Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mtu kakupa hela kwa dhamana ya nyumba unategemea utafanya risk taking kweli? 😀Mitaji ya kukopeshwa… ni ngumu kuwa a full risk taker
Ila una 300M zako mahali ukaamua kuweka 10M uanze kufanya biashara unaweza ukafika mbali.
Sababu biashara ina kawaida moja, kwenye early stages ina kawaida ya kuhitaji boost za hapa na pale. Sasa imagine una mtaji limited how can you survive? Itaanza kuyumba yumba hadi kufa na huna kitu utafanya sababu hela huna.