Unadhani ni kwanini kufuzu kwa Yanga SC kumewaumiza sana SIMBA SC kiasi kwamba wanaropoka kila mara kupitia vyombo vya habari

Unadhani ni kwanini kufuzu kwa Yanga SC kumewaumiza sana SIMBA SC kiasi kwamba wanaropoka kila mara kupitia vyombo vya habari

Kufanya vizuri kwa Yanga kwenye kombe la shirikisho halikuwapa somo bali wao waliamini kuwa Yanga ni timu ya kawaida ila timu zilizo shirikisho ni mbovu ndio maana Yanga katamba.

Hivyo faraja yao ilikuwa huku klabu bingwa, walitegemea kuwa Yanga asingefika popote pale. Ile Yanga kufungwa goli tatu wakafurahi sana na maneno ya kejeli kuwa huku ni kwa wababe hakuna Marumo huku.

Sasa Yanga amefuzu kabla hata ya wao midomo fc na mbaya zaidi timu zote zilikuwa kwenye kombe la shirikisho ndio zimetangulia kufuzu ila yeye midomo fc wanasubiri kujua hatma yao jumamosi
Aahaaaaa

Imewauma sana
 
Hapo lazima waumie aisee
Robo fainal ya Caf Champions League ndiko kichaka pekee kilichokuwa kimebaki kama silaha yao ya mwisho ya kuwatambia utopolo.

Sasa ni kama wamejawa na hofu kuwa huwenda Yanga anaweza kwenda step zaidi ya iyo robo fainal ambayo wamekuwa wakitamba nayo.

Nadhani hii ndio sababu ya kupagawa kwao
 
Mkuu heshima yako. Sasa kwa nini wakati huu SIMBA wanaropoka tu.

Unachukuriaje kauli ya Ahmed kwamba wamefuzu washambashamba? Kumbuka hii ni general kwa waliokwisha fuzu (Ahly, Mamelodi, Mazembe, YANGA na ASEC) je hii ni sawa?
Washamba kwa sababu watu mpaka wanazimia na kupiga kelele sana as if kufika robo fainali ni issue kubwa sana.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Washamba kwa sababu watu mpaka wanazimia na kupiga kelele sana as if kufika robo fainali ni issue kubwa sana.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Ni issue mkuu kwa sababu bila hivyo huwezi fika final na pengine kuchukua kikombe.
passioner255 wewe si wakucheka masaibu ya maradhi ya mtu. Unanishangaza mkuu

Yanga tunatamani tufike final na kuchukua kombe
 
Mbumbu Fc kwahyo kila anayeshiriki ligi ya Mabigwa lazima awe bigwa wa ligi yake hujiulizi kwanin wew ulikua Bigwa wa ligi kuu msimu uliopita lakini hakucheza CAF champions leauge Na Simba alishika Nafasi ya pili alifanikiwa kucheza unaweza ukawa bigwa na Bado ukatolewa kwenye qualification match Mbumbu FC
 
Mbumbu Fc kwahyo kila anayeshiriki ligi ya Mabigwa lazima awe bigwa wa ligi yake hujiulizi kwanin wew ulikua Bigwa wa ligi kuu msimu uliopita lakini hakucheza CAF champions leauge Na Simba alishika Nafasi ya pili alifanikiwa kucheza unaweza ukawa bigwa na Bado ukatolewa kwenye qualification match Mbumbu FC
Kati ya Yanga na Simba nani kakusanya point nyingi CAF kwa muda mfupi ili tupime mafanikio??
 
