Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Ni wazi kuelekea uchaguzi wa chadema ngazi ya Taifa, kuna wagombea wasio wazalendo, makuwadi wa mabenyenye ya magharibi, wanaokusudia kuigawanya, kuisabaratisha na kuipoteza kabisa chadema kwenye medani ya siasa kwa makusudi, kwasababu za tamaa zao, ubinafsi, uchu wa madaraka na vyeo, unafiki na utumwa wa fikra kutoka ng'ambo ya nchini.
Lakini pia,
kuna wagombea wazalendo, wenye nia na dhamira njema ya kuijenga na kuimarisha misingi ya kuanzishwa kwa chadema kwa kujitolea kwa hali na mali ili kuimarisha ndani ya chadema na demokrasia ya Tanzania kwa ujumla?
My friends ladies and gentlemen,
kama mdau wa jukwaa la siasa una maoni gani juu ya hali hii?
Nani hasa kati ya wanao wania uongozi wa chadema Taifa, amedhamiria kwa makusudi ya dhati kubomoa na kuisabaratisha chadema awe amepata au hajapata uongozi wa chadema Taifa?🐒
Mungu Ibarki Tanzania
Lakini pia,
kuna wagombea wazalendo, wenye nia na dhamira njema ya kuijenga na kuimarisha misingi ya kuanzishwa kwa chadema kwa kujitolea kwa hali na mali ili kuimarisha ndani ya chadema na demokrasia ya Tanzania kwa ujumla?
My friends ladies and gentlemen,
kama mdau wa jukwaa la siasa una maoni gani juu ya hali hii?
Nani hasa kati ya wanao wania uongozi wa chadema Taifa, amedhamiria kwa makusudi ya dhati kubomoa na kuisabaratisha chadema awe amepata au hajapata uongozi wa chadema Taifa?🐒
Mungu Ibarki Tanzania