Unadhani Mashahidi wanne ambao wameombwa kulindwa wasitajwe na Kibatala kesi ya Mbowe ni wakina nani?

Unadhani Mashahidi wanne ambao wameombwa kulindwa wasitajwe na Kibatala kesi ya Mbowe ni wakina nani?

Yani ufanye ngono zembe wewe na Asha ngedele halafu usingizie wazungu?

Pumbavu kabisa.
Hao wazungu wanafanya ngono chafu kuliko sisi ila ukimwi ni kidogo kwao
 
Matokeo ya Div 0 ndio haya, mtu hata huelewi nchi yetu ilipata uhuru 1961, Mbowe anatafuta asichokijua, sasa case ya ugaidi na ushahidi mzito watu wanao, atajutia, alafu kuna watu wanadhania hii case ya kijinga jinga tu, matokeo yake mtashangaa, miaka kadhaa ndani. Div 0 ni matatizo sana, makamanda feki mmejezana humu mitandaoni, hamna msaada hata nukta kwa mwenyekiti wenu, kazi kupiga kelele bure humu.
 
Katiba ilikuwa rahisi kupatikana chini ya magufuli kuliko kiongozi yoyote tena katiba ya kweli siyo ya kinafiki ila ukiwa na saikoloji ndogo ni vigumu kunielewa magu alitambua sana ubovu wa hii katiba ila alitumia ubovu wake kama alivyosema nyerere kuwa akipatikana kiongozi mzuri hii katiba itamfaa ila akipatikana kiongozi fisadi watz tutajuta, ubaya wa magu unatokana na kukuta nchi imechafukwa kwa mafisadi wauza unga nk ndiyo maana tunamuona magufuli kuwa ni dictator ila angekuta nchi ipo kama wakati wa nyerere watu tungegundua kuwa magu alikuwa kiongozi mzuri sana
Hivi wewe umezaliwa lini??toa hapa hadithi zako za mwanasesele,aliyekwambia wakati wa Nyerere nchi ilikuwa vizuri nani??katika nyanja ipi??kwa hiyo Magu angeikuta nchi iko vizuri angekua kiongozi mzuri NONSENSE.
 
Matokeo ya Div 0 ndio haya, mtu hata huelewi nchi yetu ilipata uhuru 1961, Mbowe anatafuta asichokijua, sasa case ya ugaidi na ushahidi mzito watu wanao, atajutia, alafu kuna watu wanadhania hii case ya kijinga jinga tu, matokeo yake mtashangaa, miaka kadhaa ndani. Div 0 ni matatizo sana, makamanda feki mmejezana humu mitandaoni, hamna msaada hata nukta kwa mwenyekiti wenu, kazi kupiga kelele bure humu.
Alisikika kubwa jinga akipayuka!
 
SASA KAZI INAANZA MBOWE ANAKULA MIAKA MPAKA KIBATALA HATAKI MASHAHIDI WAJULIKANE NI KINA NANI? MBOWE KWISHA KAZI
Wakimalizana nae wapekue magaidi mengine kule kwenye saccos yake. Kazi iendelee.
 
Inawezekana ni maofisa wa JWTZ, mtuhumiwa wa 1 hadi 3 walikuwa makomandoo pale ngerengere.

Wanaweza kutoa ufafanuzi wa askari wa zamani kubaki na sare za jeshi kama ni kosa au la hata kama hakuzitumia kufanya uhalifu wowote.

Kwakweli hii kesi ni kujipaia kinyesi tu kwa serikali hii ya awamu ya 'sit
 
Hivi wewe umezaliwa lini??toa hapa hadithi zako za mwanasesele,aliyekwambia wakati wa Nyerere nchi ilikuwa vizuri nani??katika nyanja ipi??kwa hiyo Magu angeikuta nchi iko vizuri angekua kiongozi mzuri NONSENSE.
We tako uwe unatumia akili kabla ya kujibu mimi nimesema kuhusu ufisadi madawa ya kulevya rushwa nk wakati wa nyerere hayo mambo yalikuwa machache serikalini ,ndiyo nikasema magu angepata nchi wakati huo
 
Ili nalo litapita, ila MBOWE na wapinzani wengine waachane na siasa wafanye shughuli zingine ama warudi ccm.
Sioni anachokoswa ama anachotafuta mbowe katika maisha yake hadi ajivike UKUHANI wa Akina mussa kuwaokoa Wanaisrael kutoka kwa farao. Nchi hii si rafiki kwa mtu aliyeko nje ya Ccm.
Duh!
 
