Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia maternity kwanza ndipo tuanze kuchat...🤣nipo apa nmeshika katoto kangu kamelala kwenye nyonyo 😌 OMG she's cute.
Mungu mwenyewe anawatunza.
ushapata sababu sio😂 mwsho miez 3 maternity bwan acha uchoyoMalizia maternity kwanza ndipo tuanze kuchat...🤣
Sidhani kama huwa yanazidi Yale maumivu ya kutahiriwa🤣🤣🤣 Unaweza kukuta hata kuzaa kumbe sio uchungu
Nina uzoefu wa ninachoongea maana mi mwenyewe nilikuwa Mtoto na nilishuhudia nikiwa Mtoto kuwa jinsi ilivyo kwa Ke kuhitaji muda kukaa na Me ktk ndoa mbali na pesa tu na uwajibikaji kifamilia ndivyo hivyo pia Watoto huhitaji muda wetu Wazazi kukaa nao kuwasikiliza, kuwatania, kuwafundisha, kuwaonya na hata kuwaadhibu inapobidi, mbali na hapo Watoto huhamishia upendo wao zaidi kwa house maids kuliko sisi Wazazi.Uko sawa Mkuu?
Ngoja niache kazi nije tusaidiane kukalea katoto ketu kakike hako...😋ushapata sababu sio😂 mwsho miez 3 maternity bwan acha uchoyo
ad dogo kashtuka apa ebu punguza bezi ilo😂😂Ngoja niache kazi nije tusaidiane kukalea katoto ketu kakike hako...😋
Soma Post no 27.Serious?? Kwamba sisi tunaopambana kutafuta chapaa hatuko serious na watoto? Try to think twice, unavyomuachia housemaid mtoto doesn't mean humtaki ila your just out chasing what will make your child proud
Soma Post no 27..Umemstukia eh
Anaingia na kutoka[emoji3]