Mtu kakupa hela kwa dhamana ya nyumba unategemea utafanya risk taking kweli? 😀Mitaji ya kukopeshwa… ni ngumu kuwa a full risk taker
Kuna ajira sio utumwa.Huna kaz za maana saana but you get paid alotno moneySio mbaya ila ajira utumwa. Akili inapooza
Ni kweliMtu kakupa hela kwa dhamana ya nyumba unategemea utafanya risk taking kweli? 😀
Ila una 300M zako mahali ukaamua kuweka 10M uanze kufanya biashara unaweza ukafika mbali.
Sababu biashara ina kawaida moja, kwenye early stages ina kawaida ya kuhitaji boost za hapa na pale. Sasa imagine una mtaji limited how can you survive? Itaanza kuyumba yumba hadi kufa na huna kitu utafanya sababu hela huna.
Hahahah braza tulia, we umeingizwa kwenye ramani toka form 2 huwezi kuhisi ugumu wa tatizo hili. Tayari wewe ni Mogul!Tatizo la ajira nchi hii
Ni Kama lilivyo tatizo la Nguvu za kiume kelele kibao&linakuzwa mno kuliko uhalisia
Huko mshkaji wangu inabid utoke kwa hiyari asikulazimishe mtu ili unapopigwa na msoto wa biashara mwanzo ukupe hasira zaidnya kupambana kuliko kulia lia.Kwasababu hili halikwepeki mwanzoni
Ajira kuwa utumwa inategemea na channel uliopo. Kuna mwana alikuwa anadiss sana habari za kuajiriwa ila sahizi amekabidhiwa Godauni la mitumba na mchina.Kuna ajira sio utumwa.Huna kaz za maana saana but you get paid alotno money
Ahahahahahahahah......sema kashkash za hiz mbinde huwa zinafanya always uwe mtu wa ku find out solutionsSasa inatia uoga sana mkuu, kwa mtoto wa bhakresa anaweza furukuta akajaribu biashara hata 5 tofauti. Wewe moja tu ukienda chali nyumba imeuzwa.
Lazma utafikirisha ubongo, huwezi ku relax ila finally utajikuta umekaa kwenye mfumo flani ambao huumii sana na mambo yanaenda. Huwa naichukulia biashara kama kupanda gari ilioshona kweli kweli kama mwendokasi.Ahahahahahahahah......sema kashkash za hiz mbinde huwa zinafanya always uwe mtu wa ku find out solutions
Unajua maana ya utumwa? Hata ulipwe 20 m we bado ni mtumwa husipochomoka na kujijenga m asilimia kubwa watu wamekufa na presha baada ya kustaafu .Kuna ajira sio utumwa.Huna kaz za maana saana but you get paid alotno money
siyo rahisi kutoboa kwa mkopo, kama wewe huna kitu kabisa labda msaada kidogo kama una akili nzuri hauna wenge, umepewa msaada ambao hufanyi rejesho kabisa unaweza kutoboa. nina experience na mikopoHabari wanajukwaa.... karibu uchangie hii mada kwa leo inakujia mara moja kwa week.
#FUNGUKA.
.......
View attachment 2592653
HAPANA - HAPANAAA. Hapana Kabisa.Habari wanajukwaa.... karibu uchangie hii mada kwa leo inakujia mara moja kwa week.
#FUNGUKA.
.......
View attachment 2592653