Ili nalo litapita, ila MBOWE na wapinzani wengine waachane na siasa wafanye shughuli zingine ama warudi ccm.
Sioni anachokoswa ama anachotafuta mbowe katika maisha yake hadi ajivike UKUHANI wa Akina mussa kuwaokoa Wanaisrael kutoka kwa farao. Nchi hii si rafiki kwa mtu aliyeko nje ya Ccm.
Mtu kama Mandela angekuwa na mawazo mgando kama wewe, Makaburu wangekuwa wanaitawala Afrika ya Kusini hata leo!
 
Inawezekana ni maofisa wa JWTZ, mtuhumiwa wa 1 hadi 3 walikuwa makomandoo pale ngerengere.

Wanaweza kutoa ufafanuzi wa askari wa zamani kubaki na sare za jeshi kama ni kosa au la hata kama hakuzitumia kufanya uhalifu wowote.

Kwakweli hii kesi ni kujipaia kinyesi tu kwa serikali hii ya awamu ya 'sita'.
Ni kweli walikuwa makomandoo? nataka kujua kama ni kweli.. hii kesi inaweza kuwa na matokeo mengine
 
Ili nalo litapita, ila MBOWE na wapinzani wengine waachane na siasa wafanye shughuli zingine ama warudi ccm.
Sioni anachokoswa ama anachotafuta mbowe katika maisha yake hadi ajivike UKUHANI wa Akina mussa kuwaokoa Wanaisrael kutoka kwa farao. Nchi hii si rafiki kwa mtu aliyeko nje ya Ccm.
Issue sio mbowe...upinzani utakuwepo siku zote as long as binaadamu wapo..ni kama roho..haufi akiondoka mbowe atakuja mwingine...kinachobadilika ni form of expression tuu..and the more unavyoubana ndioits watu wanatufuta njia bora au mbaya zaidi za kuelezea upinzini wao..when injustice becomes law,resistance becomes duty..
 
Hana uwezo huo- ukiacha ugaidi yeye ni mwizi pia. Muulize aliachaje kazi banki kuu ya Tanzania
Utakuwa na video yake ya wizi tuone? Unaropoka kitejateja TU ili kumchafua ukidhani unapata heshima! Unadharaulika mno hapa jf, Bora ubadilike usije kukosa wa kukuzika!
 
Mtu kama Mandela angekuwa na mawazo mgando kama wewe, Makaburu wangekuwa wanaitawala Afrika ya Kusini hata leo!
Mdogo wangu.. Case ya Mandela ni tofauti na waliyonayo wapinzani wa Tanzania.
Mandela alikuwa akipigania watu Hai, hii ni kinyume na tanzania.. Kuna rais wa kwenya aliwai sema Nyerere anatawala maiti( WAFU wanaotembea) Ukipigania watu Hai watasimama na wewe katika stuation yoyote ile. wazuru walisimama na Mandela, bila Mandela kupoza hasira za wazuru history ya Haiti ingelijirudia Africa dhidi wazungu, Leo hii wazungu wasingelikuwepo SA.
Nb/
Unataka wapinzani wa Tanzania wapatwe na nini ndiyo tuseme INATOSHA?.
Jaribu kuvaa machungu wanayopitia familia ya Ben..vaaa uhuska wa TL mwili wake ni kama net kwasababu ya matobo ya risasi end of the day kaambulia Dhihaka kwa aliokuwa akiwapigania. wengine wamefilisiwa kwasababu ya kupigania mazombi.
Akina jua kali walisoma nyakati mapema, uwezi risk maisha yako kwa watu wapumbavu even God himself hashughuliki na wapumbavu ni vipi wewe mwanadamu uzani utaweza?.
Ujasili walio nao ni wa nyuma ya keypad tu, nyuma ya keypad Kuna ma- nevy seal Mossad etc nje na hapo uoni mtu.
 
Issue sio mbowe...upinzani utakuwepo siku zote as long as binaadamu wapo..ni kama roho..haufi akiondoka mbowe atakuja mwingine...kinachobadilika ni form of expression tuu..and the more unavyoubana ndioits watu wanatufuta njia bora au mbaya zaidi za kuelezea upinzini wao..when injustice becomes law,resistance becomes duty..
Upinzani utakuwepo ndiyo lakini utakuwa ni Upinzani wa kunughunika tu bila kuchukua hatua.

Upinzani wa MANUGHUNIKO ndiyo tuliobakiza ila watu wenye GUTS ya ku- step out na kupinga iki ama kile hatutokuwa nao tena watu karba hiyo.. labda iki kizazi kipite
Akina Tl etc ni mashujaa waliozaliwa katika nyakati zisizo sahihi, madai Yao yanaeleweka ila Hakuna anaewaelewa.
 
Back
Top Bottom