Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Wewe ndiye huna hoja.uwe na adabu kwa MheshimiwaHuna hoja chawa wewe.
Kila dakika unaleta post za kichoko tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiye huna hoja.uwe na adabu kwa MheshimiwaHuna hoja chawa wewe.
Kila dakika unaleta post za kichoko tu
YeNi mbinu za CCM kutata kuiua CDM lakini watakufa wao, CDM hoyeeeee!
kama mchambuzi wa siasa za vyama, mtaalamu mbobevu muandamizi wa dipolomasia na mwanasiasa mzoefu,Wewe kama mwana CCM, hii inakuhusu nini?.
Muheshimiwa wa ndoto za Mang'amng'amu!Wewe ndiye huna hoja.uwe na adabu kwa Mheshimiwa
Kaka Yako Mwashambwa kaamka!kama mchambuzi wa siasa za vyama, mtaalamu mbobevu muandamizi wa dipolomasia na mwanasiasa mzoefu,
nimeelezea vyema zaidi ndani ya hoja mahususi mezani kinachonihusu kama mtaalamu.
unadhani ni kwanini baadhi ya wagombea uongozi wa chadema Taifa wana dhamira ya kubomoa na kuisabaratisha chadema, whether watashindwa uchaguzi au watashinda uchaguzi huo rahisi sana?🐒
Hakuna mpasuko Wala kuibomoa CHADEMA ni uchaguzi kama unavyofanyika kwenye chama chenu SM.Wewe uko CCM kama kinapasuka si ndio ungekuwa Faida kwako na chama chako!Hii ni hofu ya Tundu akipita mtalowa kwa machozi ya huzuni na kaka Yako Mwashambwa!kwahiyo unawaeleza wadau wasiofahamu au unaojaribu kuwashawishi wadau wa heshima na waerevu kwamba chadema hakuna uadui wala uhasama baina ya wanaogombea nafasi za uongozi wa kitaifa chadema, na wala hakuna kabisaa mpasuko, right?
watakupuuza na kuhisi huenda wewe ni mganga wa kienyeji au mshirikina.
For your information,
kuna mgonbea uongozi chadema, whether atashinda au asishinde lengo lake linabaki pale pale, kubomoa na kuisabaratisha chadema 🐒
Dalali wa abdul anzisha thred nyingine hii imebumaacha mihemko ya kinyonge gentleman,
relax, huna point 🐒
Haina mashiko hata ikipelekwa jandoni!Dalali wa abdul anzisha thred nyingine hii imebuma