Mbumbu Fc kwahyo kila anayeshiriki ligi ya Mabigwa lazima awe bigwa wa ligi yake hujiulizi kwanin wew ulikua Bigwa wa ligi kuu msimu uliopita lakini hakucheza CAF champions leauge Na Simba alishika Nafasi ya pili alifanikiwa kucheza unaweza ukawa bigwa na Bado ukatolewa kwenye qualification match Mbumbu FC
Unauhakika msimu uliopita 22/23 YANGA hakucheza CAFCC?
Mbona mmepanic sana
 
Mbona kawaida tu watu wengi hatupendi kupitwa mafanikio na rafiki,ndugu,jirani hata adui yetu au kuwa level sawa
Kwahiyo mkuu suala la simba kuumizwa na mafanikio ya yanga siyo jambo la ajabu ni freshi tu,
Hata mim mwenyew naumia sana kuona yanga anaanza kufikia record alizoziweka simba na kwa kanuni hiyo sipendi pia kuona majirani wanafanikiwa sasa sijui ni roho mbaya au vipi..
 
ligi ya mabigwa ulicheza mechi za mtoano hukucheza mechi za makundi usichanganye kati ya CAF champions leauge na CAF conideration zuzu wew
Kwa hiyo una maanisha zile mechi za preliminary round za CAFCL hazihesabiki kua team imeshiriki CAFCL?
Ukute na wewe kuna watu wanaamini umehitimu darasa la saba A!!?😁
 
Ndugu zangu hivi nini kimepelekea viongozi wa SIMBA kuchanganyikiwa baada tu ya Dar Young Africans SC kuingia quarter final ya CAFCL 2024.

Musemaji wao anaropoka.

Page zao zinaropoka tu.

Siamini kama SIMBA haina watu professional wa mpira.

Au SIMBA anaogopa kwamba hata kama atafuzu basi atakutana na YANGA na atapigwa 5G tena?

Kwanza wapo kwenye haya mashindano kwa huruma tu za kanuni za CAF, hii ni kwa sababu wanashiriki michuano ya mabingwa Africa wakati wao sio mabingwa wa msimu uliopita.

Mwenye kujua tatizo lao aseme jamani
Ukitaka kujua kama wameumia tafuta uzi ule wa upangwaji wa makundi na ile mechi tuliyo cheza ugenini na CRB,kwa kifupi hawaku tegemea na hawaamini na Yanga bado kama ikitokea akapangwa na Asec watamkuta yupo nusu fainali.
 
Kwa hiyo una maanisha zile mechi za preliminary round za CAFCL hazihesabiki kua team imeshiriki CAFCL?
Ukute na wewe kuna watu wanaamini umehitimu darasa la saba A!!?[emoji16]
kule ni kushiriki au ni kusindikiza watu aya twambie toka umeaza kushiriki mechi za preliminary round umevuna point Ngapi mwezetu na timu lako
 
Mbona kawaida tu watu wengi hatupendi kupitwa mafanikio na rafiki,ndugu,jirani hata adui yetu au kuwa level sawa
Kwahiyo mkuu suala la simba kuumizwa na mafanikio ya yanga siyo jambo la ajabu ni freshi tu,
Hata mim mwenyew naumia sana kuona yanga anaanza kufikia record alizoziweka simba na kwa kanuni hiyo sipendi pia kuona majirani wanafanikiwa sasa sijui ni roho mbaya au vipi..
Mtani wewe hatari sana
 
kwanin wew ulikua Bigwa wa ligi kuu msimu uliopita lakini hakucheza CAF champions leauge Na Simba alishika Nafasi ya pili alifanikiwa kucheza

Hapa ulisema YANGA hakushiriki CAFCL
kule ni kushiriki au ni kusindikiza watu aya twambie toka umeaza kushiriki mechi za preliminary round umevuna point Ngapi mwezetu na timu lako

Hapa unasema tulishiriki.
Mkuu mbona unatuangusha la 7A?

Mumeumia mpaka hamjiwezi
 

Hapa ulisema YANGA hakushiriki CAFCL

Hapa unasema tulishiriki.
Mkuu mbona unatuangusha la 7A?

Mumeumia mpaka hamjiwezi
Ashasahau kuwa point alizovuna yeye toka 2018 sisi tumevuna ndani ya misimu miwili.
 
Back
Top Bottom