Unadhani ni kwanini Rais Samia na CCM wamemtosa mazima Shaka katika nafasi ya Uenezi?

Kuna tetesi kuwa Shaka ni PILAU
 
Amebadilisha mwenge daraja la Tanzanite [emoji1787][emoji1787]
 
Alishindwa kuisimamia ilani ya CCM akabaki kuzunguka tu na kuhadaa bila vitendo kwenye kazi, imagine ngazi za wilaya hakuna huduma zinazoboreshwa kama barabara ni mbovu, maji hakuna zaidi ya picha za waziri kuonyesha miradi ya maji isiyoonekana hata dar tu kelele za maji mpaka sauti zimekauka watu wameamua kukaa kimya, shule zinaongezwa madarasa za zamani ila mpya hazijengwi, masoko ya mitaa Ili kuongeza ajira hayapo, mitaa mipya ipo mingi bila huduma za msingi, sijui hata atakumbukwa kwa lipi alilotetea lifanyike likaonekana zaidi ya propaganda zisizokatika matendo.
 
Mtavuna mlichopanda. Deep state imeamua
 

Mostly 2 na 4 na huenda pia 7 kwa sababu nadhani jamaa huyu ni Shuleless!!
 
Hapa kidogo ndugu Shaka Hamdu Shaka nimekuelewa ulivyojielezea,
 
labda na "kale katabia OVU" kinakidhalilisha Chama sana
 
Hifadhi maoni yangu; atateuliwa kuwa mbunge kwenye nafasi ya Mbarouk kisha waziri wa wizara muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…