Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Biashara kubuma ni swala ambalo lipo kweli. Hasa kama mtaji ni limited unaweza kugarauka mara mbili tatu kabla hujafanikiwaNa hii ndio mitazamo ya wengi.Utasikia "biashara ikibuma".
Ukiwa na mtazmo huu wewe kaa mbali na kitu kinaitwa biashara hata usijaribu ujasiriamali kaa mbali kabisaa