu, matokeo yake mtashangaa, miaka kadhaa ndani. Div 0 ni matatizo sana, makamanda feki mmejezana humu mitandaoni, hamna msaada hata nukta kwa mwenyekiti wenu, kazi kupiga kelele bure humu.
Wakimalizana nae wapekue magaidi mengine kule kwenye saccos yake. Kazi iendelee.SASA KAZI INAANZA MBOWE ANAKULA MIAKA MPAKA KIBATALA HATAKI MASHAHIDI WAJULIKANE NI KINA NANI? MBOWE KWISHA KAZI
Mwizi hushitakiwaipo barua ya Nyerere ya kujiuzuru. Tuonyeshe ya Gaidi AKA Mwizi
Inawezekana ni maofisa wa JWTZ, mtuhumiwa wa 1 hadi 3 walikuwa makomandoo pale ngerengere.
Wanaweza kutoa ufafanuzi wa askari wa zamani kubaki na sare za jeshi kama ni kosa au la hata kama hakuzitumia kufanya uhalifu wowote.
Kwakweli hii kesi ni kujipaia kinyesi tu kwa serikali hii ya awamu ya 'sit
siachiMwizi hushitakiwa
Acha ujinga
Unamjua vizuri mbowe?madai yake anatafuta uhuru wa tz yaani hata hajui kama nchi ilishaga pata uhuru toka mwaka 1961
We tako uwe unatumia akili kabla ya kujibu mimi nimesema kuhusu ufisadi madawa ya kulevya rushwa nk wakati wa nyerere hayo mambo yalikuwa machache serikalini ,ndiyo nikasema magu angepata nchi wakati huoHivi wewe umezaliwa lini??toa hapa hadithi zako za mwanasesele,aliyekwambia wakati wa Nyerere nchi ilikuwa vizuri nani??katika nyanja ipi??kwa hiyo Magu angeikuta nchi iko vizuri angekua kiongozi mzuri NONSENSE.
Duh!Ili nalo litapita, ila MBOWE na wapinzani wengine waachane na siasa wafanye shughuli zingine ama warudi ccm.
Sioni anachokoswa ama anachotafuta mbowe katika maisha yake hadi ajivike UKUHANI wa Akina mussa kuwaokoa Wanaisrael kutoka kwa farao. Nchi hii si rafiki kwa mtu aliyeko nje ya Ccm.
Mtu kama Mandela angekuwa na mawazo mgando kama wewe, Makaburu wangekuwa wanaitawala Afrika ya Kusini hata leo!Ili nalo litapita, ila MBOWE na wapinzani wengine waachane na siasa wafanye shughuli zingine ama warudi ccm.
Sioni anachokoswa ama anachotafuta mbowe katika maisha yake hadi ajivike UKUHANI wa Akina mussa kuwaokoa Wanaisrael kutoka kwa farao. Nchi hii si rafiki kwa mtu aliyeko nje ya Ccm.
Ni kweli walikuwa makomandoo? nataka kujua kama ni kweli.. hii kesi inaweza kuwa na matokeo mengineInawezekana ni maofisa wa JWTZ, mtuhumiwa wa 1 hadi 3 walikuwa makomandoo pale ngerengere.
Wanaweza kutoa ufafanuzi wa askari wa zamani kubaki na sare za jeshi kama ni kosa au la hata kama hakuzitumia kufanya uhalifu wowote.
Kwakweli hii kesi ni kujipaia kinyesi tu kwa serikali hii ya awamu ya 'sita'.
Issue sio mbowe...upinzani utakuwepo siku zote as long as binaadamu wapo..ni kama roho..haufi akiondoka mbowe atakuja mwingine...kinachobadilika ni form of expression tuu..and the more unavyoubana ndioits watu wanatufuta njia bora au mbaya zaidi za kuelezea upinzini wao..when injustice becomes law,resistance becomes duty..Ili nalo litapita, ila MBOWE na wapinzani wengine waachane na siasa wafanye shughuli zingine ama warudi ccm.
Sioni anachokoswa ama anachotafuta mbowe katika maisha yake hadi ajivike UKUHANI wa Akina mussa kuwaokoa Wanaisrael kutoka kwa farao. Nchi hii si rafiki kwa mtu aliyeko nje ya Ccm.
Utakuwa na video yake ya wizi tuone? Unaropoka kitejateja TU ili kumchafua ukidhani unapata heshima! Unadharaulika mno hapa jf, Bora ubadilike usije kukosa wa kukuzika!Hana uwezo huo- ukiacha ugaidi yeye ni mwizi pia. Muulize aliachaje kazi banki kuu ya Tanzania
Wamekiri wote walikuwa makomandoo ngerengere.Ni kweli walikuwa makomandoo? nataka kujua kama ni kweli.. hii kesi inaweza kuwa na matokeo mengine
Mdogo wangu.. Case ya Mandela ni tofauti na waliyonayo wapinzani wa Tanzania.Mtu kama Mandela angekuwa na mawazo mgando kama wewe, Makaburu wangekuwa wanaitawala Afrika ya Kusini hata leo!
Upinzani utakuwepo ndiyo lakini utakuwa ni Upinzani wa kunughunika tu bila kuchukua hatua.Issue sio mbowe...upinzani utakuwepo siku zote as long as binaadamu wapo..ni kama roho..haufi akiondoka mbowe atakuja mwingine...kinachobadilika ni form of expression tuu..and the more unavyoubana ndioits watu wanatufuta njia bora au mbaya zaidi za kuelezea upinzini wao..when injustice becomes law,resistance becomes duty..