Unadhani ni kwanini Rais Samia na CCM wamemtosa mazima Shaka katika nafasi ya Uenezi?

Hapakuwa na uchaguzi 2020 bwashee,

UKWELI Usemwe Kwa maslah ya Taifa.
 
Kama kuchukua 1.5 hazina na kuzitekeleza kujenga madaraja au kujenga Barabara bila kufuata taratibu za kisheria ni sawa na kuiba,

basi Kweli ziliibwa.
Kwa nini wasiseme zimejenga madaraja? Yapi hayo ambayo yalijengwa bila kuwa na Bajeti? Zile mlizokuwa mnaendeshea magenge ya wauaji mlizotoa wap?
 
Kwa nini wasiseme zimejenga madaraja? Yapi hayo ambayo yalijengwa bila kuwa na Bajeti? Zile mlizokuwa mnaendeshea magenge ya wauaji mlizotoa wap?
Me Sina chama bwashee,

Mimi ni mwananchi nisiye na chama chochote ila nafuatilia siasa za Nchi yangu,

Wananchi tusio na vyama tupo zaidi ya 70% ya population.

Magu Kwa miradi iliyohitaji pesa ya haraka, hakuwa akifuata taratibu hizo za kifedha,

Bt tunafurahi KAZI ilionekana.

Makusanyo ya 20,000 ya matching guys Nchi nzima Kwa mfano yaliingia mfuko Gani?
 
Rubbish,ntasoma baadae
 
Jinsia yake inatia shaka na kuaibisha chama
 
Hata mimi naamini hajatosa .... Waarabu wa Pemba hao.

Ataukwaa Ukuu wa Mkoa soon.
 
Angekuwa na wafuasi kibao ngeiba uchaguzi wa 2020? Nani ambae hana wafuasi? Ndo hamna Cha kufanya Wala sio kukaa kimya..

Mwisho mtu ambae madarasa y Watoto yalimshinda ni WA nini Sasa huyo?
Ongea kama umepitia shule,acha kundekeza chuki na majungu.
Huna hata aibu unarudirudia eti madarasa yalimshinda!
 
Shaka ni friend of bashuru ( FUBA)
 
Utuletee uzi kwanini tall anahisi zama zake zimekwisha na kuna watu wanataka kumpa red card Mkuu.
 
Hapakuwa na uchaguzi 2020 bwashee,

UKWELI Usemwe Kwa maslah ya Taifa.
Siku zote huwa mnashiriki uchaguzi ila sio kuchagua viongozi na ndio maana kila baada ya uchaguzi kunakuwa na kelele za kuibiwa kura, tofauti ya 2020 hakukuwa na kufanya balance tu kama inavyokuwa mara zote.
 
Shaka anafaa sana kuwa chawa mkuu wa Samia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…