Unadhani ni kwanini Rais Samia na CCM wamemtosa mazima Shaka katika nafasi ya Uenezi?

Unadhani ni kwanini Rais Samia na CCM wamemtosa mazima Shaka katika nafasi ya Uenezi?

Niache uongo lini ukiwahi sikia serikali ikisema ni uongo? CAG aliyefukuzwa alisema,CAG mstafu Utouh alisema Sasa mnataka ukweli gani wakati mnajitahidi kuficha?

Na wewe uza wanyama
CAG alisema ameiba?

Unajua kosa la CAG kutoongezwa mda?. Kwanza ujue hakufukuzwa, hakuongezwa mda, maana issue ilikuwa miaka mitano mitani.

CAG yule hakuwa profesional tu, CAG gani anatembea dunia nzima kuisemea mabaya serikali yake wakati yeye ndo anatakiwa kusaidia seriakali kudhibiti mambo mabaya kuanzia halmashauri hadi serikali kuu?
 
CAG alisema ameiba?

Unajua kosa la CAG kutoongezwa mda?. Kwanza ujue hakufukuzwa, hakuongezwa mda, maana issue ilikuwa miaka mitano mitani.

CAG yule hakuwa profesional tu, CAG gani anatembea dunia nzima kuisemea mabaya serikali yake wakati yeye ndo anatakiwa kusaidia seriakali kudhibiti mambo mabaya kuanzia halmashauri hadi serikali kuu?
Acha blaa blaa wewe fisi,yule dhulumati alikuwa jizi naona mnajitetea sana
 
Ita majina huku kitaa tunajua?

Wewe unapolamba asali kaa kwa kujua kwamba huku mtaani asilimia kubwa sana hawakuungi mkono.
Mnajua nini? Ujinga kama huu hapa umekoma saizi 👇
 
Pigeni majungu ila kesho anakuja kuwa mkuu wako wa mkoa huyo, ccm ni walewale.
 
Mnajua nini? Ujinga kama huu hapa umekoma saizi 👇
Sasa hivi hamna kazi mnafanya, ni kulamba asali tu. Na hilo tunajua.

Angekuwepo mzee mzima sas ahivi SGR DAR - DOM tungekuwa tunateleza tu, shaaaaaa.

Foleni DAR ingeshakuwa historiaa.

Maji DAR yangekuwa kila kona.
 
Mpaka tunapoongea na kuandika!
Nchi nzima ya Tanzania!
Hakuna Chama, wala taasisi wala wanasiasa uchwara kama nyinyi,kwamba mmewahi kuonyesha ushahidi ni wapi na kwa namna gani Magufuli aliiba kura!

Mlipigwa chini na wananchi,na mkiendelea na ujinga....

Mtakataliwa tena na tena!
Mnaparurana maccm wenyewe kwa wenyewe
 
Je,.....

1. Hatoshei Kiushawishi?

2. Mnafiki?

3. Mpika Majungu?

4. Muongo?

5. Hana Mvuto / Mvutoless?

6. Si Mpayukaji?

7. Usoni Mama na Rohoni January?

Kazi yangu Kubwa ( Kuu ) leo GENTAMYCINE ni Kutulia na Kusoma Kiumakini mno Comments zenu na naamini hamtoniangusha.
Ukiona Umetoswa na Magufuli ujue hufai,yule mzee hakutaka chembe ya mabaradhuli hata kidogo,Rais Samia kajionea mwenyewe,ampe UDC,unamtosha
 
Aseme kwani yeye ni Cuf? Subiria Chadema watakiwa vizuri saizi..

CAG mstafu Utouh alishasema au wewe ukiwahi sikia serikali imekanusha?
CAG Yule wa Project Zitto ??

Au yupi?

Utouh hakuwa ba muda wa upumbavu wa udinini na Makundi,aliondoka kwa heshima na anaishi kwa heshima!

Nyinyi wapuuzi wa visasi ndio mnateseka na kaburi.
 
Acha blaa blaa wewe fisi,yule dhulumati alikuwa jizi naona mnajitetea sana
Kama kufukuza vyeti fake ni dhuluma basi ni dhulma nzuri kuwahi kitokea Dunia hii.

Mishahara hewa!
Uzembe
Ufisadi
Mikutano ya ovyo ovyo kama inayoendelea kwa sasa!
 
Back
Top Bottom